PC Emanuel Keralyo Waitara, mmoja wa askari aliyeuawa na Hamza

Acheni kutetea uovu!

Kuweni waungwana!

Mauaji siyo jambo la kushabikia hata kidogo!

RIP policemen
 
Kimsingi hakuna sababu yoyote inayohalalisha mauaji/majeruhi na taharuki hasa kwa wasiohusika.

Tuache uchunguzi ufanyike. Tuamini haki ya mtu hapotei, japo mhusika amepoteza maisha.

Kwa mfuatiliaji mzuri wa Media, matukio ya aina hii yapo kwa wingi katika nchi zilizoendelea. Mfano, Brazil sio eneo la vita lakini inaongoza kwa mauaji ya vurugu za silaha (gun violance deaths) ikifuatiwa na USA..."Through the first five months of 2021, gunfire killed more than 8,100 people in the United States, about 54 lives lost per day, according to a Washington Post analysis of data from the Gun Violence Archive, a nonprofit research organization. That’s 14 more deaths per day than the average toll during the same period of the previous six years".

Wito kwa mamlaka husika, ipo haja ya kufanyika uchunguzi wa kina kwa wanaoomba kumiliki silaha.
 
Huko hakufai kabisa
Mambo ya kuuana kawaida tu

Ova
 
Polisi ni polisi tu, hata akiwa ndugu yako sio mtu mzuri huyo, wamejaa dhulma na uonevu.

Apumzike kwa amani shujaa wetu Hamza, tuliobaki tutaendelea kuwapukutisha polisi mdogomdogo.
Kuna mmoja alikuwa anawaponda polisi kama wewe, leo nimemkuta na mabarua ya kuomba kazi ya polisi ! Machadema bana!!
 
So smart
 
Huyu jamaa kwanza sikufikiria kua na police wala kuja kua police, alimaliza kidato cha sita Rungwe High School Tukuyu-Mbeya (pia nmesoma apo)nadhani 2013 kijana mpole sana, msikivu na pia alikua kiongozi, kwa kweli hakustahili kufa na nmeumia mnoo, sidhani kama alihusika kwenye iyo dhulma!so sad for sure R.I.P mate 😭😭
 
Kwahiyo ulitaka polisi wamzungumzie vibaya polisi mwenzao?
Hawa polisi wetu wengi wameshindwa kutumia kidogo chao kuzalisha kikubwa kwa kufanya biashara, ufugaji au kilimo badala yake wanaamua kuishi kwa kudhulumu matajiri na maskini

Kweli kabisa
 
Ni basi tu, kuna muda inabidi tuwaheshimu... lakini hawajiheshimu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…