Gilbert Prudence
Member
- Oct 30, 2018
- 35
- 62
Katatua shida za wananchi Arusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo usanii hauwezi kubadili nchi hii. Tunataka mifumo inayofanya kazi kwa usahihi, sio mtu kusaka kiki za kisiasa. Hapo anajifanya anatatua matatizo ambayo chama Chake kimeshindwa kufanya mifumo ifanye kwa ufanisi.Hivi hatuwezi kupata Viongozi walau 20 Tanzania kama Makonda ili nchi isonge mbele . Katiba tuitakayo inatakiwa itupe viongozi kama Makonda aisee very inspiring and solving people's problems what a leader.
very ambitious, determined, committed, focused, creative and for sure, a very visionary young leader of modern Times 🐒Hivi hatuwezi kupata Viongozi walau 20 Tanzania kama Makonda ili nchi isonge mbele . Katiba tuitakayo inatakiwa itupe viongozi kama Makonda aisee very inspiring and solving people's problems what a leader.
Haina kwere.Mambo nini jombaa? sema nini, mazaa kashusha ndonga saizi yetu, huwezi amini asubuhi hii mdudu niko mageroni.
Sema amsha amsha za hivi tulizimiss sana. Mamaa tuachie hii nyusu chuga... Haina kuhama hadi 2030.
Ukiruhusu na kiroba utatisha sana mazaa, utaboost uchumi wetu sana.
#chuga_kama_mbele
Watanzania wanapenda mambo ya kijinga kama yanayofanywa na MakondaLamda kama unahitaji wakutengeneza comedy sawa
Yes mifumo imara na siyo haya maigizoHuo usanii hauwezi kubadili nchi hii. Tunataka mifumo inayofanya kazi kwa usahihi, sio mtu kusaka kiki za kisiasa. Hapo anajifanya anatatua matatizo ambayo chama Chake kimeshindwa kufanya mifumo ifanye kwa ufanisi.
very ambitious, determined, committed, focused, creative and for sure, a very visionary young leader of modern Times [emoji205]
Yes mifumo imara na siyo haya maigizo
Ndiyo nafanyaFanya kwa eneo lako
Mifumo Imara Samia asingekuwa Rais
Tanganyika iongozwe n’a watanganyika
HahahahaWananchi wanaojitokeza kulalamika kwa mkuu wa Mkoa Makonda ni wengi sana, kama vile hakukua na serikali hata kidogo. Lakini inafahamika kuwa ni CCM iliyoko madarakani tangu nchi pate uhuru 1961. Je, sawa wananchi kuitenga CCM kwenye shida hizi wanazompelekea Makonda awasaidie kuzitatua leo?
Na yako humu yananuka midomo, ukiongea JPM yanahamaki, ukimsogelea katoa ushuzi full kunuka.Makonda kajitoa kamaJPM, tumuombee kwani mafisadi hawana raha.