Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Kichwa cha habari tu kimeacha nisisome habari yako ila ninataka kukuuliza je unajua maana ya dunia? Inaanzia wapi na inaishia wapi

Inawwzekana unajua dunia nzima nikama kanda ya kaskazini ambyo ni Tanga,kilimanjaro na Arusha
 
Jana alivaa koti kama kombati, anashida gani
 
Kwani huwezi kusema, Ungetamani kuona viongozi wote wawe kama Makonda kwa jinsi asivyo mtu wa kufunga milango na kujiwekea utaratibu mgumu usioingilika kirahisi kwa wananchi kupeleka shida zao?

Makonda anapaswa kuwa mfano wa kuigwa kwa wafanyakazi wa umma

Mtu kwa kuwa tu umeteuliwa, basi inakuwa nongwa, huna muda wa kuonana na watu wenzako na hutaki uwasaidie utadhani wewe siyo binadamu, viongozi wa aina hiyo ni wapumbavu wote! Wanatukera sana huku kwenye maofsi yao, sjui wanataka mpaka tuwaite mungu au tuwapigie magoti na kuwasujudu?

Makonda, piga kazi kijana ukizingatia siku zetu ni fupi sana, acha alama Kiongozi
Umeandika kama Lucasi katika jinsia ya kike. Hivi Bashite ni wa kutolewa mfano mzuri! Tanzania tuna watu wa ajabu sana. Kuna mtu aliwahi kusema kuwa unakuta na wewe una familia kabisa na watu wanakuita mzazi
 
Tangu kuteuliwa kwa RC Makonda Arusha, Lema ni kama amepotea, watu wapo bize na makonda in short kama hali itaendelea hivi hivi A town Lema ana kazi sana.

Utendaji kazi wa RC unawakosha watu na kuona jinsi chama chao cha mapinduzi ni sikivu nenda uone jinsi watu wanavyosaidiwa kero zao.

Huu muziki ukiendelea hivi hivi kelele za kina Lissu zitakuwa maeneo mengine ila sio Arusha, Istand to be corrected.
Kakupoteza wewe sio wanachadema
 
Funga mdomo, hunijui. Nipe ushahidi wa alichotatua kikazaa matunda. Hilo la madawa ya kulevya angalau tungeonyeshwa mfano wa wawili au watatu waliofungwa kwa ajili hiyo lakini ziliishia drama tu za kutafuta kiki. Acheni uchawa wa kumfagilia Makonda.
Wewe nenda kafanye kiki pia! Hujawaona watu wanatatuliwa shida zao au unataka kiongozi afanyaje? Nyinyi ndo Viongozi wanafiki msiopenda lawama na kujifanya wenye hekima!
 
Funga mdomo, hunijui. Nipe ushahidi wa alichotatua kikazaa matunda. Hilo la madawa ya kulevya angalau tungeonyeshwa mfano wa wawili au watatu waliofungwa kwa ajili hiyo lakini ziliishia drama tu za kutafuta kiki. Acheni uchawa wa kumfagilia Makonda.
Chawa ni wewe usiyeona uongozi uliotukuka wa Makonda.

Sasa hivi watu wanashinda wakimfuatilia Makonda mitandaoni kuliko wanavyofuatilia Bunge.

Chochote ntakachokueleza kumhusu, hauwezi kufurahishwa nacho kwa sababu una chuki naye.

Embu ingia you tube uone anavyotatua kero za watu wa Arusha na nmna watu wanavyomjadili mtandaoni, soma comments za watu halafu ulinganishe na unayouaongea wewe kama yana ukweli wowote.

Ama labda nikuulize, ulitaka afanyeje kazi ndiyo wewe ukubaliane naye?
 
In the realm of community rights and issue resolution, innovative approaches are often necessary to bridge the gap between citizens and their entitlements. In Arusha Region, Tanzania, a beacon of hope has emerged in the form of Makonda, the Regional Commissioner (RC), whose groundbreaking initiative has transformed the landscape of rights advocacy and legal recourse. Through his visionary leadership, Makonda has instituted community rights clinics that have become a cornerstone for resolving long-standing grievances and delivering justice to the people.

Makonda's modus operandi is simple yet profoundly effective: he invites all Arusha residents who have been denied their rights, irrespective of the nature or duration of their cases, to attend these clinics. This inclusive approach ensures that even those who have struggled for years in the labyrinth of legal proceedings find a platform for resolution. Surprisingly, the results have been nothing short of remarkable, with numerous cases being successfully resolved during these clinics.

One of the most striking aspects of Makonda's initiative is its accessibility and efficiency. Many Arusha residents have expressed their satisfaction, emphasizing that attending Makonda's clinic is a more expedient and practical alternative to pursuing legal avenues through the courts. This sentiment underscores the importance of providing accessible channels for citizens to seek redress for their grievances.

Central to the success of Makonda's community rights clinics is the collaboration between various stakeholders. Lawyers from the Tanganyika Law Society and the regional office play a pivotal role in providing legal expertise and guidance during these sessions. Their presence not only ensures that legal complexities are addressed comprehensively but also instills confidence among attendees that their cases are being handled with diligence and professionalism.

It is worth noting that Makonda's initiative in Arusha Region is not an isolated endeavor. Prior to his tenure in Arusha, Makonda implemented similar clinics during his tenure as the RC for Dar es Salaam Region. The replication of this model across different regions underscores its efficacy and scalability, prompting calls for it to be adopted as a framework for other regional commissioners to follow.

Moreover, there is growing consensus among the populace that the government should formalize and institutionalize Makonda's approach by enacting procedural guidelines and legislative support. Such formal recognition would not only validate the importance of community-driven initiatives in addressing rights issues but also provide a sustainable framework for their implementation and oversight.

In essence, Makonda's community rights clinics represent a beacon of hope for those who have long grappled with injustices and bureaucratic hurdles. By fostering an environment of inclusivity, efficiency, and collaboration, Makonda has redefined the paradigm of rights advocacy and legal recourse in Arusha Region. As other regions look to emulate this model, there is optimism that community empowerment and justice will continue to be prioritized, ultimately fostering a more equitable and just society for all Tanzanians.

Despite the resounding success and widespread acclaim for Makonda's community rights clinics, there have been murmurs of discontent from certain quarters, particularly legal agencies. Critics argue that the work Makonda is undertaking falls within the purview of the court system and should not be usurped by administrative initiatives. However, these criticisms fail to acknowledge the ground realities faced by ordinary citizens. Many have experienced firsthand the inefficiencies, corruption, and bureaucratic red tape that often plague the court system. Moreover, even when court decisions are rendered, there is often a lack of clear channels for enforcement, leading to a sense of impunity and disregard for legal rulings. In this context, Makonda's approach represents a pragmatic response to the shortcomings of the existing legal framework, providing a much-needed alternative avenue for justice and redress for the marginalized and disenfranchised.

www.nextnews.co.ke
 
In the realm of community rights and issue resolution, innovative approaches are often necessary to bridge the gap between citizens and their entitlements. In Arusha Region, Tanzania, a beacon of hope has emerged in the form of Makonda, the Regional Commissioner (RC), whose groundbreaking initiative has transformed the landscape of rights advocacy and legal recourse. Through his visionary leadership, Makonda has instituted community rights clinics that have become a cornerstone for resolving long-standing grievances and delivering justice to the people.

Makonda's modus operandi is simple yet profoundly effective: he invites all Arusha residents who have been denied their rights, irrespective of the nature or duration of their cases, to attend these clinics. This inclusive approach ensures that even those who have struggled for years in the labyrinth of legal proceedings find a platform for resolution. Surprisingly, the results have been nothing short of remarkable, with numerous cases being successfully resolved during these clinics.

One of the most striking aspects of Makonda's initiative is its accessibility and efficiency. Many Arusha residents have expressed their satisfaction, emphasizing that attending Makonda's clinic is a more expedient and practical alternative to pursuing legal avenues through the courts. This sentiment underscores the importance of providing accessible channels for citizens to seek redress for their grievances.

Central to the success of Makonda's community rights clinics is the collaboration between various stakeholders. Lawyers from the Tanganyika Law Society and the regional office play a pivotal role in providing legal expertise and guidance during these sessions. Their presence not only ensures that legal complexities are addressed comprehensively but also instills confidence among attendees that their cases are being handled with diligence and professionalism.

It is worth noting that Makonda's initiative in Arusha Region is not an isolated endeavor. Prior to his tenure in Arusha, Makonda implemented similar clinics during his tenure as the RC for Dar es Salaam Region. The replication of this model across different regions underscores its efficacy and scalability, prompting calls for it to be adopted as a framework for other regional commissioners to follow.

Moreover, there is growing consensus among the populace that the government should formalize and institutionalize Makonda's approach by enacting procedural guidelines and legislative support. Such formal recognition would not only validate the importance of community-driven initiatives in addressing rights issues but also provide a sustainable framework for their implementation and oversight.

In essence, Makonda's community rights clinics represent a beacon of hope for those who have long grappled with injustices and bureaucratic hurdles. By fostering an environment of inclusivity, efficiency, and collaboration, Makonda has redefined the paradigm of rights advocacy and legal recourse in Arusha Region. As other regions look to emulate this model, there is optimism that community empowerment and justice will continue to be prioritized, ultimately fostering a more equitable and just society for all Tanzanians.

Despite the resounding success and widespread acclaim for Makonda's community rights clinics, there have been murmurs of discontent from certain quarters, particularly legal agencies. Critics argue that the work Makonda is undertaking falls within the purview of the court system and should not be usurped by administrative initiatives. However, these criticisms fail to acknowledge the ground realities faced by ordinary citizens. Many have experienced firsthand the inefficiencies, corruption, and bureaucratic red tape that often plague the court system. Moreover, even when court decisions are rendered, there is often a lack of clear channels for enforcement, leading to a sense of impunity and disregard for legal rulings. In this context, Makonda's approach represents a pragmatic response to the shortcomings of the existing legal framework, providing a much-needed alternative avenue for justice and redress for the marginalized and
With reference to communicative action theory,the RC of Arusha acts accordingly, with deepest analysis his actions are like enconium to himself,to the local citizens he becomes popular everyday.
 
Tangu kuteuliwa kwa RC Makonda Arusha, Lema ni kama amepotea, watu wapo bize na makonda in short kama hali itaendelea hivi hivi A town Lema ana kazi sana.

Utendaji kazi wa RC unawakosha watu na kuona jinsi chama chao cha mapinduzi ni sikivu nenda uone jinsi watu wanavyosaidiwa kero zao.

Huu muziki ukiendelea hivi hivi kelele za kina Lissu zitakuwa maeneo mengine ila sio Arusha, Istand to be corrected.
kwa style ya namna anavyofanya kazi zake kuiongoza Arusha, akiendelea kuwapo Arusha, na kwa mfano akataka hata kugombea ubunge atashinda mapema asubuh sana,

lakini pia pale Arusha mgombea yeyote mathalani wa katika uchaguzi wa serikali za mitaa, ubunge au urais atakae kua endorsed na Makonda Lazima atashinda tena kwa kishindo sana 🐒
 
Tangu kuteuliwa kwa RC Makonda Arusha, Lema ni kama amepotea, watu wapo bize na makonda in short kama hali itaendelea hivi hivi A town Lema ana kazi sana.

Utendaji kazi wa RC unawakosha watu na kuona jinsi chama chao cha mapinduzi ni sikivu nenda uone jinsi watu wanavyosaidiwa kero zao.

Huu muziki ukiendelea hivi hivi kelele za kina Lissu zitakuwa maeneo mengine ila sio Arusha, Istand to be corrected.
Wananchi wa Arusha hata uwape asali, bado watakuambia chadema ni tamu kuliko asali.
 
Tangu kuteuliwa kwa RC Makonda Arusha, Lema ni kama amepotea, watu wapo bize na makonda in short kama hali itaendelea hivi hivi A town Lema ana kazi sana.

Utendaji kazi wa RC unawakosha watu na kuona jinsi chama chao cha mapinduzi ni sikivu nenda uone jinsi watu wanavyosaidiwa kero zao.

Huu muziki ukiendelea hivi hivi kelele za kina Lissu zitakuwa maeneo mengine ila sio Arusha, Istand to be corrected.
Unazungumzia hbr za wafu? Lema ni nani Arusha. Mbunge ni Mrisho Gambo.
 
Back
Top Bottom