Pendekezo: Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa Fedha

Pendekezo: Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa Fedha

Hiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.

Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.

Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.
Aisee

Kweli hii nchi ina changamoto
 
Hao vijana kwa hao wachache tu tuliowajaribu kutuongoza sasa hadi sasa, wengi wao wametuangusha na bora turudi kwa wazee tu.......
hiki kibabu mnataka kifie ofisini? ni kweli yuko vizuri ila kazeeka, wapo vijana wanaweza fanyakazi nzuri
 
Hiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.

Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.

Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.
wewe jamaa itakua ulikua unafurahia sana task force.
 
Hiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.

Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.

Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.
Kama ni CCM usitarajie kitu cha tofauti, utakua disappointed sana. Hata kama ni ndugu yako. Take it from me
 
Ni afadhali mama asikie kilio chetu atuondolee hili dude Mwigulu halifai Kwangu mimi Bashe Hussein angetosha pale
 
Hiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.

Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.

Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.
Hatuhitaji sukuma gang tena
 
Sheria inagoma.
Sheria gani unayoizungumzia??
Hivi utakaa unaangalia sheria tu mambo yanaharibika??
Mtu kama ana sifa hata kama yupo CUF anavalishwa gwanda za kijani anapewa Ukatibu Mkuu wa Chama na atawanyoosha hasa
Achana na sheria angalia nini unahitaji
 
Tatizo Katiba na Tume ya Uchaguzi

Kuwa na Tume inayojaza ccm bungeni mnategemea nini? Mtabadili sana mawqziri lakini ukweli ni kwamba bunge la sasa ni dhaifu na halina sula ya uwakilishi.
 
Kumteua Professor Assad kuwa waziri ni kuvunja katiba mkuu.

Muwe mnajisomea somea katiba hata kidogo
Walishaivunja tangu mwanzo. Soma katiba hiyo uone alivyofanyiwa figisu. Figisu ziendelee ateuliwe.
 
Hiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.

Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.

Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.
Naona unampigia debe baba yako mdogo
 
Professor Assad anakidhi hio nafasi Dr.kikwete naomba uangalie hili
Tatizo ni Mfumo wa Chama kile. Prof akishavaa tu T-Shirt yao ubongo wake unabadilika ili kuendana na Chama kile.
Turejee kwenye Katiba yetu ya sasa kisha ndipo tutakapoona umuhimu wa Katiba Mpya.
 
Back
Top Bottom