johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Vijana wanamuita " Magufuli mdogo" 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu watu wana akili finyu na hii inatokea pale unapokosa kitu cha kukosoa madhara yake ndio hayaHahaha 😂 😂
😂😂😂Na hili suala unalifahamu vizuri?
Hawa ndio calibre ya viongozi wa kuongoza nchi chini ya chama cha mapinduzi. Kuna watu wamejaa ccm hawaeliwi tunaposema mapinduzi tunamaanisha nini. Tunawataka kina makonda, sabaya, bashiru ali former katibu mkuu, profesa kabudi, na wengine. Tunahitaji uadilifu ujasiri na ujuzi kisiasa. Ubeberu ushapanga haturuhusiwi kuendelea. Wanahitajika viongozi wakweli na jasiri.Tangu kuteuliwa kwa RC Makonda Arusha, Lema ni kama amepotea, watu wapo bize na makonda in short kama hali itaendelea hivi hivi A town Lema ana kazi sana.
Utendaji kazi wa RC unawakosha watu na kuona jinsi chama chao cha mapinduzi ni sikivu nenda uone jinsi watu wanavyosaidiwa kero zao.
Huu muziki ukiendelea hivi hivi kelele za kina Lissu zitakuwa maeneo mengine ila sio Arusha, Istand to be corrected.
Mwambie ukweli huyo pimbi!Kichwa cha habari tu kimeacha nisisome habari yako ila ninataka kukuuliza je unajua maana ya dunia? Inaanzia wapi na inaishia wapi
Inawwzekana unajua dunia nzima nikama kanda ya kaskazini ambyo ni Tanga,kilimanjaro na Arusha
Ni kweli. Sifa zote za udikteta, uuaji, uporaji na upigaji watu risasi alizokuwa nazo jiwe na Makonda anazoVijana wanamuita " Magufuli mdogo" 😂
Ni kinara duniani?🤨🤨!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Vijana wanamuita " Magufuli mdogo" 😂
Imejumuishwa kwenye elimuKimoja kimekushinda huna akili!!
Kwahiyo ulitaka asizitatueSasa kama chama kimeshindwa kuzitatua tangu Uhuru makonda atazitatua kama mkuu wa mkoa!!?
Anakidhalilisha chama Kivipi wakati yeye ni sehemu ya CCMAnakidhalilisha chama. Wakati ukifika utaelewa