PCB siyo tahasusi ya mchezo

PCB siyo tahasusi ya mchezo

Basi ngoja nikuache Mimi sio level yako yaan unamaliza form 4 Mimi nilishamaliza miaka 20+ kabla yako kwa hio usijifananishe na Mimi
Nyie ndo WA material ya njano kumbe mlikua mnacheat Yale maswali hamsolve😂😂😂 tulikuaga tunajua mlikua mafundi
 
Mzee natumia mpaka saiv ila nlibase kusoma sio kutafta trick za kusolve hesabu kwa calculator Mzee na shule yangu wote tulikua tunasolve izo trick wamekuja tuuzia week kabla ya necta kwaajir ya prac lakini sikununua na sikutumia prac nimefanya mwenyew mzee
Yaan unaelewa alafu unajifanya hauelewi unaona unavyofunguka mwenyewe sasa

Hio inaitwa cheating hakuna mwanafunzi amemaliza PCM na haijui hio ndio maana nakwambia tukikugawia zile hesabu zetu za kukomaa na calculator hautoboi bila calculator
 
Yaan unaelewa alafu unajifanya hauelewi unaona unavyofunguka mwenyewe sasa

Hio inaitwa cheating hakuna mwanafunzi amemaliza PCM na haijui hio ndio maana nakwambia tukikugawia zile hesabu zetu za kukomaa na calculator hautoboi bila calculator
Mzee hesabu gani izo?
 
Kwahiyo siku hizi PCB div Ii point 11 mtu anahesabu kafeli ahsante mkuu nilikuwa silijui hili.
 
MImi nimesoma Advanced Biology na nimefundisha miaka 6

Halafu unachokisema sio kweli, hakuna practical easy Kama za Biology

Dissection kupasua chura, mende au panya ni marks 3 tu, mchoro una marks 2 (jumla mwalimu anakupa 5)

Mchoro unakuwa umekariri, na maswali yote yanayokuja ni ya kuelewa na kukariri tu.

Halafu mwalimu wako hawezi kukupa marks 0 kati ya 5 kwenye NECTA labda mchoro uzingue.

Food test ndio Ile Ile ya Level

Classification ndio Ile ile

Enzymology hakuna jipya

Pia Advanced Biology yote hakuna topic ngumu na ndio maana wanafunzi wengi huwa hawasomi tuition ya Biology

Maswali ni yale yale kila siku
Mechanism of doubles fertilization
Mechanism of protein synthesis, DNA replication

Structure of Cochlea

Mitochondria is a cell within a cell

Biology ni ngumu kupata A kwa kuwa Kuna tricks zake za kujibu na walimu wengi hawajui

Ukijaribu kupitia candidate response analysis angalau 5 kwa umakini na ukawafundisha wanafunzi vizuri, Bio ni easy mno kufaulu kuanzia kwenda mbele
Eti eeh!!
 
Wewe unazijua hesabu gani trigonometry, differential au calculus au zipi unazotumia calculator ?
Calculator ni for statistics,numerical, proba ni part moja Tu, linear programming unatumia but unapata simultaneously equation ambayo unaeza solved normal, matrix unaeza solve normal pia ila kusave mda ndo unatumia Caluu sizani kama kuna nilio Acha apo labda calculating device
 
Calculator ni for statistics,numerical, proba ni part moja Tu, linear programming unatumia but unapata simultaneously equation ambayo unaeza solved normal, matrix unaeza solve normal pia ila kusave mda ndo unatumia Caluu sizani kama kuna nilio Acha apo labda calculating device
Umeacha ndio endelea kukumbuka ni ipi
 
Acheni bangi aisee! PCB ni ngumu mno aisee ni ngumu mno narudia! Pure maths haiwez ingia kwa biology hata kidogo.
Jamaa wanasema Biology hamna ni rahisi kuliko Pure mathematics 😂 tena kuna mbwiga hapo juu anazungumzia mitochondria 😆 eti ndio alichokiona rahisi na dissection rahisi pia eti unamezameza michoro tu unatoboa
 
Biology ya advance ni kama bahari yaan haina mwisho vitu ni vingi mno na paper huwa ni ngumu!
Pure maths maswali ni yaleyale wanabadilisha namba tu!
Ukikariri mayombia 1&2 B au A hiyo hapo
 
Mtu wa PCB anakanyaga mitihani 11.
1.Physics¹
2.physics²
3.physics³
4.chemistry¹
5.chemistry²
6.chemistry³
7.biology¹
8.biology²
9.biology³
10.bam
11.gs
Acheni masihara wazee
 
Nimejaribu kuchunguza matokeo ya wadogo zangu wanaotoka form 4 kwenda kusoma advance PCB nimebaki nalia na kujiuliza hawa madogo walifaulu vipi form 4.

Kuna mmoja ni best yangu sana tu form 4 kamaliza zamzam girls pale kapiga one ya 8, kaliii akiwa na A flat za masomo yote ya sayansi.

Cha ajabu kaenda form 6 PCB kaondoka na 2 ya 11 nimejiuliza sana dogo alichemka wapi na alikua vizuri tu PCB.

Haya tuje upande wa pili madogo wanaoenda kusoma PCM wengi wanatoka form 4 na ufaulu mbaya mbaya mfano 2 ya 18 ila akimaliza six unakuta ana 1 ya 5 au 4.

Hapa nazidi kujiuliza KUNA NINI KINAZUIA MADOGO WANAOPATA MATOKEO MAZURI FORM 4 FORM 6 PCB WANACHEMKA.
Kuna dogo alikua na 1.7 O level juzi matokeo ya advance ana 3 ya ngapi sijui PCB. Nimeshangaa sana
 
Back
Top Bottom