Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamia nyumbani kwake mkatunzane kama alivyotunzwa na Mzee Six wa Bunge la KatibaNdugu zangu Watanzania,
Moyo wangu Umewiwa kuwaombeni sana watanzania wenzangu kwa moyo wa unyenyekevu na kwa dhati ya Moyo wangu,tumuombee sana kwa kila mmoja kwa imani yake...
Unaumia ukiwa wapi huko?Hamia nyumbani kwake mkatunzane kama alivyotunzwa na Mzee Six wa Bunge la Katiba
Sasa ndio umeandika nini ndugu yangu mtanzania.Naona ameshapata contacts zako. Kaza buti.
Mimi siku zote huwa naandika hoja kama ukitulia na kusoma kwa utulivu.. Kidogo leo umeongea Point,
. Siyo zile pumba ambazo huwa unaandika na kujaza server za jf bila sababu ya msingi. 😕😕
Komaa Mtanzania mwenzangu na kazi yako.Sasa ndio umeandika nini ndugu yangu mtanzania.
Peleka ujinga wako huko. Unawadhalilisha Wanyiha wote wa MboziUnaumia ukiwa wapi huko?

Mungu ana mlinda Mwamba na ataendelea kuishi na kuwa mwenye afya njema kabisa.Nilivyomuona huu uso nikamkumbuka Dr Mwakyembe, sema huyu kawahi kuchomoka....View attachment 3072854
Mimi siyo chawa bali ni msema kweli.Dah hii ni zaidii ya uchawa..kiukweli vijana tutafute maisha kwa njia nyingnezo la sivyo.tutaishia kuwa vibaraka