The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Hongera mkuu , Safi Sana ,nilipata zero form 4 lakini sasa nimeajili wasomi 6 wenye degree zao. shikamooooo maisha
we kazana kumsoma mgunduzi wa ziwa victoria , wakat watu awana habari nae na wanamiliki boat kama mia za uvuvi.
Umesahau mgongoWanawake ataakifeli still yuko na uhakka wa kuwa pa zuri as long as ana uno ,beautiful face ana future tayari huyo.
nilipata zero form 4 lakini sasa nimeajili wasomi 6 wenye degree zao. shikamooooo maisha
we kazana kumsoma mgunduzi wa ziwa victoria , wakat watu awana habari nae na wanamiliki boat kama mia za uvuvi.
Ungepata 4 ungeweza kuandika "interior" badala ya "enterior" sio?
Watu bana shule waliyosoma hao watoto shule yote hamna aliepata division 0 na division 4 ziko nane tu sasa iyo 0 inatoka wap
Sent using i Phone x[/Q
Paula amepata four
Itakuwa mara ya pili kurudia,nasikia alirudia baada ya hapo mwanzo kuambulia patupupoa atarudia form 3 umri unaruhusu.
Hao wasomi wasingekuwepo ungemuajiri nani??nilipata zero form 4 lakini sasa nimeajili wasomi 6 wenye degree zao. shikamooooo maisha
we kazana kumsoma mgunduzi wa ziwa victoria , wakat watu awana habari nae na wanamiliki boat kama mia za uvuvi.
nilipata zero form 4 lakini sasa nimeajili wasomi 6 wenye degree zao. shikamooooo maisha
we kazana kumsoma mgunduzi wa ziwa victoria , wakat watu awana habari nae na wanamiliki boat kama mia za uvuvi.
Atakua anaonekana much know mana watu ambao walitaga na kuja kutusua maishani wakikutana na watu waliofaulu afu hawana hela basi wanajiona wao ndo wao.......kwamba elimu sio ishuHahahahahaha halaf hao jamaa wenye degree usikute wamemwacha tu bosi wao hata kumwambia
Tuanzia hapa basi.....kasoma shule ganiWatu bana shule waliyosoma hao watoto shule yote hamna aliepata division 0 na division 4 ziko nane tu sasa iyo 0 inatoka wap
Sent using i Phone x