Bhagavan
JF-Expert Member
- Oct 28, 2017
- 1,946
- 2,822
Inawezekana Yesu wa Tanzania ni tofauti na Yesu wa RomaNa Mungu atusaidie, Huu ni ushindi mkubwa kwa wote wanaomwamini YESU.
Yesu alisema ukiwa na imani kama punje ya haradali basi waweza amisha milima, imani ya MAKONDA na MAGUFULI ndiyo YESU amezungumzia, nakwambieni maisha yanarudi kama zamani, piga keleleeeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app