Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Sema wewe na hao 70% wenzako ndio mnaoelewa huo ujinga, wa usimba, uyanga, video za ngono na siasa uchwara.
Kwa maana ndege wafananao uruka pamoja na mtu aonavyo nafsini mwake basi ndivyo alivyo.

But in reality, Watanzania wanaojielewa na kujitambua wapo wengi tu na hawapendi kusikia mambo ya kijinga, siasa za magazetini na uchawa.​
 
Asilimia kubwa ya sisi Watanzania tunaoenda kujadili watu na matukio yasiohusiana na maisha yetu kabisa.

Nipo Rufiji kuangalia athari za "the so called mafuriko" kwenye mashamba yangu, watu wote tumebaki tunajadili msaada wa 50M wa Mchengerwa badala ya nini kifanyike ili kesho maafa haya yasijirudie.

CCM wametuweza kweli kwa kutupandikizia mfumo wa hovyo kabisa wa maisha wa"trending".

CCM wala haijawaweza sema mbegu na kizazi ndio kinatatizo. Sio wote.

CCM yenyewe hata iamue ilete maendeleo haitawezekana. Ni mpaka uwiano wa wanaojitambua na wasiojitambua ufike walau 30:70
Kwa sasa ni 5:95
 
Siamini kama ule ndio msimamo wa Rais kutoka moyoni, Makonda ni "mtoto" wa Rais hata kama hajatamka hadharani, ni vigumu sana pamoja na makandokando yote yanayojulikana wazi Rais amemrudisha enzini, haiwezekani Rais pamoja na vyombo vyake asijue rekodi nzuri ya bwana Makonda ya kutuhumu watu bila ushahidi, eti leo amwamini, ule ni mchezo wa mama na mwana kwenye forum waliyotengeneza maalum kwa kazi hiyo,Sokoine amefariki mwaka 1984 lakini maadhimisho ya kwanza yamechukua miaka 40
Kaka una hoja, usikilizwe
 
Am not into politics but makonda was attractive. Nilikua nafatilia ziara zote za mwenez kipind kile mikoa yote 25.
 
we are celebrating 40 years of the late Tz Prime Minister E.M Sokoine while we are very united and committed to transform Tz on next level of economic, social and political development :NoGodNo:

the emergence of very strong young leaders like Paul Christian Makonda, seems that, the sokoine legacy of hard working is living:pedroP:
Oh dear

Kazi ipo
 
Sema wewe na hao 50% wenzako ndio mnaomuelewa Makonda.
Kwa maana ndege wafananao uruka pamoja.

But in reality, Watanzania wanaojielewa na kujitambua wapo wengi tu na hawapendi kusikia siasa za magazetini na uchawa kama ulizoandika hapo juu.​
Endelea kujifariji.

Bongo nyoso, Makonda na hao ccm wanawin akili za watu wa kipato cha chini ambao ni wengi na wengi wao ndo hao hufuata mkumbo, hawana source tukuka za habari zaidi ya hizo ambazo zinaendeshwa na hao hao.

Hao unaoona ni werevu ni wale ambao ni wafukunyuku, wapenda kusomasoma vitu na hawajabase kwenye source moja kupata habari.

Kuna watu Millard Ayo asipopost habari yoyote basi hawaiamini, wao mtandaoni ni Millard Ayo.
Wengine ITV , wengine TBC yaani hao hiyo source yake ilichokipost ndo hicho anakibeba na kukiamini wala hakifanyii tathmini yoyote.
 
Makonda anaishi wa fitina, chuki, kujipendekeza na kujifanya yuko karibu na viongozi. Kiufupi ukimuondolea hayo, hana lolote la kumfanya kustahili kupewa nafasi anazopewa.

Bahati mbaya nchi yetu saivi tumeachana na masuala ya merit katika kupata nafasi za juu za uongozi badala yake tunazingatia uchawa, kujipendekeza, fitina, chuki na kujuana.

No wonder in very few years to come tunaweza kuja kuwa failed state kama hatujabadilika.
Tukiachana na chuki binafsi na kusimamia uhalisia tutalitendea haki taifa.Siku zote mchapa kazi huwa kikwazo sana kwa wale bora viongozi, wavivu, wezi, miungu watu n.k..Kipimo cha kiongozi mzuri/bora,huwa ni wananchi anaowaongoza,hasa wa hali ya chini.Makonda anakubalika sana kwa wananchi wa hali ya chini kama alivyokuwa hayati J.P.MAGUFULI kwasababu ni kiongozi aliye karibu na watu wake,huwasikiliza na kutatua changamoto zao kwa vitendo na uwazi bila unafiki.Huyu Makonda akishindanishwa na SAMIA S.H. wa utawala huu kwa wananchi, Makonda atapita kwa 100%.
 
Sense of WHO you are.

Tanzania watu wengi hawajitambui na kama wangekuwa conscious wangekuwa watu Kama Mange , Daudi, wangekuwa hawapati nafasi.


Ukitazama interview ya Jay z au Beyonce unagundua wenzetu wametupiga gap kubwa that is way wapo juu kwa kila kitu.

Umeongea fact

Bongo Sio poa
 
Kwema Wakuu!

Usijeleta u-serious wako uwapo mbele ya Watanzania. Mambo ya akili mingi watanzania hawayataki, mambo ya kweli watanzania sio Wafuasi wake.

Ndio maana kijamii sio ajabu ukawakuta Watu kama kína Mwijaku, Dotto Magari, Piere Liquid, kina Mange Kimambi, na wengineo wakiwa na influence ndani ya jamii ya Tanzania.

Watanzania wanapenda udaku, habari za uongouongo na uzushi, habari za kufarakana na kufarakanisha, umbeaumbea. Habari za connections za video za ngono ndio watanzania wanazozipenda.

Habari za usimba na Uyanga, udiamond na ualikiba. Ndio mambo yenyewe hayo.

Niliwahi andika makala fulani miaka kadhaa nyuma kuwa úkitaka kutoka na kufanikiwa hapa Tanzania, Basi wekeza kwenye mambo ya ujingaujinga.

Watanzania wengi kwenye ujinga hawahitaji Usimamizi mkubwa. Wataufanya kwa kiwango kizuri na kikubwa utakachokipenda.

Makonda na uongozi wa Tanzania unajua wananchi wa Tanzania wakoje na wanataka nini.

Asije akakudanganya mtu kuwa watanzania wanataka Katiba mpya. Nop!
Asije akakudanganya mtu watanzania wanahitaji sijui Maendeleo, nop!
Hilo sio hitaji la msingi la Watanzania.

Watanzania wengi wanahitaji furaha, na furaha ya ni kusikia habari za udaku, uongouongo, habari mbaya za Watu wengine.

Ukiwa mzuri kwenye drama hapa Tanzania wewe ni Lulu na soko lako ni kubwa mno.

1. Ukiwa mwanasiasa jifanye unakoromea wanasiasa wenzako. Wachimbe mkwara hadharani na jifanye unaweza kuwaweka ndani la wasipofuata maelekezo yako

2. Jifanye unasakwa kwa udi na uvumba ili uuawe na ushategewa mitego, mabomu, na sumu ili uuawe kwaajili ya kutetea wananchi.

3. Jifanye unasikiliza matatizo ya Watu. Watanzania wengi wanapenda danganya Toto.

4. Sema upo tayari kwa lolote ikiwezekana kufa kwajili ya wananchi.

5. Vunja sheria na katiba ya nchi kisa kutatua mgogoro unaotokana na kuvunjwa kwa hizohizo sheria.
Watanzania wengi sio Watu wa kuheshimu utaratibu, kanuni na sheria.
Ukiwa mtu wa sheria na taratibu na kujifanya unafuata kanuni upo kwenye hatari ya kuchukiwa na watanzania wengi.
Watanzania wanachojali ni kusaidiwa matatizo yao bila kujali sheria imefuatwa au laah! Hii ni kutokana na tabia ya ubinafsi.

6. Ita viongozi wa dini jifanye ni marafiki zako.
Hii itakufanya watanzania wakuone wewe ni mtu mwema na mpenda Mungu. Jambo ambalo wewe mwenyewe unajijua sio kweli.

7. Penda kuwabughudhi wenye vipato ikiwemo wafanyabishara na hakikisha unawatolea maneno ya vitisho mbele ya kamera na wananchi.
Watanzania wengi hujisikia furaha pale wanapoona wale Watu waliowazidi wakibughudhiwa.

Kamwe ukiwa kiongozi kama unataka umaarufu na kupendwa na wananchi wa kitanzania waliowengi jiepushe kuwa karibu na wenye uwezo na vipato.

Wachezee watanzania kekundu, mchana upo nao alafu usiku wakienda kulala unaenda zako kwa wenye navyo.

8. Watanzania huamini maneno mabaya zaidi kuliko mazuri.
Ukitunga propaganda ya ubaya wa mtu hasa mwenye kipato ni rahisi kwa watanzania waliowengi kuipokea na kuiamini.

9. Usisahau, watanzania wengi yaani asilimia kubwa ni majizi na hawana shukran. Vyovyote utakavyo wasaidia elewa kuwa kama utakuwa unaishi kweli yale uyasemayo yaani Haki kwelikweli na ukawa maskini ndio watakao kuwa wakwanza kukucheka na kukubeza.

Hao wenye Akili ni wachache mno. Na hakuna tija kisiasa kuwa upande wa Watu wachache. Hivyo tumia mbinu kulingana na wingi wa wahusika katika eneo ulilopo.

Acha Nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Of course watu wajinga wanataka hivyo ila mimi hapana,japo unachoongea kina ukweli Kwa sehemu kubwa.
 
Tukiachana na chuki binafsi na kusimamia uhalisia tutalitendea haki taifa.Siku zote mchapa kazi huwa kikwazo sana kwa wale bora viongozi, wavivu, wezi, miungu watu n.k..Kipimo cha kiongozi mzuri/bora,huwa ni wananchi anaowaongoza,hasa wa hali ya chini.Makonda anakubalika sana kwa wananchi wa hali ya chini kama alivyokuwa hayati J.P.MAGUFULI kwasababu ni kiongozi aliye karibu na watu wake,huwasikiliza na kutatua changamoto zao kwa vitendo na uwazi bila unafiki.Huyu Makonda akishindanishwa na SAMIA S.H. wa utawala huu kwa wananchi, Makonda atapita kwa 100%.
He is just a populist. Nothing more.

Ametatua shida gani za wananchi? Nipe mfano?
 
Pamoja na yote, PCM anawakilisha hisia za watanzania wengi wanaomtakia Mama mema.

sifa kubwa ya CCM ni wanafiki and snitches. Huwa wanawekeana hata sumu.

90% waliokuwa wakimchekea JPM na kumuimba mitano tena , 89% among them walikuwa wanafiki na wakikaa pembeni wana msnitch. Hata ma’am alikuwa anampigia JPM makofi, but deep down , it wasn’t that way . Hiyo ndio CCM ! Chama cha Majambazi!

This time, kuna watu for sure wanautaka urais and they believe mama is unable to still handle the position. First off, gender issue , for them ….. woman is less. Second; wanaona nchi inaenda mrama na imekosa dira and mam does not know what she can do best. Dola imepotea, petrol ipo juu, deni limeongezeka, ufisadi ni kama umerudi, construction zimestuck, food supplies bei hazishikiki, kila mtu analia, japo wapo wanaocheka.

Third, hesabu zao zitayumba endapo mama atapiga mitano, kama mama ataendelea, chances za wao kupoteza matumaini zitaongezeka kama ilivyo kwa Raila.

PCM ni smartest guy kwa karne ya sasa. He was trained to sniff ; and he also Learned what is the right moment to hit the ball , his speech was so perfect and at the right moment.

However, it has disturbed a lot kwa sababu hao watu wapo , and some of them wapo kwenye high table na president, kama wengi mnadhani PCM ameropoka, you might have wrong idea .

The boy is very strategically and it takes a lot of minds to understand him. I am sure Samia anaelewa the connotation.

Aingie mzigoni awapige intel kama alivyofanya Ngosha ikiwemo kuingilia mawasiliano yao.

Unaweza kuwa unakimbizana na lema au lissu au wanamitandao, kumbe the devil is just right on your nose.
Ukiona MTU amerusha tusi kwenye huu uzi ujue ndio huyo huyo wazir anayehusika
 
Back
Top Bottom