Mtafiti77
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 1,877
- 2,314
π πππππππLitegemee tu mkuu elimu na kujielimisha ni mtihani sana nchi hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π πππππππLitegemee tu mkuu elimu na kujielimisha ni mtihani sana nchi hii
Nafahamu kwamba Reappointment haipo kikatiba, na protocol hazikubali mtu kuwa na cheo cha juu akamaliza muda wake then akateuliwa nafasi ya chini (Mfano mtu akishika Uwaziri Mkuu, then baada ya muda wake, utawala ujao akaja kuteuliwa Waziri).. . . Ila Kwani nchi yetu tunafuata sheria au katiba mkuu?Sheria inagoma.
Asante mkuu, nafahamu protocol haziruhusu mtu kuteuliwa nafasi ya juu then baada ya kumaliza muda akaja kuteuliwa nafasi ya chini, pia katiba hairuhusu. . . . . Ila Nchi yetu kwani tunafuata katiba au sheria mkuu???CAG hawezi kuwa reappointed kurudi kwenye office ya umma akishastaafu.
Sikutegemea hili kutoka kwako.
kwani nchi hii katiba inaheshimiwaKumteua Professor Assad kuwa waziri ni kuvunja katiba mkuu.
Muwe mnajisomea somea katiba hata kidogo
Kwahiyo na wananchi mnataka watawala waache kufuata katiba ?Asante mkuu, nafahamu protocol haziruhusu mtu kuteuliwa nafasi ya juu then baada ya kumaliza muda akaja kuteuliwa nafasi ya chini, pia katiba hairuhusu. . . . . Ila Nchi yetu kwani tunafuata katiba au sheria mkuu???
Navojua nchi yetu haina katiba wala sheria, rais akiamka na mawazo yake basi ni mwendo wa kufuata. Hata kesho asubuhi akiamka na kusema wanaume wote nataka wapimwe kaswende basi ndio kujiandaa na vipimo.
Kwahiyo mnataka watawala waendelee kuvunja katiba ?kwani nchi hii katiba inaheshiwa
Wananchi tunatakiwa tupiganie katiba mpya kwa mustakabali wa kesho yetu bora ya taifa.Tatizo ni Mfumo wa Chama kile. Prof akishavaa tu T-Shirt yao ubongo wake unabadilika ili kuendana na Chama kile.
Turejee kwenye Katiba yetu ya sasa kisha ndipo tutakapoona umuhimu wa Katiba Mpya.
ivunjwe tu sababu haijitetei mbona viongozi wa serikali wanavunja tu wakati wowote kwa masilahi yao, ndiyo maana wananchi wanataka katiba mpyaKwahiyo tuendelee kuvunja katiba ?
Huyu Dr Mhede wa Task Force ya TRA ndiyo hafai kabisa. Uchumi ni akili siyo maguvu, uchumi ni ubunifu siyo maguvuHiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.
Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.
Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.
una mawazo ya kizamani sanaNafahamu kwamba Reappointment haipo kikatiba, na protocol hazikubali mtu kuwa na cheo cha juu akamaliza muda wake then akateuliwa nafasi ya chini (Mfano mtu akishika Uwaziri Mkuu, then baada ya muda wake, utawala ujao akaja kuteuliwa Waziri).. . . Ila Kwani nchi yetu tunafuata sheria au katiba mkuu?
hivi huyu aliyesoma phd mzumbe na aliyesoma phd japan nani anaweza kuwa na ubunifu? ukikwepa kodi bandarini tutakufuata na task force, Dr Mhede hakuwafuata machinga na mamalishe aliwafuata wenye nazo wanaohongahonga bandariniHuyu Dr Mhede wa Task Force ya TRA ndiyo hafai kabisa. Uchumi ni akili siyo maguvu, uchumi ni ubunifu siyo maguvu
Nakuunga mkono kwa asilimia 800%, Rais Samia ampe Ubunge wa kuteuliwa Prof. Assad halafu amteue kuwa Waziri Wa Fedha au ampe ugavana BOT.
Kama tunakubali ivunjwe hatuna sababu ya kupigania hiyo nyingine mpyaivunjwe tu sababu haijitetei mbona viongozi wa serikali wanavunja tu wakati wowote kwa masilahi yao, ndiyo maana wananchi wanataka katiba mpya
Aulizwe Prof Assad nani atafaa kuwa Waziri wa fedha na Gavana BOTNakuunga mkono kwa asilimia 800%, Rais Samia ampe Ubunge wa kuteuliwa Prof. Assad halafu amteue kuwa Waziri Wa Fedha au ampe ugavana BOT.
Mhede hii ni wewe, ila ujue wewe ni mwehu. Mhede alikuwa kinara wa TASK force kunyanganya watu hela kwa nguvu. watu wanajisahau mapema wanaanza kujipigia debe kwenye mitandaoHiki kindumbwendubwe cha mpesa kimeonyesha uwezo mdogo wa waziri wetu wa fedha. Kiukweli huyu kakayangu kapwaya kwenye viatu kwa Dr Mpango.
Nilitamani Mpango arudi lakini kwa nafasi aliyonayo itakuwa kumshusha hadhi. Mie napendekeza Dr Edwin P. Mhede ateuliwe kuwa waziri wa fedha, huyu ni "Man of absolute integrity" eti kusema alikuwa ana kusanya kodi kinguvu jamani tuache masihara hawa wabongo bila kuwakomalia kodi hupati, situnajuana.
Qatar usipolipa kodi wanakata kichwa ndio maana wanapiga hatua kubwa na hawana mafuta kama Saud Arabia.
Hapo Dr Jk umeharibu sana.Professor Assad anakidhi hio nafasi Dr.kikwete naomba uangalie hili
Kweli,utashangaa Polepole au Bashiru Waziri wa fedhaEndeleeni tu kusumbua akili, lkn nawaambieni tatizo la nchi hii sio mtu, ni chama cha kijani. Najua wengi mtachelewa kuelewa ila ukweli ndo huo