Paul Makonda: Wananchi walioikimbia Dar warudi, Mauti hauikimbii. Siku ya Jumapili, kila mtu afanye fujo awezavyo na kupiga kelele na vigeregere!

Inawezekana Yesu wa Tanzania ni tofauti na Yesu wa Roma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama wewe hujaugua shukuru Mungu,ni ajabu unataka kusikia wengine wameugua kadhaa.chunga usije kuwa mmona wao maana huna kinga yoyote.

watu hawana maambukizi kama vile ambavyo wewe huna.
Kwani wewe umeugua? Kweli mnaaminishwa ujinga huo na kina Bashite? Nawaambia furaha yao wawaone mnakufa kama ndezi, haya fanyeni hayo maigizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa ni KLM inatua KIA yani yenyewe ni Tia maji Tia maji.
 
Mitaa gani hiyo?
 
Corona ilikosea njia kuja Tanzania, imeingilia njia yakutokea.
 
Tulipaki daladala zetu level seat hailipi kwa hio rasmi tunaanza kulamba vichwa maana inauma unamuacha abiria kituoni anachelewa kazini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…