Ni kweli ilipaswa wayahudi ndio waondoke. Lakini si rahisi ukizingatia mabwana wakubwa wa ulimwengu ndio wanawa back up. Palestine hapa ni mnyonge akubali tu yaishe. Kama huwezi kumshinda achana naye/mkimbie.Na kwa nini wahamishwe Wapalestina katika ardhi yao, badala ya hao Mayahudi wavamizi?
Watajikusanya watarudi tu.Sasa mkuu bora wakubali tu yaishe. Hata kama wakosaji ni Israel lakini wenzao wana kila kitu cha kuwatwanga. Heri nusu shari kuliko shari kamili. Ni uungwana pia kumuepuka adui. Si dhambi kumkimbia mdhalimu. Wapalestina hawana ubavu kushindana nao hao Israel na wafadhili wake. Wakubali tu yaishe hakuna namna. La sivyo wataendelea kuteswa miaka kadiri. Wangelikua na teknolojia kama wenzao wangepambana.
Wawarudishe Hao Wazungu Kwao UKRAINE/POLAND... Ndio mzozo utaisha. Yaani uje nyumbani kwangu unitoe nipeleke kwingine then nyumba yangu umpe mvamizi kisa story yake ya kuiba.Mapori bado ni mengi duniani ( ingawa yana wenyewe) be it in Africa, Asia, Europe and Americas wapalestina wahamishiwe huko na kusaidiwa kuji establish as a new state! Sounds ridiculous, but can work!
Morogoro inawatosha wote Hao wapalestina na waisrael. Sema wote Wana Roho mbaya. Wakija kwako shida tupu ndio maana Hitler akawavuruga. Na kama wangepata nafasi ya kukaa Uganda, Hakuna rangi wangeacha kuona Hao waganda au hata sisi wajirani wangetuchokoza tu maana ndio tabia Yao tangu wako Khazar huko Ukraine.Kama vipi wapewe kamkoa kamoja hapa kwetu
misri ana ardhi kubwa sana kuanzia kule sinai hadi bahari ya shamu huku. wawape kipande kimoja.Mapori bado ni mengi duniani ( ingawa yana wenyewe) be it in Africa, Asia, Europe and Americas wapalestina wahamishiwe huko na kusaidiwa kuji establish as a new state! Sounds ridiculous, but can work!
Kwa nini wasiwahamishe Israel warudi walipotoka waache kuwasumbua wapalestina?Mapori bado ni mengi duniani ( ingawa yana wenyewe) be it in Africa, Asia, Europe and Americas wapalestina wahamishiwe huko na kusaidiwa kuji establish as a new state! Sounds ridiculous, but can work!
Kuna wabishi kule sio rahisi kukubali kuhamishwa, labda waandaliwe sehemu kama New York City ndo watashawishika.Mapori bado ni mengi duniani ( ingawa yana wenyewe) be it in Africa, Asia, Europe and Americas wapalestina wahamishiwe huko na kusaidiwa kuji establish as a new state! Sounds ridiculous, but can work!
Hao wabaki huko huko asia kwao wasije tuletea upuuzi hapaMapori bado ni mengi duniani ( ingawa yana wenyewe) be it in Africa, Asia, Europe and Americas wapalestina wahamishiwe huko na kusaidiwa kuji establish as a new state! Sounds ridiculous, but can work!
Ni kurudia makosa yale yale.Mapori bado ni mengi duniani ( ingawa yana wenyewe) be it in Africa, Asia, Europe and Americas wapalestina wahamishiwe huko na kusaidiwa kuji establish as a new state! Sounds ridiculous, but can work!
Al Aqsa si watajenga nyingine huko watakapoendaHalafu waache Al AQSA pale au wahame nao?
Mimi pendekezo langu wapalestina wapewe eneo la Sinai au waarabu wana manchi makubwa wawape uraia au vimkoa viwili waishiMapori bado ni mengi duniani ( ingawa yana wenyewe) be it in Africa, Asia, Europe and Americas wapalestina wahamishiwe huko na kusaidiwa kuji establish as a new state! Sounds ridiculous, but can work!
Ukisema swala uridhi wayahudi ndio waridhi wa ardhi hiyo***** ile ni Ardhi Yao na Kuna urithi wao.Hao Washenzi waliotokea Ulaya Wayahudi ndio wahame au warudi walikotoka.
NAKUBALIANA NA WEWEMimi pendekezo langu wapalestina wapewe eneo la Sinai au waarabu wana manchi makubwa wawape uraia au vimkoa viwili waishi
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Ni kweli hata mimi siungi mkono, na ni jambo gumu sana kulitafutia suluhisho kwa sababu za imani za watu hao wawili.Wazo lako siliungi Mkono mkuu.
Asante.
NA KWELI VILE NI VIBISHI USIOMBE. NA USA HAIKO TAYARI KUACHIA NYKuna wabishi kule sio rahisi kukubali kuhamishwa, labda waandaliwe sehemu kama New York City ndo watashawishika.