Nyie ndo WA material ya njano kumbe mlikua mnacheat Yale maswali hamsolve😂😂😂 tulikuaga tunajua mlikua mafundiBasi ngoja nikuache Mimi sio level yako yaan unamaliza form 4 Mimi nilishamaliza miaka 20+ kabla yako kwa hio usijifananishe na Mimi
Sikupingi Mzee ila saiv watu hawategemei Caluu math ina flow yenyew TuWewe mdogo wangu kuna vingi hujafunza Ila nimegundua sio kosa lako
Yaan unaelewa alafu unajifanya hauelewi unaona unavyofunguka mwenyewe sasaMzee natumia mpaka saiv ila nlibase kusoma sio kutafta trick za kusolve hesabu kwa calculator Mzee na shule yangu wote tulikua tunasolve izo trick wamekuja tuuzia week kabla ya necta kwaajir ya prac lakini sikununua na sikutumia prac nimefanya mwenyew mzee
Acha uongo basi jaribu hata kupunguza kidogo mboni kwengineko unasema ukweliSikupingi Mzee ila saiv watu hawategemei Caluu math ina flow yenyew Tu
Nkudanganye napata nini nmekuulza izo topic unatumia nn calculator apoAcha uongo basi jaribu hata kupunguza kidogo mboni kwengineko unasema ukweli
Mzee hesabu gani izo?Yaan unaelewa alafu unajifanya hauelewi unaona unavyofunguka mwenyewe sasa
Hio inaitwa cheating hakuna mwanafunzi amemaliza PCM na haijui hio ndio maana nakwambia tukikugawia zile hesabu zetu za kukomaa na calculator hautoboi bila calculator
Mboni nimeshakupa Jibu au hausomi?Nkudanganye napata nini nmekuulza izo topic unatumia nn calculator apo
Wewe unazijua hesabu gani trigonometry, differential au calculus au zipi unazotumia calculator ?Mzee hesabu gani izo?
Eti eeh!!MImi nimesoma Advanced Biology na nimefundisha miaka 6
Halafu unachokisema sio kweli, hakuna practical easy Kama za Biology
Dissection kupasua chura, mende au panya ni marks 3 tu, mchoro una marks 2 (jumla mwalimu anakupa 5)
Mchoro unakuwa umekariri, na maswali yote yanayokuja ni ya kuelewa na kukariri tu.
Halafu mwalimu wako hawezi kukupa marks 0 kati ya 5 kwenye NECTA labda mchoro uzingue.
Food test ndio Ile Ile ya Level
Classification ndio Ile ile
Enzymology hakuna jipya
Pia Advanced Biology yote hakuna topic ngumu na ndio maana wanafunzi wengi huwa hawasomi tuition ya Biology
Maswali ni yale yale kila siku
Mechanism of doubles fertilization
Mechanism of protein synthesis, DNA replication
Structure of Cochlea
Mitochondria is a cell within a cell
Biology ni ngumu kupata A kwa kuwa Kuna tricks zake za kujibu na walimu wengi hawajui
Ukijaribu kupitia candidate response analysis angalau 5 kwa umakini na ukawafundisha wanafunzi vizuri, Bio ni easy mno kufaulu kuanzia kwenda mbele
Jamaa anawafunga tu kamba rahisi au sio ingia kwenye pepa tukutungie maswali Sisi tuone km utaotea mangapiEti eeh!!
Calculator ni for statistics,numerical, proba ni part moja Tu, linear programming unatumia but unapata simultaneously equation ambayo unaeza solved normal, matrix unaeza solve normal pia ila kusave mda ndo unatumia Caluu sizani kama kuna nilio Acha apo labda calculating deviceWewe unazijua hesabu gani trigonometry, differential au calculus au zipi unazotumia calculator ?
Umeacha ndio endelea kukumbuka ni ipiCalculator ni for statistics,numerical, proba ni part moja Tu, linear programming unatumia but unapata simultaneously equation ambayo unaeza solved normal, matrix unaeza solve normal pia ila kusave mda ndo unatumia Caluu sizani kama kuna nilio Acha apo labda calculating device
Jamaa wanasema Biology hamna ni rahisi kuliko Pure mathematics 😂 tena kuna mbwiga hapo juu anazungumzia mitochondria 😆 eti ndio alichokiona rahisi na dissection rahisi pia eti unamezameza michoro tu unatoboaAcheni bangi aisee! PCB ni ngumu mno aisee ni ngumu mno narudia! Pure maths haiwez ingia kwa biology hata kidogo.
Kuna dogo alikua na 1.7 O level juzi matokeo ya advance ana 3 ya ngapi sijui PCB. Nimeshangaa sanaNimejaribu kuchunguza matokeo ya wadogo zangu wanaotoka form 4 kwenda kusoma advance PCB nimebaki nalia na kujiuliza hawa madogo walifaulu vipi form 4.
Kuna mmoja ni best yangu sana tu form 4 kamaliza zamzam girls pale kapiga one ya 8, kaliii akiwa na A flat za masomo yote ya sayansi.
Cha ajabu kaenda form 6 PCB kaondoka na 2 ya 11 nimejiuliza sana dogo alichemka wapi na alikua vizuri tu PCB.
Haya tuje upande wa pili madogo wanaoenda kusoma PCM wengi wanatoka form 4 na ufaulu mbaya mbaya mfano 2 ya 18 ila akimaliza six unakuta ana 1 ya 5 au 4.
Hapa nazidi kujiuliza KUNA NINI KINAZUIA MADOGO WANAOPATA MATOKEO MAZURI FORM 4 FORM 6 PCB WANACHEMKA.
Ilibidi upata 1 ya 3Nikipata 2 pcm ,uzembe kweli huu