Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Yuko kwenye eneo ambalo ni ngumu kupima matendo yakeNi kweli mkuu ila ile kichwa naielewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko kwenye eneo ambalo ni ngumu kupima matendo yakeNi kweli mkuu ila ile kichwa naielewa
AiseeHiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.
Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.
Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.
Nikiri tuu kuwa anajua anaposimamia maana hata kuikosoa serikali waziwazi sio kazi ndogoYuko kwenye eneo ambalo ni ngumu kupima matendo yake
hiki kibabu mnataka kifie ofisini? ni kweli yuko vizuri ila kazeeka, wapo vijana wanaweza fanyakazi nzuri
wewe jamaa itakua ulikua unafurahia sana task force.Hiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.
Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.
Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.
Kama ni CCM usitarajie kitu cha tofauti, utakua disappointed sana. Hata kama ni ndugu yako. Take it from meHiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.
Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.
Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.
Hatuhitaji sukuma gang tenaHiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.
Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.
Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.
Mimi mapendekezo yangu ni hiyo nafasi apewe KibajajAchaguliwe hata Msukuma kuwa Waziri Wa Fedha, ila sio huyo Mwigulu Nchemba.
Sheria gani unayoizungumzia??Sheria inagoma.
Wengine huwa wanajoropokea tu kama Haji ManaraKumteua Professor Assad kuwa waziri ni kuvunja katiba mkuu.
Muwe mnajisomea somea katiba hata kidogo
Walishaivunja tangu mwanzo. Soma katiba hiyo uone alivyofanyiwa figisu. Figisu ziendelee ateuliwe.Kumteua Professor Assad kuwa waziri ni kuvunja katiba mkuu.
Muwe mnajisomea somea katiba hata kidogo
Kama una ugomvi binafsi na Manara si ungemfuata ukamwambiaWengine huwa wanajoropokea tu kama Haji Manara
Naona unampigia debe baba yako mdogoHiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.
Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.
Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.
Tatizo ni Mfumo wa Chama kile. Prof akishavaa tu T-Shirt yao ubongo wake unabadilika ili kuendana na Chama kile.Professor Assad anakidhi hio nafasi Dr.kikwete naomba uangalie hili
Siwezi kuwa na ugomvi na Manara maana ni jirani yangu .Kama una ugomvi binafsi na Manara si ungemfuata ukamwambia
Wanataka kuturudishia sukuma gang kwa mlango wa nyumaNaona unampigia debe baba yako mdogo