Ujamaa ni mhimu
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 1,203
- 1,011
Unabwabwaja kuuumbeMimi mkulima natatua zangu shambani huku. Wewe ndio unatakiwa ku prove hayo sio mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unabwabwaja kuuumbeMimi mkulima natatua zangu shambani huku. Wewe ndio unatakiwa ku prove hayo sio mimi
Mkoa wa Arusha si kwa wachaga kuna makabila mengi mno. Kwa wachaga ni mkoa wa KLM.Hapa kuna Watu watasema hao watu wamepangwa au wamesombwa na mabasi kutoka Dar, Maana hitter wa Makonda walizani hakienda Arusha kwa Wachanga
Kuna kijana mumoja wakati anarejea nchini, sisi boda boda tukajipanga kumpokea kwa bashasha kubwa, matokeo yake jamaa yule aliambulia kututukana eti sisi waendesha boda boda eti ni kazi za laaana. Yaaani tunahasira kweli kweli.Tangu kuteuliwa kwa RC Makonda Arusha, Lema ni kama amepotea, watu wapo bize na makonda in short kama hali itaendelea hivi hivi A town Lema ana kazi sana.
Utendaji kazi wa RC unawakosha watu na kuona jinsi chama chao cha mapinduzi ni sikivu nenda uone jinsi watu wanavyosaidiwa kero zao.
Huu muziki ukiendelea hivi hivi kelele za kina Lissu zitakuwa maeneo mengine ila sio Arusha, Istand to be corrected.
Mkuu wa mkoa Arusha akakamate mafisadi yaliyotajwa kwenye ripoti ya CAG badala ya kutatua matatizo ya raia wa Arusha?Nina mashaka ni movies zimetengenezwa ili ionekane CCM inashugulikia kero za watu! Vipi huko alikopita wakati akiwa mwenezi kero za wananchi zilitatatuliwa?
Makonda angejikita kukamata mafisadi yaliyotajwa kwenye ripoti za CAG na kuyafikisha mahakamani,hapa tungemwona ni mwamba kweli kweli.
Wewe ni mjinga au mpumbavu!!?Kwa binadamu yeyote anayetamani kuona Tanzania inapiga hatua ya maendeleo katika kila nyanja, basi bila shaka atakuwa anafurahishwa na jitihada za Makonda katika kutatua kero za wananchi.
Makonda ni mbunifu sana. Popote alipo lazima watu wamsikilize. Na hii ni kutokana na yeye mwenyewe kupenda kusikiliza.
Uenda asifanikiwe kwenye kila analolianzisha. Ila nia yake daima huwa ni njema. Dunia ni ngumu sana. Kuna watu wana nguvu na wanafanya kila wawezalo kukwamisha maendeleo kwa maslahi yao binafsi.
Makonda ni mpambanaji, mbunifu, msikivu, mpenda haki.
Kwa kazi kama hii na ikipigwa back to back kila wiraya , asee 2025 mama saa tatu asubuh kafunga mahesabu arusha. Nasemea hivyo sabab lema alirudi alijua anakuja kuichukua arusha ila sasa battle yake,hapo bado kamati ya ufundiUmefuta machozi ya uenezi tayari? Maana ulikua unalia kwa kuacheki video za mwenezi na sasa RC! Samahani nimekuja kwa amani tu, hiyo sura kwa avatar ni yako?
I agreed with u,yestarday nimemuona hapi anasikilza ila i knew this style inataka uwe jiwe kweli.kweliunaelewa huyu kijana ni sensitive sana politically speaking....
alisense, akathibitisha na kujiridhisha kwamba, kwa upande moja anakubalika na kwa upande mwingine hakubaliki in both within the party, govt and in publics at large 🐒
ameasess mazingira yote hayo,
na sasa amekata shauri kwamba this is my leadership style where I will be placed....
this is his identity countrywide 🐒
Ina maana watu wa Arusha hawajitambuiTangu kuteuliwa kwa RC Makonda Arusha, Lema ni kama amepotea, watu wapo bize na makonda in short kama hali itaendelea hivi hivi A town Lema ana kazi sana.
Alichoongea lema ni kweli hiyo ni kazi ya laanaKuna kijana mumoja wakati anarejea nchini, sisi boda boda tukajipanga kumpokea kwa bashasha kubwa, matokeo yake jamaa yule aliambulia kututukana eti sisi waendesha boda boda eti ni kazi za laaana. Yaaani tunahasira kweli kweli.
Toka zako bwana chawa mkubwaTangu kuteuliwa kwa RC Makonda Arusha, Lema ni kama amepotea, watu wapo bize na makonda in short kama hali itaendelea hivi hivi A town Lema ana kazi sana.
Utendaji kazi wa RC unawakosha watu na kuona jinsi chama chao cha mapinduzi ni sikivu nenda uone jinsi watu wanavyosaidiwa kero zao.
Huu muziki ukiendelea hivi hivi kelele za kina Lissu zitakuwa maeneo mengine ila sio Arusha, Istand to be corrected.
Hivi bado kuna watu wanaibiwa ndinga zao tenaAlichoongea lema ni kweli hiyo ni kazi ya laa
True comradeTangu kuteuliwa kwa RC Makonda Arusha, Lema ni kama amepotea, watu wapo bize na makonda in short kama hali itaendelea hivi hivi A town Lema ana kazi sana.
Utendaji kazi wa RC unawakosha watu na kuona jinsi chama chao cha mapinduzi ni sikivu nenda uone jinsi watu wanavyosaidiwa kero zao.
Huu muziki ukiendelea hivi hivi kelele za kina Lissu zitakuwa maeneo mengine ila sio Arusha, Istand to be corrected.
Wewe bwana wewe,mfano wa hitler unaenda mbali,mim pia nina kitabu Mein kampf, kuna vitu vi g huvijuiAliwahi kutokea mtu moja tu duniani aliyekuwa na sifa zote hizo unazommiminia huyo Makonda aka Bashite. Mtu huyo aliitwa Adolf Hitler wa Ujerumani.
Hitler alipanda ngazi kupitia safu ya Chama cha Nazi na alijikita katika matatizo yaliyoikumba Ujerumani na hasa ya kisiasa wakati wa Jamhuri ya Weimar
Hitler alihusishwa katika vitendo vya kikatili na mauaji kwa kutumia vurugu zilizomwezesha kuchukua madaraka kamili nchini Ujerumani mwaka 1933.
Kama ilivyo kawaida ya watu wa aina hii hatimaye Hitler alijiua kukwepa mkono wa sheria wananchi walipoamua kuwa sasa imetosha...
Sasa zitakujaje ikiwa hatuon wanachofanya.Stori za Bashaite zinaboa sana, tumechokaaa!! Leteni stori za maRC wengine sasa
Waambie wafanye kazi tu media zita cover stories zao.Stori za Bashaite zinaboa sana, tumechokaaa!! Leteni stori za maRC wengine sasa
Mimi na wew hata tukikutana live nakuzidi kila kitu cha maana.Wewe ni mjinga au mpumbavu!!?
Nyie mdanganyeni agombee ubunge Arusha!!...si mnakumbuka kigamboni!kwa style ya namna anavyofanya kazi zake kuiongoza Arusha, akiendelea kuwapo Arusha, na kwa mfano akataka hata kugombea ubunge atashinda mapema asubuh sana,
lakini pia pale Arusha mgombea yeyote mathalani wa katika uchaguzi wa serikali za mitaa, ubunge au urais atakae kua endorsed na Makonda Lazima atashinda tena kwa kishindo sana [emoji205]
jiwe haswa,I agreed with u,yestarday nimemuona hapi anasikilza ila i knew this style inataka uwe jiwe kweli.kweli
kigamboni hakua hivi alivyo,Nyie mdanganyeni agombee ubunge Arusha!!...si mnakumbuka kigamboni!
Kimoja kimekushinda huna akili!!Mimi na wew hata tukikutana live nakuzidi kila kitu cha maana.
1. Elimu
2. Familia bora
3. Pesa
4. Nguvu za kiume na uanaume
5. Urefu
6. Ndevu
😂😂😂😂😂