Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Kwema Wakuu!

Usijeleta u-serious wako uwapo mbele ya Watanzania. Mambo ya akili mingi watanzania hawayataki, mambo ya kweli watanzania sio Wafuasi wake.

Ndio maana kijamii sio ajabu ukawakuta Watu kama kína Mwijaku, Dotto Magari, Piere Liquid, kina Mange Kimambi, na wengineo wakiwa na influence ndani ya jamii ya Tanzania.

Watanzania wanapenda udaku, habari za uongouongo na uzushi, habari za kufarakana na kufarakanisha, umbeaumbea. Habari za connections za video za ngono ndio watanzania wanazozipenda.

Habari za usimba na Uyanga, udiamond na ualikiba. Ndio mambo yenyewe hayo.

Niliwahi andika makala fulani miaka kadhaa nyuma kuwa úkitaka kutoka na kufanikiwa hapa Tanzania, Basi wekeza kwenye mambo ya ujingaujinga.

Watanzania wengi kwenye ujinga hawahitaji Usimamizi mkubwa. Wataufanya kwa kiwango kizuri na kikubwa utakachokipenda.

Makonda na uongozi wa Tanzania unajua wananchi wa Tanzania wakoje na wanataka nini.

Asije akakudanganya mtu kuwa watanzania wanataka Katiba mpya. Nop!
Asije akakudanganya mtu watanzania wanahitaji sijui Maendeleo, nop!
Hilo sio hitaji la msingi la Watanzania.

Watanzania wengi wanahitaji furaha, na furaha ya ni kusikia habari za udaku, uongouongo, habari mbaya za Watu wengine.

Ukiwa mzuri kwenye drama hapa Tanzania wewe ni Lulu na soko lako ni kubwa mno.

1. Ukiwa mwanasiasa jifanye unakoromea wanasiasa wenzako. Wachimbe mkwara hadharani na jifanye unaweza kuwaweka ndani la wasipofuata maelekezo yako

2. Jifanye unasakwa kwa udi na uvumba ili uuawe na ushategewa mitego, mabomu, na sumu ili uuawe kwaajili ya kutetea wananchi.

3. Jifanye unasikiliza matatizo ya Watu. Watanzania wengi wanapenda danganya Toto.

4. Sema upo tayari kwa lolote ikiwezekana kufa kwajili ya wananchi.

5. Vunja sheria na katiba ya nchi kisa kutatua mgogoro unaotokana na kuvunjwa kwa hizohizo sheria.
Watanzania wengi sio Watu wa kuheshimu utaratibu, kanuni na sheria.
Ukiwa mtu wa sheria na taratibu na kujifanya unafuata kanuni upo kwenye hatari ya kuchukiwa na watanzania wengi.
Watanzania wanachojali ni kusaidiwa matatizo yao bila kujali sheria imefuatwa au laah! Hii ni kutokana na tabia ya ubinafsi.

6. Ita viongozi wa dini jifanye ni marafiki zako.
Hii itakufanya watanzania wakuone wewe ni mtu mwema na mpenda Mungu. Jambo ambalo wewe mwenyewe unajijua sio kweli.

7. Penda kuwabughudhi wenye vipato ikiwemo wafanyabishara na hakikisha unawatolea maneno ya vitisho mbele ya kamera na wananchi.
Watanzania wengi hujisikia furaha pale wanapoona wale Watu waliowazidi wakibughudhiwa.

Kamwe ukiwa kiongozi kama unataka umaarufu na kupendwa na wananchi wa kitanzania waliowengi jiepushe kuwa karibu na wenye uwezo na vipato.

Wachezee watanzania kekundu, mchana upo nao alafu usiku wakienda kulala unaenda zako kwa wenye navyo.

8. Watanzania huamini maneno mabaya zaidi kuliko mazuri.
Ukitunga propaganda ya ubaya wa mtu hasa mwenye kipato ni rahisi kwa watanzania waliowengi kuipokea na kuiamini.

9. Usisahau, watanzania wengi yaani asilimia kubwa ni majizi na hawana shukran. Vyovyote utakavyo wasaidia elewa kuwa kama utakuwa unaishi kweli yale uyasemayo yaani Haki kwelikweli na ukawa maskini ndio watakao kuwa wakwanza kukucheka na kukubeza.

Hao wenye Akili ni wachache mno. Na hakuna tija kisiasa kuwa upande wa Watu wachache. Hivyo tumia mbinu kulingana na wingi wa wahusika katika eneo ulilopo.

Acha Nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Umesahau Ile lugha Yao Maarufu ya kuitwa wanyonge 🤣🤣
 
Watanzania wengi hupendelea kuitwa majina ya dhalili kwao ni sifa na huona kama wanajaliwa
Harafu Chadema wanaleta maneno meeengi Kwa Wabongo 😁😁😁

Huwa nawaona hawana akili na Wala hawajawatambua Wabongo.

Wabongo wanapenda mtu kama Kibajaji vile
 
Kwema Wakuu!

Usijeleta u-serious wako uwapo mbele ya Watanzania. Mambo ya akili mingi watanzania hawayataki, mambo ya kweli watanzania sio Wafuasi wake.

Ndio maana kijamii sio ajabu ukawakuta Watu kama kína Mwijaku, Dotto Magari, Piere Liquid, kina Mange Kimambi, na wengineo wakiwa na influence ndani ya jamii ya Tanzania.

Watanzania wanapenda udaku, habari za uongouongo na uzushi, habari za kufarakana na kufarakanisha, umbeaumbea. Habari za connections za video za ngono ndio watanzania wanazozipenda.

Habari za usimba na Uyanga, udiamond na ualikiba. Ndio mambo yenyewe hayo.

Niliwahi andika makala fulani miaka kadhaa nyuma kuwa úkitaka kutoka na kufanikiwa hapa Tanzania, Basi wekeza kwenye mambo ya ujingaujinga.

Watanzania wengi kwenye ujinga hawahitaji Usimamizi mkubwa. Wataufanya kwa kiwango kizuri na kikubwa utakachokipenda.

Makonda na uongozi wa Tanzania unajua wananchi wa Tanzania wakoje na wanataka nini.

Asije akakudanganya mtu kuwa watanzania wanataka Katiba mpya. Nop!
Asije akakudanganya mtu watanzania wanahitaji sijui Maendeleo, nop!
Hilo sio hitaji la msingi la Watanzania.

Watanzania wengi wanahitaji furaha, na furaha ya ni kusikia habari za udaku, uongouongo, habari mbaya za Watu wengine.

Ukiwa mzuri kwenye drama hapa Tanzania wewe ni Lulu na soko lako ni kubwa mno.

1. Ukiwa mwanasiasa jifanye unakoromea wanasiasa wenzako. Wachimbe mkwara hadharani na jifanye unaweza kuwaweka ndani la wasipofuata maelekezo yako

2. Jifanye unasakwa kwa udi na uvumba ili uuawe na ushategewa mitego, mabomu, na sumu ili uuawe kwaajili ya kutetea wananchi.

3. Jifanye unasikiliza matatizo ya Watu. Watanzania wengi wanapenda danganya Toto.

4. Sema upo tayari kwa lolote ikiwezekana kufa kwajili ya wananchi.

5. Vunja sheria na katiba ya nchi kisa kutatua mgogoro unaotokana na kuvunjwa kwa hizohizo sheria.
Watanzania wengi sio Watu wa kuheshimu utaratibu, kanuni na sheria.
Ukiwa mtu wa sheria na taratibu na kujifanya unafuata kanuni upo kwenye hatari ya kuchukiwa na watanzania wengi.
Watanzania wanachojali ni kusaidiwa matatizo yao bila kujali sheria imefuatwa au laah! Hii ni kutokana na tabia ya ubinafsi.

6. Ita viongozi wa dini jifanye ni marafiki zako.
Hii itakufanya watanzania wakuone wewe ni mtu mwema na mpenda Mungu. Jambo ambalo wewe mwenyewe unajijua sio kweli.

7. Penda kuwabughudhi wenye vipato ikiwemo wafanyabishara na hakikisha unawatolea maneno ya vitisho mbele ya kamera na wananchi.
Watanzania wengi hujisikia furaha pale wanapoona wale Watu waliowazidi wakibughudhiwa.

Kamwe ukiwa kiongozi kama unataka umaarufu na kupendwa na wananchi wa kitanzania waliowengi jiepushe kuwa karibu na wenye uwezo na vipato.

Wachezee watanzania kekundu, mchana upo nao alafu usiku wakienda kulala unaenda zako kwa wenye navyo.

8. Watanzania huamini maneno mabaya zaidi kuliko mazuri.
Ukitunga propaganda ya ubaya wa mtu hasa mwenye kipato ni rahisi kwa watanzania waliowengi kuipokea na kuiamini.

9. Usisahau, watanzania wengi yaani asilimia kubwa ni majizi na hawana shukran. Vyovyote utakavyo wasaidia elewa kuwa kama utakuwa unaishi kweli yale uyasemayo yaani Haki kwelikweli na ukawa maskini ndio watakao kuwa wakwanza kukucheka na kukubeza.

Hao wenye Akili ni wachache mno. Na hakuna tija kisiasa kuwa upande wa Watu wachache. Hivyo tumia mbinu kulingana na wingi wa wahusika katika eneo ulilopo.

Acha Nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Umemaliza kila kitu.

Ndo mana ili hii nchi iweze kuendelea kweli ni lazima vyovyote vile wenye akili ndo washike madaraka ya hii nchi.

Vinginevyo siku si nyingi sana tutakuwa failed state.
 
Umemaliza kila kitu.

Ndo mana ili hii nchi iweze kuendelea kweli ni lazima vyovyote vile wenye akili ndo washike madaraka ya hii nchi.

Vinginevyo siku si nyingi sana tutakuwa failed state.
Tupeni nafasi wenye akili tuwasaidie mipango ila tuu kama mfumo wa siasa utakuwa supportive.

Ila Kwa jinsi hii ya Bora liende,hapa Kila mtu apambanie tumbo lake
 
Tupeni nafasi wenye akili tuwasaidie mipango ila tuu kama mfumo wa siasa utakuwa supportive.

Ila Kwa jinsi hii ya Bora liende,hapa Kila mtu apambanie tumbo lake
Ndo mana wenye akili tumeshaona kuwa in very few years to come hii nchi itakuwa failed state. Akili za watu wengi ziko kama akili zako
 
Kwema Wakuu!

Usijeleta u-serious wako uwapo mbele ya Watanzania. Mambo ya akili mingi watanzania hawayataki, mambo ya kweli watanzania sio Wafuasi wake.

Ndio maana kijamii sio ajabu ukawakuta Watu kama kína Mwijaku, Dotto Magari, Piere Liquid, kina Mange Kimambi, na wengineo wakiwa na influence ndani ya jamii ya Tanzania.

Watanzania wanapenda udaku, habari za uongouongo na uzushi, habari za kufarakana na kufarakanisha, umbeaumbea. Habari za connections za video za ngono ndio watanzania wanazozipenda.

Habari za usimba na Uyanga, udiamond na ualikiba. Ndio mambo yenyewe hayo.

Niliwahi andika makala fulani miaka kadhaa nyuma kuwa úkitaka kutoka na kufanikiwa hapa Tanzania, Basi wekeza kwenye mambo ya ujingaujinga.

Watanzania wengi kwenye ujinga hawahitaji Usimamizi mkubwa. Wataufanya kwa kiwango kizuri na kikubwa utakachokipenda.

Makonda na uongozi wa Tanzania unajua wananchi wa Tanzania wakoje na wanataka nini.

Asije akakudanganya mtu kuwa watanzania wanataka Katiba mpya. Nop!
Asije akakudanganya mtu watanzania wanahitaji sijui Maendeleo, nop!
Hilo sio hitaji la msingi la Watanzania.

Watanzania wengi wanahitaji furaha, na furaha ya ni kusikia habari za udaku, uongouongo, habari mbaya za Watu wengine.

Ukiwa mzuri kwenye drama hapa Tanzania wewe ni Lulu na soko lako ni kubwa mno.

1. Ukiwa mwanasiasa jifanye unakoromea wanasiasa wenzako. Wachimbe mkwara hadharani na jifanye unaweza kuwaweka ndani la wasipofuata maelekezo yako

2. Jifanye unasakwa kwa udi na uvumba ili uuawe na ushategewa mitego, mabomu, na sumu ili uuawe kwaajili ya kutetea wananchi.

3. Jifanye unasikiliza matatizo ya Watu. Watanzania wengi wanapenda danganya Toto.

4. Sema upo tayari kwa lolote ikiwezekana kufa kwajili ya wananchi.

5. Vunja sheria na katiba ya nchi kisa kutatua mgogoro unaotokana na kuvunjwa kwa hizohizo sheria.
Watanzania wengi sio Watu wa kuheshimu utaratibu, kanuni na sheria.
Ukiwa mtu wa sheria na taratibu na kujifanya unafuata kanuni upo kwenye hatari ya kuchukiwa na watanzania wengi.
Watanzania wanachojali ni kusaidiwa matatizo yao bila kujali sheria imefuatwa au laah! Hii ni kutokana na tabia ya ubinafsi.

6. Ita viongozi wa dini jifanye ni marafiki zako.
Hii itakufanya watanzania wakuone wewe ni mtu mwema na mpenda Mungu. Jambo ambalo wewe mwenyewe unajijua sio kweli.

7. Penda kuwabughudhi wenye vipato ikiwemo wafanyabishara na hakikisha unawatolea maneno ya vitisho mbele ya kamera na wananchi.
Watanzania wengi hujisikia furaha pale wanapoona wale Watu waliowazidi wakibughudhiwa.

Kamwe ukiwa kiongozi kama unataka umaarufu na kupendwa na wananchi wa kitanzania waliowengi jiepushe kuwa karibu na wenye uwezo na vipato.

Wachezee watanzania kekundu, mchana upo nao alafu usiku wakienda kulala unaenda zako kwa wenye navyo.

8. Watanzania huamini maneno mabaya zaidi kuliko mazuri.
Ukitunga propaganda ya ubaya wa mtu hasa mwenye kipato ni rahisi kwa watanzania waliowengi kuipokea na kuiamini.

9. Usisahau, watanzania wengi yaani asilimia kubwa ni majizi na hawana shukran. Vyovyote utakavyo wasaidia elewa kuwa kama utakuwa unaishi kweli yale uyasemayo yaani Haki kwelikweli na ukawa maskini ndio watakao kuwa wakwanza kukucheka na kukubeza.

Hao wenye Akili ni wachache mno. Na hakuna tija kisiasa kuwa upande wa Watu wachache. Hivyo tumia mbinu kulingana na wingi wa wahusika katika eneo ulilopo.

Acha Nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Umeongea ukweli mtupu kabisa yani naunga mkono hoja 100%
 
Kwema Wakuu!

Usijeleta u-serious wako uwapo mbele ya Watanzania. Mambo ya akili mingi watanzania hawayataki, mambo ya kweli watanzania sio Wafuasi wake.

Ndio maana kijamii sio ajabu ukawakuta Watu kama kína Mwijaku, Dotto Magari, Piere Liquid, kina Mange Kimambi, na wengineo wakiwa na influence ndani ya jamii ya Tanzania.

Watanzania wanapenda udaku, habari za uongouongo na uzushi, habari za kufarakana na kufarakanisha, umbeaumbea. Habari za connections za video za ngono ndio watanzania wanazozipenda.

Habari za usimba na Uyanga, udiamond na ualikiba. Ndio mambo yenyewe hayo.

Niliwahi andika makala fulani miaka kadhaa nyuma kuwa úkitaka kutoka na kufanikiwa hapa Tanzania, Basi wekeza kwenye mambo ya ujingaujinga.

Watanzania wengi kwenye ujinga hawahitaji Usimamizi mkubwa. Wataufanya kwa kiwango kizuri na kikubwa utakachokipenda.

Makonda na uongozi wa Tanzania unajua wananchi wa Tanzania wakoje na wanataka nini.

Asije akakudanganya mtu kuwa watanzania wanataka Katiba mpya. Nop!
Asije akakudanganya mtu watanzania wanahitaji sijui Maendeleo, nop!
Hilo sio hitaji la msingi la Watanzania.

Watanzania wengi wanahitaji furaha, na furaha ya ni kusikia habari za udaku, uongouongo, habari mbaya za Watu wengine.

Ukiwa mzuri kwenye drama hapa Tanzania wewe ni Lulu na soko lako ni kubwa mno.

1. Ukiwa mwanasiasa jifanye unakoromea wanasiasa wenzako. Wachimbe mkwara hadharani na jifanye unaweza kuwaweka ndani la wasipofuata maelekezo yako

2. Jifanye unasakwa kwa udi na uvumba ili uuawe na ushategewa mitego, mabomu, na sumu ili uuawe kwaajili ya kutetea wananchi.

3. Jifanye unasikiliza matatizo ya Watu. Watanzania wengi wanapenda danganya Toto.

4. Sema upo tayari kwa lolote ikiwezekana kufa kwajili ya wananchi.

5. Vunja sheria na katiba ya nchi kisa kutatua mgogoro unaotokana na kuvunjwa kwa hizohizo sheria.
Watanzania wengi sio Watu wa kuheshimu utaratibu, kanuni na sheria.
Ukiwa mtu wa sheria na taratibu na kujifanya unafuata kanuni upo kwenye hatari ya kuchukiwa na watanzania wengi.
Watanzania wanachojali ni kusaidiwa matatizo yao bila kujali sheria imefuatwa au laah! Hii ni kutokana na tabia ya ubinafsi.

6. Ita viongozi wa dini jifanye ni marafiki zako.
Hii itakufanya watanzania wakuone wewe ni mtu mwema na mpenda Mungu. Jambo ambalo wewe mwenyewe unajijua sio kweli.

7. Penda kuwabughudhi wenye vipato ikiwemo wafanyabishara na hakikisha unawatolea maneno ya vitisho mbele ya kamera na wananchi.
Watanzania wengi hujisikia furaha pale wanapoona wale Watu waliowazidi wakibughudhiwa.

Kamwe ukiwa kiongozi kama unataka umaarufu na kupendwa na wananchi wa kitanzania waliowengi jiepushe kuwa karibu na wenye uwezo na vipato.

Wachezee watanzania kekundu, mchana upo nao alafu usiku wakienda kulala unaenda zako kwa wenye navyo.

8. Watanzania huamini maneno mabaya zaidi kuliko mazuri.
Ukitunga propaganda ya ubaya wa mtu hasa mwenye kipato ni rahisi kwa watanzania waliowengi kuipokea na kuiamini.

9. Usisahau, watanzania wengi yaani asilimia kubwa ni majizi na hawana shukran. Vyovyote utakavyo wasaidia elewa kuwa kama utakuwa unaishi kweli yale uyasemayo yaani Haki kwelikweli na ukawa maskini ndio watakao kuwa wakwanza kukucheka na kukubeza.

Hao wenye Akili ni wachache mno. Na hakuna tija kisiasa kuwa upande wa Watu wachache. Hivyo tumia mbinu kulingana na wingi wa wahusika katika eneo ulilopo.

Acha Nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa FaSiSin
Siongezi neno mkuu
 
Ndo mana wenye akili tumeshaona kuwa in very few years to come hii nchi itakuwa failed state. Akili za watu wengi ziko kama akili zako
Wenye akili hawawezi kuwa wale wajamaa mbuzi na wazee wa propaganda na vitisho kama kina Mwendazake au Makonda
 
Kwema Wakuu!

Usijeleta u-serious wako uwapo mbele ya Watanzania. Mambo ya akili mingi watanzania hawayataki, mambo ya kweli watanzania sio Wafuasi wake.

Ndio maana kijamii sio ajabu ukawakuta Watu kama kína Mwijaku, Dotto Magari, Piere Liquid, kina Mange Kimambi, na wengineo wakiwa na influence ndani ya jamii ya Tanzania.

Watanzania wanapenda udaku, habari za uongouongo na uzushi, habari za kufarakana na kufarakanisha, umbeaumbea. Habari za connections za video za ngono ndio watanzania wanazozipenda.

Habari za usimba na Uyanga, udiamond na ualikiba. Ndio mambo yenyewe hayo.

Niliwahi andika makala fulani miaka kadhaa nyuma kuwa úkitaka kutoka na kufanikiwa hapa Tanzania, Basi wekeza kwenye mambo ya ujingaujinga.

Watanzania wengi kwenye ujinga hawahitaji Usimamizi mkubwa. Wataufanya kwa kiwango kizuri na kikubwa utakachokipenda.

Makonda na uongozi wa Tanzania unajua wananchi wa Tanzania wakoje na wanataka nini.

Asije akakudanganya mtu kuwa watanzania wanataka Katiba mpya. Nop!
Asije akakudanganya mtu watanzania wanahitaji sijui Maendeleo, nop!
Hilo sio hitaji la msingi la Watanzania.

Watanzania wengi wanahitaji furaha, na furaha ya ni kusikia habari za udaku, uongouongo, habari mbaya za Watu wengine.

Ukiwa mzuri kwenye drama hapa Tanzania wewe ni Lulu na soko lako ni kubwa mno.

1. Ukiwa mwanasiasa jifanye unakoromea wanasiasa wenzako. Wachimbe mkwara hadharani na jifanye unaweza kuwaweka ndani la wasipofuata maelekezo yako

2. Jifanye unasakwa kwa udi na uvumba ili uuawe na ushategewa mitego, mabomu, na sumu ili uuawe kwaajili ya kutetea wananchi.

3. Jifanye unasikiliza matatizo ya Watu. Watanzania wengi wanapenda danganya Toto.

4. Sema upo tayari kwa lolote ikiwezekana kufa kwajili ya wananchi.

5. Vunja sheria na katiba ya nchi kisa kutatua mgogoro unaotokana na kuvunjwa kwa hizohizo sheria.
Watanzania wengi sio Watu wa kuheshimu utaratibu, kanuni na sheria.
Ukiwa mtu wa sheria na taratibu na kujifanya unafuata kanuni upo kwenye hatari ya kuchukiwa na watanzania wengi.
Watanzania wanachojali ni kusaidiwa matatizo yao bila kujali sheria imefuatwa au laah! Hii ni kutokana na tabia ya ubinafsi.

6. Ita viongozi wa dini jifanye ni marafiki zako.
Hii itakufanya watanzania wakuone wewe ni mtu mwema na mpenda Mungu. Jambo ambalo wewe mwenyewe unajijua sio kweli.

7. Penda kuwabughudhi wenye vipato ikiwemo wafanyabishara na hakikisha unawatolea maneno ya vitisho mbele ya kamera na wananchi.
Watanzania wengi hujisikia furaha pale wanapoona wale Watu waliowazidi wakibughudhiwa.

Kamwe ukiwa kiongozi kama unataka umaarufu na kupendwa na wananchi wa kitanzania waliowengi jiepushe kuwa karibu na wenye uwezo na vipato.

Wachezee watanzania kekundu, mchana upo nao alafu usiku wakienda kulala unaenda zako kwa wenye navyo.

8. Watanzania huamini maneno mabaya zaidi kuliko mazuri.
Ukitunga propaganda ya ubaya wa mtu hasa mwenye kipato ni rahisi kwa watanzania waliowengi kuipokea na kuiamini.

9. Usisahau, watanzania wengi yaani asilimia kubwa ni majizi na hawana shukran. Vyovyote utakavyo wasaidia elewa kuwa kama utakuwa unaishi kweli yale uyasemayo yaani Haki kwelikweli na ukawa maskini ndio watakao kuwa wakwanza kukucheka na kukubeza.

Hao wenye Akili ni wachache mno. Na hakuna tija kisiasa kuwa upande wa Watu wachache. Hivyo tumia mbinu kulingana na wingi wa wahusika katika eneo ulilopo.

Acha Nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Leo ni siku ya Jumamosi.Unaongea uongo. Kwanza lazima, ujue kuwa duniani kote kuna mipira, kuna udaku, na kila kitu. Sasa, ww unataka kutudanganya kuwa, WA Tanzania wanatakiwa wawe wanawaza, tu katiba mpya, sio kweli.
 
Kwema Wakuu!

Usijeleta u-serious wako uwapo mbele ya Watanzania. Mambo ya akili mingi watanzania hawayataki, mambo ya kweli watanzania sio Wafuasi wake.

Ndio maana kijamii sio ajabu ukawakuta Watu kama kína Mwijaku, Dotto Magari, Piere Liquid, kina Mange Kimambi, na wengineo wakiwa na influence ndani ya jamii ya Tanzania.

Watanzania wanapenda udaku, habari za uongouongo na uzushi, habari za kufarakana na kufarakanisha, umbeaumbea. Habari za connections za video za ngono ndio watanzania wanazozipenda.

Habari za usimba na Uyanga, udiamond na ualikiba. Ndio mambo yenyewe hayo.

Niliwahi andika makala fulani miaka kadhaa nyuma kuwa úkitaka kutoka na kufanikiwa hapa Tanzania, Basi wekeza kwenye mambo ya ujingaujinga.

Watanzania wengi kwenye ujinga hawahitaji Usimamizi mkubwa. Wataufanya kwa kiwango kizuri na kikubwa utakachokipenda.

Makonda na uongozi wa Tanzania unajua wananchi wa Tanzania wakoje na wanataka nini.

Asije akakudanganya mtu kuwa watanzania wanataka Katiba mpya. Nop!
Asije akakudanganya mtu watanzania wanahitaji sijui Maendeleo, nop!
Hilo sio hitaji la msingi la Watanzania.

Watanzania wengi wanahitaji furaha, na furaha ya ni kusikia habari za udaku, uongouongo, habari mbaya za Watu wengine.

Ukiwa mzuri kwenye drama hapa Tanzania wewe ni Lulu na soko lako ni kubwa mno.

1. Ukiwa mwanasiasa jifanye unakoromea wanasiasa wenzako. Wachimbe mkwara hadharani na jifanye unaweza kuwaweka ndani la wasipofuata maelekezo yako

2. Jifanye unasakwa kwa udi na uvumba ili uuawe na ushategewa mitego, mabomu, na sumu ili uuawe kwaajili ya kutetea wananchi.

3. Jifanye unasikiliza matatizo ya Watu. Watanzania wengi wanapenda danganya Toto.

4. Sema upo tayari kwa lolote ikiwezekana kufa kwajili ya wananchi.

5. Vunja sheria na katiba ya nchi kisa kutatua mgogoro unaotokana na kuvunjwa kwa hizohizo sheria.
Watanzania wengi sio Watu wa kuheshimu utaratibu, kanuni na sheria.
Ukiwa mtu wa sheria na taratibu na kujifanya unafuata kanuni upo kwenye hatari ya kuchukiwa na watanzania wengi.
Watanzania wanachojali ni kusaidiwa matatizo yao bila kujali sheria imefuatwa au laah! Hii ni kutokana na tabia ya ubinafsi.

6. Ita viongozi wa dini jifanye ni marafiki zako.
Hii itakufanya watanzania wakuone wewe ni mtu mwema na mpenda Mungu. Jambo ambalo wewe mwenyewe unajijua sio kweli.

7. Penda kuwabughudhi wenye vipato ikiwemo wafanyabishara na hakikisha unawatolea maneno ya vitisho mbele ya kamera na wananchi.
Watanzania wengi hujisikia furaha pale wanapoona wale Watu waliowazidi wakibughudhiwa.

Kamwe ukiwa kiongozi kama unataka umaarufu na kupendwa na wananchi wa kitanzania waliowengi jiepushe kuwa karibu na wenye uwezo na vipato.

Wachezee watanzania kekundu, mchana upo nao alafu usiku wakienda kulala unaenda zako kwa wenye navyo.

8. Watanzania huamini maneno mabaya zaidi kuliko mazuri.
Ukitunga propaganda ya ubaya wa mtu hasa mwenye kipato ni rahisi kwa watanzania waliowengi kuipokea na kuiamini.

9. Usisahau, watanzania wengi yaani asilimia kubwa ni majizi na hawana shukran. Vyovyote utakavyo wasaidia elewa kuwa kama utakuwa unaishi kweli yale uyasemayo yaani Haki kwelikweli na ukawa maskini ndio watakao kuwa wakwanza kukucheka na kukubeza.

Hao wenye Akili ni wachache mno. Na hakuna tija kisiasa kuwa upande wa Watu wachache. Hivyo tumia mbinu kulingana na wingi wa wahusika katika eneo ulilopo.

Acha Nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam


Ungesema Watanzania wengi. Kuna Watanzania wengine tunajali nchi kuendelea hizi kiki, uchawa na drama hazitusaidii chochote badala yake hii system ya Tanzania inanufaisha wachache sana. Tatizo Watanzania wengi kama mfano wako mnajiona ni wanyonge nyonge tu
 
sio hoja tu,

bali pia kijana ana maono ya mbali, nia ya dhati, uwezo na ujasiri wa kipekee sana, si tu wa kusema kwa maneno, bali pia kutenda kwa vitendo 🐒

ana tofauti ndogo sana na Hayati Edward Moringe Sokoine.
Itoshe tu kusema, Makonda ni Sokoine wa nyakati hizi, atafika mbali 🐒
Hivi haiwezekani tukamkubali mtu kwa jinsi alivyo yeye bila kumfananisha na mtu mwingine (haswa marehemu)?

Binaadam wote ni Sawa ila kila mmoja kaumbwa na utofauti wake wa kipekee sana na tutauona vizuri zaidi tukiondoa fikra za kulinganishana na kufananishana.
 
Asante sana kwa somo zuri. Ni wakati wa utekelezaji sasa.
 
Leo ni siku ya Jumamosi.Unaongea uongo. Kwanza lazima, ujue kuwa duniani kote kuna mipira, kuna udaku, na kila kitu. Sasa, ww unataka kutudanganya kuwa, WA Tanzania wanatakiwa wawe wanawaza, tu katiba mpya, sio kweli.
Sio sahihi kudhani Katiba ndio italeta maendeleo,hii dhana ni mbaya sana na ni upotoshaji mkubwa.
 
Rais wa WaTz kwa Kura ngapi alizooata yeye na mwenza wake? Mpaka leo haijulikani kwa wizi wao. Huyo anajiopalilia ulaji wake unasema asipuuzwe. Na anayeita Katiba 'kakitabu', ataachwa kupuuzwa?
Kwahiyo ndiyo sababu ya kumtusi na kuutweza utu wake vile?

Leo hii 2024 ndio mnashtuka usingizini kwamba hatakiwi kukaa hapo?

Hiyo statement ya kuiita Katiba “kakitabu ndio mmeisikia leo?

Rais Samia, wanatishia kumwaga ugali…wewe tupa kabisa mboga na kwenye mafiga mwanga maji na mikono yao walambishe mchanga, ukichelewa wanakuwahi.
 
Leo ni siku ya Jumamosi.Unaongea uongo. Kwanza lazima, ujue kuwa duniani kote kuna mipira, kuna udaku, na kila kitu. Sasa, ww unataka kutudanganya kuwa, WA Tanzania wanatakiwa wawe wanawaza, tu katiba mpya, sio kweli.

Kitu kinaweza kuwepo lakini kisipendwe.
 
Ungesema Watanzania wengi. Kuna Watanzania wengine tunajali nchi kuendelea hizi kiki, uchawa na drama hazitusaidii chochote badala yake hii system ya Tanzania inanufaisha wachache sana. Tatizo Watanzania wengi kama mfano wako mnajiona ni wanyonge nyonge tu

Watanzania wengi
 
Back
Top Bottom