Tetesi: Paula Kajala ataga matokeo ya form four

nilipata zero form 4 lakini sasa nimeajili wasomi 6 wenye degree zao. shikamooooo maisha
we kazana kumsoma mgunduzi wa ziwa victoria , wakat watu awana habari nae na wanamiliki boat kama mia za uvuvi.
Hongera mkuu , Safi Sana ,
 
Watu bana shule waliyosoma hao watoto shule yote hamna aliepata division 0 na division 4 ziko nane tu sasa iyo 0 inatoka wap

Sent using i Phone x
 
Hivi hili ni jambo la kuandika kwa kejeri,umewahi kuzaa kweli wewe?
 
Watu bana shule waliyosoma hao watoto shule yote hamna aliepata division 0 na division 4 ziko nane tu sasa iyo 0 inatoka wap

Sent using i Phone x[/Q
Paula amepata four
 
That girl is just a child and all of you bashing her for her results should be ashamed of yourselves.

Za kwenu zipoje, za watoto wenu je? Shameless indeed.

And by the way since when are exams results the key indicator of how your life will go?

Shame shame shame.
 
The last time I checked the list of "vitunguu swaumu", mleta uzi ni mmoja wao!Horrible!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…