ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Warithi kutoka wapi?Ukisema swala uridhi wayahudi ndio waridhi wa ardhi hiyo
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Halafu kwenye misikiti ile waswali vipi, wapeane muda, kuwa muda huu swala ni za kiislamu, muda mwingine swala ni za kijudaism.hiyo ngumu best way ni kuhakikisha wanaishi pamoja tu waoleane humo humo waanzishe daji za utani wairael watani wao wawe Palestine.
Hakuna namna mtu yyte atafanya eti mmoja wao aondoke hicho hakiwezekani ila kuishi pamoja inawezekana kama wakiamu.
Suluhisho ni two-state solution!! Zaidi ya hapo ni sawa na kusema Ukraine wahamishwe eti kisa tu Russia ameitaka ardhi yao!! Hatuwezi kufika popote.Mapori bado ni mengi duniani ( ingawa yana wenyewe) be it in Africa, Asia, Europe and Americas wapalestina wahamishiwe huko na kusaidiwa kuji establish as a new state! Sounds ridiculous, but can work!
Urithi wao umekuwa documented hadi kwenye biblia ikielezea tangu mwanzo wa dunia. Wewe ukienda ulaya basi huna chako hapa tz kisa uliwahi kuondoka? Kumbuka hata hawakuwahi kupewa Uraia huko, unawezaje kusema eti kwao Ulaya?Kimsingi Jews ndio walipaswa kuhama.
Lakini on the ground Jews ni mchokozi na mbabe hapa. Sasa wapalestine wakiendelea kukaza fuvu wasipokubali yaishe wakahama wao wataendelea kufa kila uchwao na Jews kupora ardhi zaidi.
Kwa mentality hii basi mkoloni tusingeweza muondoa kisa tu katuzidi nguvu, teknolojia, na Jeshi!!Sasa mkuu bora wakubali tu yaishe. Hata kama wakosaji ni Israel lakini wenzao wana kila kitu cha kuwatwanga. Heri nusu shari kuliko shari kamili. Ni uungwana pia kumuepuka adui. Si dhambi kumkimbia mdhalimu. Wapalestina hawana ubavu kushindana nao hao Israel na wafadhili wake. Wakubali tu yaishe hakuna namna. La sivyo wataendelea kuteswa miaka kadiri. Wangelikua na teknolojia kama wenzao wangepambana.
Biblia wapi imeeleza hilo? Ile mipaka ya kwenye Bible ni sawa na hii ya sasa? Mfano kwenye Bible Israel ina extend mpaka Mto Euphrates na Tigris ila leo hii hayo maeneo ni Iraq na Syria kabisa!!Urithi wao umekuwa documented hadi kwenye biblia ikielezea tangu mwanzo wa dunia. Wewe ukienda ulaya basi huna chako hapa tz kisa uliwahi kuondoka? Kumbuka hata hawakuwahi kupewa Uraia huko, unawezaje kusema eti kwao Ulaya?
Tafuta pesa mkuuMapori bado ni mengi duniani ( ingawa yana wenyewe) be it in Africa, Asia, Europe and Americas wapalestina wahamishiwe huko na kusaidiwa kuji establish as a new state! Sounds ridiculous, but can work!
Mfano waki ni mzuri lkn si sawa. Ukraine ni nchi kamili, tofauti na palestina.......ndiyo inataka kuundwa na mapingamizi ya israel....... hawana nchi kama Tanganyika.......bali ndiyo wanataka kujenga nchiSuluhisho ni two-state solution!! Zaidi ya hapo ni sawa na kusema Ukraine wahamishwe eti kisa tu Russia ameitaka ardhi yao!! Hatuwezi kufika popote.
lakini ujue wakipigana kila kitu huku kinakuwa affected, ni vema dunia ikawa shwali...Tafuta pesa mkuu
Achana na hao waarabu
Au tutafute katiba mpya
Hawatakubali kamwe, wanaamini Mungu ndio aliwaelekeza kuabudu pale kupitia Mfalme Suleiman, na Wakristo hivyohivyoAl Aqsa si watajenga nyingine huko watakapoenda
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Aliwaondoa au ndio alikuwa anawapeleka hapo Palestine(Philistine), kutoka Egypt...Palestina ndy mwenye ardhi tangu enzi ya Musa alivyoamua kuwaindoa waisrael na kuwapeleka nchi ya ahadi ambako hakuwafikisha kwenye hiyo nchi ya ahadi akafariki,
Walioleta mzozo ni Wazungu waliohamia Ulaya na kujiita hapo kwaoThink deep, establishment ya wachaga kilimanjaro huwezi kuilinganisha na wapalestina abao kuna mmoja nasema siyo kwao. Kwani wachaga wana mzozo say na wapare? hapa kuna mzozo na mmoja ameshika mpini na anasema ni nchi yao ya hadi! palestina hana establishment firm kama ya wachaga uliowatolea mfano.....
Wanakuwa wanajipanga but hakujawahi Tulia sema Huwa hufuatilii vizuri.Kuna muda huwa wanatulia nini huw kinawatuliza?.
Basi huo mzozo hautaisha...Wanakuwa wanajipanga but hakujawahi Tulia sema Huwa hufuatilii vizuri.
Kama saizi wakiuliwa hivi na kubomolewa Kila kitu watatulia wajijenge Upya then wanakuja kulipa Kisasi wakipata Nguvu Kwa hiyo ni hivyo tuu.
Hao wote ni watu wa Mungu na watu wengine wanatuona watupu.Kwa mentality hii basi mkoloni tusingeweza muondoa kisa tu katuzidi nguvu, teknolojia, na Jeshi!!
Hata hao wayahudi walipochinjwa na Hitler kama kuku mbona bado walianzisha vikundi vya kijeshi kupambana naye? Ilihali walijua kabisa watapigwa.
Huwezi surrender kwa adui kisa nguvu huwezi jua lini ataporomoka na ikawa advantage kwako. Rejea Vietnam vs USA au Cuba vs USA
Kuna utofauti ya hao unaowatolea mfano na uhalisia wa suala la Palestine na Israel.Kwa mentality hii basi mkoloni tusingeweza muondoa kisa tu katuzidi nguvu, teknolojia, na Jeshi!!
Hata hao wayahudi walipochinjwa na Hitler kama kuku mbona bado walianzisha vikundi vya kijeshi kupambana naye? Ilihali walijua kabisa watapigwa.
Huwezi surrender kwa adui kisa nguvu huwezi jua lini ataporomoka na ikawa advantage kwako. Rejea Vietnam vs USA au Cuba vs USA
Huna AkiliMapori bado ni mengi duniani ( ingawa yana wenyewe) be it in Africa, Asia, Europe and Americas wapalestina wahamishiwe huko na kusaidiwa kuji establish as a new state! Sounds ridiculous, but can work!
Oooh so hata Nyerere angemuachia Idd Amin ajisevie tu Kagera kisa alikua na silaha za Gadaffi?Kuna utofauti ya hao unaowatolea mfano na uhalisia wa suala la Palestine na Israel.