Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Ndugu zangu Watanzania,

Mimi naendelea kuwapeni habari tofauti tofauti na mchanganyiko bila kuchoka .pia msichoke maana maisha ndio haya haya na nchi yetu ndio hii hii na watanzania ndio hawa hawa.

Ipo hivi kuna wimbo umemuonyesha Mkuu wa mkoa wa Arusha Mheshimiwa Makonda akicheza na kuimba kwenye gari lake, katika wimbo unaoitwa NAMLETA MAMA SAMIA. Video hiyo ambayo imeendelea kusambaa na kufurahiwa na watu wengi juu ya wimbo huo ambao umetungwa na msanii wa bongo freva Diamond.

Mhessimiwa Makonda mwishoni wa wimbo huo baada ya kumaliza kucheza wimbo huo amesema tukutane 2025. Hii ikimaanisha ni miongoni mwa nyimbo kali zitakazotikisa na kutumiwa wakati wa kampeni za Urais wa Rais Samia ,ambaye mamilioni ya watanzania wamekuwa wakiipigia magoti na kuisihi sana CCM kuhakikisha jina la Rais Samia linarejeshwa kwa wananchi kama mgombea pekee wa CCM atakaye peperusha bendera yake ili wampigie kura za ndio kwa kishindo kama sehemu ya kutoa shukurani kwake kwa utumishi wake uliotukuka.

Tuendelee kutulia na kuendelea kufurahia utawala wa mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Video nitaangalia namna ya kuwawekea .ila kama unaweza ingia moja kwa moja kwenye instagram ya Diamond ujionee mwenyewe badala ya kuhadithiwa na Mwashambwa.

Mwisho nawasihi tu japo siyo kwa umuhimu,kuwa tuendelee kupendana sana watanzania,kuwa wamoja, tushirikiane, tusaidiane na tuwe kitu kimoja katika mambo yanayogusa maslahi ya Taifa letu.tusichukiane bila sababu wala kuumizana sisi kwa sisi. Duniani ni wapitaji tu ndugu zangu.hasira ya nini.wewe furahia maisha yako hata kama una lala njaa wewe jipe moyo tu kuwa kesho nayo ni siku Mungu atakupatia chakula.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Wana CCM toka wajue kwamba inawezekana na hakuna lolote litakalotokea la kutisha naona wanajiandaa katika Hali ambayo haijawai tokea. Mpaka tufike 2025 tutaona mengi sana ya kutisha na kustaajabish. Tufunge mikanda tu
 
Kuwa
Tatizo lakuwapa watu wasimamie mambo ambayo siyo fani zao.Huyo mzee miaka yake yote alikua anashughulika na mambo ya uhasibu leo unamleta asimamie mambo yote ya utalii na uhifadhi plus jamii itakavyonufaika na hiyo taasisi lazima maelezo yapelee.
Kuwa Mhasibu hakumzuii kuielewa taasisi yake..mf kujua Hifadhi ya Taifa ya Tarangire iko mkoa gani .
 
Na Mapooza yanatokana na kuinajinsi ardhi aliyotupa Mola kwa kufanya machafu kama vile;
Kudhulumu mali za wengine.
Kudhulumu "haki za kuishi" za viumbe walioumbwa na Mola
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama kawaida ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ni mtu wa kuteka hadhira, ni mtu wa kuteka mijadala, ni mtu wa kuondoka na point tatu na magoli ya kutosha,ni mtu anayeijuwa siasa,ni mtu msema kweli, jasiri,imara, hodari, madhubuti, shupavu na mwenye misimamo yake na ya aina yake.

popote alipo ni lazima pafahamike na kuvuma kama upepo wa baharini, ni Mwamba kwelikweli, ni field Marshall ambaye akianza kuzungumza unaona hata sisiminzi wanatulia kusubiri amalize kuzungumza ndio waendelee na shughuli zao.kiukweli huyu Mwamba ni jasiri sijapata kuona. Ni jasiri mpaka shetani mwenyewe anamuogopa.

Leo katika kutoa kwake neno amemmwagia sifa kemkemu Askofu mkuu mstaafu wa jimbo kuu la Dar es salaam Kardinali Pengo kwa kusema kuwa amesimama naye wakati akiwa na cheo na wakati akiwa hana cheo.

Akaendelea kusema kuwa anafurahi tena kumuona akikanyaga katika ardhi aliyopewa na Mheshimiwa Rais kuiongoza na ni bahati ya kimungu , na kwamba ni mwisho kuzaliwa kwa mapooza na kwamba ardhi haitazaa tena mapooza.

Mnafikiri alimaanisha nini Mwamba kwa kauli hii ndugu zangu. Mnauonaje ujasiri wa Mwamba awapo jukwaani na Maiki Mdomoni pake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine
LEO NI JUMATATU. TUNASUBIRI MAJINA YA MAWAZIRI WANAOMTUKANA RAISI WETU
NOTE: YULE SIYO MAMA WA MAKONDA NI Rasi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 
Leo jumatatu ataje hao wafadhili wa Mange kwani weekend yote hii ameendelea kuporomosha matusi tena mazito mazito,siyo anatingisha tingisha sambwanda lake tu.
 
Kwanini hakwenda kuaga miili ya wanafunzi Jana?
Swali la kijinga sana.Ameenda kukagua madhara ya mafuriko sehemu mbalimbali mkoani Arusha.
Kwenye kuaga miili alikuwepo Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini ambako ndio ajali ilipotokea.
Hivyo siku nyingine shirikisha ubongo.
 
Swali la kijinga sana.Ameenda kukagua madhara ya mafuriko sehemu mbalimbali mkoani Arusha.
Kwenye kuaga miili alikuwepo Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini ambako ndio ajali ilipotokea.
Hivyo siku nyingine shirikisha ubongo.
Kuna jibu la kijinga, ila hakuna swali la kijinga.
 
Ni ya mtu binafsi na anaitangaza sana wageni wengi wanapita hapo...
Fanya utalii wa ndani ujifunze vitu sio mnaandika vitu vya Arusha kama vile vipo USA...ukiangalia site zote za matangazo ya ya utalii ipo na imechukua tuzo bora kadhaa..
Gharama yake ipoje kutalii hapo mkuu ?
 
Pamoja na mtindio wa akili nadhani umeelewa.
Wisdom is chasing you but you are always faster.
Swali halijajibiwa,

Kwanini hakwenda Kutoa Heshima za mwisho Kwa watoto wale tena wa shule ya msingi?

Nani kakwambia hiyo ziara ya uharibifu isingewezekana kufanyika baada ya watoto kuzikwa?

Karibu🙏
 
Arusha imempendeza sana, Bw. Makonda, hata wapige kelele za namna gani, hapo arusha asihamishwe, wana arusha tumemkubali na tunaamini tutasonga mbele kwa kasi kubwa huku kero zetu zikimalizwa kwa 100%.
Imependeza nini? na nini maana ya kupendeza? weww ni me au ke? make kama nu me una matatizo, haiwezekani kutwa nzima kusifia wanaume wenzako.
 
Hawajalaaniwa sema jamaa ni wakorofi mno.waliwahi kufukua makaburi ya wazungu wamisionari ili wawatahiri kule meru 🤣
🤣🤣🤣Nadhani na bangi nayo inachangia,nmekaa na Wameru sana....ni ndugu zangu,kwahyo nawajua vizuri sana.Kitu kama Bangi ni kawaida tu....Kuhusu ukorofi ni kweli,ukorofi wanao...tena Ukorofi wao ni ule Ukorofi OG...sio wa kujifunza au kuiga.
 
Mpaka saa saba hii nyamitako hajataja hao wafadhili wa Mange Kimambi anatingisha kalio lake tu
 
Back
Top Bottom