Paul Makonda: Wananchi walioikimbia Dar warudi, Mauti hauikimbii. Siku ya Jumapili, kila mtu afanye fujo awezavyo na kupiga kelele na vigeregere!

Paul Makonda: Wananchi walioikimbia Dar warudi, Mauti hauikimbii. Siku ya Jumapili, kila mtu afanye fujo awezavyo na kupiga kelele na vigeregere!

Na Mungu atusaidie, Huu ni ushindi mkubwa kwa wote wanaomwamini YESU.

Yesu alisema ukiwa na imani kama punje ya haradali basi waweza amisha milima, imani ya MAKONDA na MAGUFULI ndiyo YESU amezungumzia, nakwambieni maisha yanarudi kama zamani, piga keleleeeeeee
Inawezekana Yesu wa Tanzania ni tofauti na Yesu wa Roma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama wewe hujaugua shukuru Mungu,ni ajabu unataka kusikia wengine wameugua kadhaa.chunga usije kuwa mmona wao maana huna kinga yoyote.

watu hawana maambukizi kama vile ambavyo wewe huna.
Kwani wewe umeugua? Kweli mnaaminishwa ujinga huo na kina Bashite? Nawaambia furaha yao wawaone mnakufa kama ndezi, haya fanyeni hayo maigizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona imeisha bila takwimu kujulikana.
Pia miili ya marehemu hawapimwi Corona kwa sababu wameshakufa huwezi kuwasaidia.
Basi Pandemic imeisha, watalii wataanza kuja. Mashirika ya ndege, siwezi kuyataja hapa, yana bookings za watalii wetu mpaka December. Yaani ndege zimejaa.
Ilikuwa ni KLM inatua KIA yani yenyewe ni Tia maji Tia maji.
 
Sina hakika kama kweli vimeisha, maana kuna viashiria tunaviona huku mitaani. ingekuwa bora kama tungeendelea kusisitiza precautions za kitaalamu kuliko kuruhusu mikusanyiko halafu baadaye iwe kilio.

za kuambiwa changanyeni na za kwenu msije ua watoto na wapendwa wenu
Mitaa gani hiyo?
 
Corona ilikosea njia kuja Tanzania, imeingilia njia yakutokea.
 
Tulipaki daladala zetu level seat hailipi kwa hio rasmi tunaanza kulamba vichwa maana inauma unamuacha abiria kituoni anachelewa kazini.
 
Back
Top Bottom