Paul Makonda: Wananchi walioikimbia Dar warudi, Mauti hauikimbii. Siku ya Jumapili, kila mtu afanye fujo awezavyo na kupiga kelele na vigeregere!

Tangu lini takwimu zikaleta hofu, mbona kila wakati polisi wanatoa takwimu za ajali barabarani na hamlalamiki kuwa zinaleta hofu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
......ndani ya pango la wanyang'anyi. Duh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…