Paul Makonda: Wananchi walioikimbia Dar warudi, Mauti hauikimbii. Siku ya Jumapili, kila mtu afanye fujo awezavyo na kupiga kelele na vigeregere!

Mitaa gani hiyo?
We unaishi wapi?
Chukua tahadhali ndugu, acha kusikiliza wanasiasa.

Rais ambaye ndiye msemaji mkuu kuhusu Covid, kasema ugonjwa umepungua, hajasema umekwisha, na kasisitiza tena, chapeni kazi lakini mchukue tahadhari. Makonda siyo msemaji, wala kwenye ile kamati hayumo, anatangaza corona imeisha.

Ndiyo maana nikasema, za kuambiwa changanya za zako, utaua watoto. maambukizi yapo.
 
Reality is corona exists. Reality it is spreading fast...reality is we should take steps and protect ourselves...
India choosed Chinese .😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hem jamani tutumie kiswahili
 
May 19, 2020
Nairobi, Kenya

Tanzania yaongoza kwa corona mpakani

Kenya yaripoti visa vya wenye corona ktk vivuko vya mpaka wa Tanzania na Kenya. Vivuko hivyo ni vya Namanga, Horohoro, Isebania, Lungalunga , Holili na Loitoktok...
ya kenya huko tushamaliza.

tuko na mada ya idadi ya watalii waliofanya booking kuja bongo,
covid 19 festeval,
wingi wa vyakula msimu huu wa mavuno,
raila odinga kuwa mgeni rasmi covid 19 festival n.k.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bibi kua na akili basi hata kidogo, Malaria ni pandemic? ina ambukizwa kwa mikusanyiko?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaha.

Kumbe ulikuwa hauelewi hata maana ya "pandemic"! Halafu unajidai una akili. Kwi kwi teh teh teh teh.

Soma WHO wanasema nini kuhusu Malaria.

Malaria

Halafu njoo useme number one killer disease in the world is not "pandemic".
 
"waendelea kuchukuwa tahadhari kwa kufuata maelekezo ya Wizara ya Afya"

Tahadhari gani tena kama tumeishinda Corona na kama tunaambiwa tusherehekee ushindi kwa kufanya fujo na kumiminika mitaani?

Utawezake kuwaambia wananchi sasa wanawe mikono,wavae barakoa na waweke nafasi kama viongozi na wakuu hawafanyi hivyo?

Pia vipi takwimu tulizoahidiwa? Uboreshaji wa mitambo ya maabara ungali unaendelea?
 
Tutaona na kuyasikia mengi mwaka huu, tumeishinda corona wakati hatujui takwimu ziko vipi

Ukipewa takwimu unasema za uongo, usipopewa unalalamika. Chagua unataka nini.

Kuokoa nguvu na muda tuseme wabongo wote wanacorona, umefurahi? Utaendelea kukaa ndani?
 
Usisikilize wanasiasa! Jukumu la afya yako ni wewe mwenyewe. Corona bado ipo. Chukua tahadhari. Jilinde wewe na watu wengine.

Jiulize kwanini hawatoi takwimu?!

Mkipewa takwim mnakataa, msipopewa mnalalamika. Mnataka nini?

Tuseme wabongo wote wana corona, umefurahi saa? Endelea kujifungia wakati wengine wanapiga kazi kama kawa.
 
Mkipewa takwim mnakataa, msipopewa mnalalamika. Mnataka nini?

Tuseme wabongo wote wana corona, umefurahi saa? Endelea kujifungia wakati wengine wanapiga kazi kama kawa.
Mimi siwezi kuwaamini wanasiasa wa kibongo hasa wa CCM ndio kabisa. Waweke data kamili bila kufichaficha. Hii ya kuambiwa eti wagonjwa wamepungua bila informations za uhakika ni changa la macho.
No body can buy that crap.
 
Mimi siwezi kuwaamini wanasiasa wa kibongo hasa wa CCM ndio kabisa. Waweke data kamili bila kufichaficha. Hii ya kuambiwa eti wagonjwa wamepungua bila informations za uhakika ni changa la macho.
No body can buy that crap.

Wakati wanatangaza ongezeko kila siku ulikua unaamini?
 
India choosed Chinese .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hem jamani tutumie kiswahili
Wapi ambapo hujaelewa. Yes they choosed chines medical equipments. In the end wamegundua vina shida.
Bado hujaelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapi ambapo hujaelewa. Yes they choosed chines medical equipments. In the end wamegundua vina shida.
Bado hujaelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Calm down calm down baharia wa nchi kavu. Lugha za watu zina taratibu zake. Umekosea rekebisha (edit) maisha yaende mbele au nyamaza kama huwezi kurekebisha.

Unaponyanyua kifua juu kana kwamba umepatia sasa hapo unajidhalilisha baharia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…