Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Habari wana Jf
Kama ilivyo kawaida nimechunguza sana Kwa nini ndugu poul makonda anachukiwa sana,na watanzania wenye huo umri nilioutaja hapo.
Nimegundua ni kupitwa kwa mafanikio,nimekuja kuona wanatanzania kinachotusumbua ni wivu wa mafanikio ya mtu.

Leo hii hata makonda akiongea jema vipi bado watanzania wataendelea kumsakama acheni wivu huo na roho mbaya poul makonda mungu kampa kipaji cha kuongoza watu na anavitu vingi sana kwake na kama watanzania tunatakiwa kujifunza kupitia yeye poul makonda.

Chukua hii Kama hamjui

Kitendo cha Rais @SuluhuSamia kumrudisha Makonda kwenye siasa ni kwasababu kuna mahali amezidiwa nguvu. Makonda ni yule kijana asiye na soni, mwenye kufanya/kuongea yale ambayo wakubwa hawawezi kuyaongea wenyewe.
Hapa, Makonda ni kipaza sauti tu,na anakipawa cha uongozi

Ukweli nimefurahi sana mh rais wetu wa JMT kumchagua poul makonda kurudishwa katika nafasi inatakiwa Tanzania tupate vijana Kama 50 au 100 Kama alivyo poul makonda hii nchi tungekuwa mbali sana.

Watanzania tuigeni mfano kwa ndugu mh.poul makonda tuacheni wivu na chuki tufanyani kazi kutwa tunamtaja makonda bora tungemtaja kwa mema ila Watanzania tunamtaja makonda kana kwamba yeye sio binadamu kila baya anatupiwa yeye.

Watanzania wooote inatakiwa tumuunge mkono poul makonda,huyu ni adhina ya taifa.
Ahsante mh.raisi kwa kumrudisha ndugu poul makonda huyu atakusaidia sana katika kuijenga nchi.

Sisi wengine tumekalia kukosoa na kupiga majungu.
Mungu mlinde ndugu poul makonda
Mungu mlinde mh raisi wetu JMT

NAKARIBISHA MAONI.
KIKUBWA ACHANENI NA WIVU WA PAMOJA NA ROHO MBAYA.
Kuanzia umri huo ndio mtu anaanza kuwa na akili za kweli na kujiendeshea mambo yake mwenyewe, ni umri wa kujua mbivu na mbichi. Chini ya umri huo bado watu wapo kwenye kufuata mkumbo na kutokujua malengo yao katika maisha. Ni wazi watu 35-55 ndio wenye kushika uongozi wa dunia hii na wenye busara na nguvu pia. Ujinga wa Makonda unaonekana waziwazi na watu wa rika hili kuliko marika mengine yote.
 
Katiba ya Tanzania inatamka na kutambua kuwa Rais ndiye mkuu wa nchi,Amiri jeshi mkuu na mtendaji mkuu wa serikali yeye ni mwenye mamlaka makubwa katika nchi hii anaweza kuwa symbolic leader(queen) kulingana na katiba yetu.

Inasikitisha sana kuona mtu wa kwenye chama chako ambaye pia amekuajiri unamkebehi na kumfanyia dhihaka pamoja na matusi hivi hata kama unajiona wewe ndiyo baba ako,babu au bibi yako amemuweka rais kwenye hicho kiti haimaanishi kumtukana YEYE umeitukana mamlaka aliyopewa na umewatukana watanzania wote.

Hili la makonda siyo kwamba jamaa karopoka hapana ila toka Rais alipoingia madarakani naye alituma ujumbe wengi wanafikiria kuhusu kina bashiru ila ukweli lipo kundi jengine ambalo lipo against na MAMA hivyo nadhani kuna watu watajifanya kumsema Makonda ila ukweli usemwe jamaa yupo sahihi.

NAWASILISHA.
Rais wa WaTz kwa Kura ngapi alizooata yeye na mwenza wake? Mpaka leo haijulikani kwa wizi wao. Huyo anajiopalilia ulaji wake unasema asipuuzwe. Na anayeita Katiba 'kakitabu', ataachwa kupuuzwa?
 
Inachefua sana kuona rais anatukanwa vile,makonda yupo sahihi.

..mbona Uvccm wanatukana viongozi wa upinzani matusi makubwa kabisa na watu wanavumilia?

..Rais aonyeshe uvumilivu na ukomavu kama kiongozi.

..Mtu huyuhuyu alimsingizia mwenzake ugaidi na akamfunga kwa miezi minane, leo kasemwa kidogo analialia.
 
Pamoja na yote, PCM anawakilisha hisia za watanzania wengi wanaomtakia Mama mema.

sifa kubwa ya CCM ni wanafiki and snitches. Huwa wanawekeana hata sumu.

90% waliokuwa wakimchekea JPM na kumuimba mitano tena , 89% among them walikuwa wanafiki na wakikaa pembeni wana msnitch. Hata ma’am alikuwa anampigia JPM makofi, but deep down , it wasn’t that way . Hiyo ndio CCM ! Chama cha Majambazi!

This time, kuna watu for sure wanautaka urais and they believe mama is unable to still handle the position. First off, gender issue , for them ….. woman is less. Second; wanaona nchi inaenda mrama na imekosa dira and mam does not know what she can do best. Dola imepotea, petrol ipo juu, deni limeongezeka, ufisadi ni kama umerudi, construction zimestuck, food supplies bei hazishikiki, kila mtu analia, japo wapo wanaocheka.

Third, hesabu zao zitayumba endapo mama atapiga mitano, kama mama ataendelea, chances za wao kupoteza matumaini zitaongezeka kama ilivyo kwa Raila.

PCM ni smartest guy kwa karne ya sasa. He was trained to sniff ; and he also Learned what is the right moment to hit the ball , his speech was so perfect and at the right moment.

However, it has disturbed a lot kwa sababu hao watu wapo , and some of them wapo kwenye high table na president, kama wengi mnadhani PCM ameropoka, you might have wrong idea .

The boy is very strategically and it takes a lot of minds to understand him. I am sure Samia anaelewa the connotation.

Aingie mzigoni awapige intel kama alivyofanya Ngosha ikiwemo kuingilia mawasiliano yao.

Unaweza kuwa unakimbizana na lema au lissu au wanamitandao, kumbe the devil is just right on your nose.
 
Back
Top Bottom