Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
AiseeAnawajua sana wabongo. Ila anachofanya ni kitu wanaita ramli chonganishi. Inaweza pelekea ndugu kuuana, wakishikana uchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeAnawajua sana wabongo. Ila anachofanya ni kitu wanaita ramli chonganishi. Inaweza pelekea ndugu kuuana, wakishikana uchawi
Kuna wakati unaonekana mtu wa maana ila kwa kusifia mtu kama huyu, unajiangusha mkuuNi yey pekee anaoneka Yuko serious ktk shida za raia tofauti na wengine
Kila maahali anako kwenda anapokelewa na maelfu ya raia wenye shauku ya kumuona na kumlilia awatatulie shida zao
Nikiwa rais namteu awe waziri mkuu
Akae kando, hafai kuwa mtumishi wa umma..Kwanza amesema yule mdada alikuwa hasikiki vizuri,wakati yule mdada alikuwa anasikika vizuri.
Kosa la pili,ni kwamba kasema yule mdada siyo mzuri kuliko mke wake. Hilo ni kosa,kwa sababu mwanamke hataki kuambiwa yeye siyo mzuri.
Sasa ingefaa Makonda angesema neno kuwatuliza watu wanaolalamika.
Mtu wa Custom huwa anataka tu ulipe ushuru,hataki kukunyang'anya mzigo wako.
Kwa hiyo hawa watu wana complain,isieleweke kwamba wanataka Makonda ajiuzulu.
Nenda kajipitishe kwenye anga zake ukione cha motoYaani ningekuwa ni mimi Huyu Arasii angenilipa fidia kubwa sana kwa kudhalilisha utu wangu mbeke ya kadamnasi
Kuambiwa wewe sio mzuri kuliko mke wake umedhalilishwa kama sio mzuri akuambie ni mzuri pole sana dada nenda kashitaki hata kwa niaba yakeYaani ningekuwa ni mimi Huyu Arasii angenilipa fidia kubwa sana kwa kudhalilisha utu wangu mbeke ya kadamnasi
Huu ni uongo. Hakuna mahali makonda alisema hayo maneno. Usimuwekee maneno mdomoniKosa la pili,ni kwamba kasema yule mdada siyo mzuri kuliko mke wake. Hilo ni kosa,kwa sababu mwanamke hataki kuambiwa yeye siyo mzuri.
Kama ni msafi huna makandokandoYaani ningekuwa ni mimi Huyu Arasii angenilipa fidia kubwa sana kwa kudhalilisha utu wangu mbeke ya kadamnasi
Kbsawacha apige kaz...watumishi ni wavivu sana...vitumishi vingi akili hamna..
Siyo lxm tumpende wote huyu jamaa I'll kwa kifupi anatufaa Sana kma taifaKuna wakati unaonekana mtu wa maana ila kwa kusifia mtu kama huyu, unajiangusha mkuu
Nakubaliana na weweMheshimiwa kazi yako inaonekana toka umeteuliwa kuongoza mkoa wa Arusha. Rushwa na uzembe kazini vimeisha chini ya uongozi wako.
Na punde naona ukitunukiwa honorary doctorate (Honoris Causal) toka Chuo kikuu Cyprus.
Wabillahi Taufiq