MrFroasty
JF-Expert Member
- Jun 23, 2009
- 1,195
- 595
Binafsi napenda kuhubiri amani na kustahamili. Lakini niseme ukweli wazanzibari wameshastahamili vya kutosha. Hili halitaki tochi, nadhani jeshi la polisi na akina Shein na Magufuli watalifahamu na kuacha haki itendeke. Alieshinda aachiwe aongoze na tusonge mbele.
Muungano kama wazanzibari hawataki si lazima, kiilivyo maisha yote ya duniani tumekuwa nao kwa kipindi kifupi ukilinganisha na kipindi haukuwepo. Nadhani Nyerere pia alisema haya, kama hautakiwi basi hakuna haja ya kupigana mabomu.
Muungano kama wazanzibari hawataki si lazima, kiilivyo maisha yote ya duniani tumekuwa nao kwa kipindi kifupi ukilinganisha na kipindi haukuwepo. Nadhani Nyerere pia alisema haya, kama hautakiwi basi hakuna haja ya kupigana mabomu.