Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Wananchi wanaojitokeza kulalamika kwa mkuu wa Mkoa Makonda ni wengi sana, kama vile hakukua na serikali hata kidogo. Lakini inafahamika kuwa ni CCM iliyoko madarakani tangu nchi pate uhuru 1961. Je, sawa wananchi kuitenga CCM kwenye shida hizi wanazompelekea Makonda awasaidie kuzitatua leo?
makonda ni mpumbavu... mpumbavu huungwa mkono na wa pu,bavu
 
Wananchi wanaojitokeza kulalamika kwa mkuu wa Mkoa Makonda ni wengi sana, kama vile hakukua na serikali hata kidogo. Lakini inafahamika kuwa ni CCM iliyoko madarakani tangu nchi pate uhuru 1961. Je, sawa wananchi kuitenga CCM kwenye shida hizi wanazompelekea Makonda awasaidie kuzitatua leo?
Kwanza hatujitaji vyama vya siasa. Tunataka tu viongozi wanaotatua kero na kuleta maendeleo ya nchi. Achana na mambo ya vyama hapa.
 
Katika vijana waliobaki Ccm wenye udhubutu na ubunifu na nnaowakubali ni Makonda peke ake, ana mapungufu kibinadamu kama binadamu wengine tulivyo lakini ukweli ni lazima usemwe, ni kiongozi mzuri na atakuja kutusaidia sana kama Taifa mbele ya safari tumpe maua yake tusisubili aondoke ndio tuanze masifa ya unafiki.
 
Utendaji kazi wa Makonda unamfanya afuatiliwe sana na wananchi wote. Alipoteuliwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, kuna watu walisema hataliweza hili jiji. Kampana hadi sasa hivi wote wanaokuja wanaonekana wanapwaya sana.
Kawekwa nje ya game kwa muda na kwa utulivu kabisa kakaa kimyaa hadi pale mwenye mamlaka alipoona anafaa kumsaidia kazi na kumuingiza kwenye team. Huko kapigaaa hadi wenye chama lao wakaanza kusema anaonyesha madhaifu badala ya kusifu yaliyofanyika.

Siasa ni ngumu sana. Fitina ikaingizwa, kachomolewa ile nafasi na kuwekwa mkuu wa mkoa wa Arusha. Siyo mbaya. Arusha ina hadhi yake kubwa tu hapa TZ.

Maneno yakaanza kuwa haiwezi Arusha. Kuna wadudu. Akaanza na wadudu wenyewe na kuwaweka kwenye mstari. Ikiwa hamjui, watu kutoa udenda Dar ilikoma kipindi akiwa mkuu wa mkoa Dar. Siyo Vita ndogo. Ila alijiyahidi sana.

Makonda ni mtu wa kazi
Makonda ni mbunifu
Makonda anapenda haki.

Siyo rahisi kuwa kiongozi Afrika. Fitina ni nyingi mno. Mtu akijitaidi, basi na apewe maua yake.
MAKONDA SIO KIONGOZI NI Mzee wa Maigizo vipi mbona hatumwoni kupanda matrekta,Malori mikokoteni?
 
Kwa mfano wanawake waliotelekezwa na waume zao na kuachiwa watoto bila kuhudumiwa mahitaji ya msingi.

Unafikiri nani source ya tatizo? Je kila tatizo ni CCM?
Nani kaleta umaskini katika nchi yetu? Je wale maadui 3 ni nani anatakiwa kupambana nao kama si CCM na Serikali yake tangu 1961.
Hujui kwa nini wanaume wanakimbia familia zao hadi leo kijana?
Unafikiri hili tatizo linaweza kuondoka kwa maelekezo ya Makonda ?
 
Makonda amempoteza lema kabisa Arusha kitu makonda kinachombeba ni kutembea sambamba na walala hoi lema yeye ni mtu wa kelele tu huku akineemesha familia yake na unabii feki Mimi naipenda chadema lakini Kwa jinsi makonda anavyo floo sioni wa kumzuia Kwa Arusha labda chama changu chadema kitafute mgombea atakae tembea na bit za makonda Ila Kwa lema sioni ushindi
 
Mkuu wa mkoa wa Arusha katika kile kinachoitwa kusikiliza kero za wananchi jana akiwa amevalia kinadhifu mavazi ya kofia na tisheti vyenye maneno "Jesus did it" amezungumzia mambo mawili muhimu sana,

1. Wakuu wa mikoa hawapewi maelekezo yoyote ni kero za aina gani wanatakiwa kushughulikia kusikiliza au kutokusikiliza!

2. Mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa mwenendo wa nidhamu/maadili wa mahakama za mwanzo katika mkoa wake, jaji mfawidhi ni mjumbe katika kikao chake.

Sheria namba 4 ya mwaka 2011 ya uendeshaji mahakama inamfanya mkuu wa mkoa kuwa mpokeaji malalamiko dhidi ya uamuzi wa kesi wa hakimu.

Wanaweza kukaa kikao na jaji mfawidhi kumuambia achukue hatua kwa baadhi ya mambo. Mwenyekiti wa nidhamu kitaifa wa mahakama ni Rais!
stupid, aseme pia aliowapotza na kuwaua. Sheitwani mkubwa. Kuna siku atawataja
 
Makonda ndiye habari ya mujini sasa hivi. Nyumbu wakitaka siredi zao ziwe na wachangiaji wengi basi wanaanzisha post kuhusu makonda!
 
Back
Top Bottom