Pendekezo la Kidiplomasia: Diamond Platnumz Apewe Pasi ya Kibalozi (kama hana)

Mahaba niue
You are not serious!
What's happening??
Huyu mzinifu mdhalilishaji wanawake ndio apewe diplomatic passport??! you must be joking
Mkosa adabu
Hii ya woman abuser peke yake hastahili heshima
Anawatumia na kuwadhalilisha sana wanawake ( wengi watasema wanajipeleka lakini haimfutii yeye sifa mbaya 'abuser' period)
 
Sasa samatta na hashimu wana umaarufu gani wakumzidi diamond?
 
Ebu tuambie amewazalilishaje hao wanawake?
 
Hapana mkuu sijaielewa lete maelezo zaidi kivipi itamletea matatizo?
Pasi za kibalozi zina urasimu wake mkubwa sana kwenye kuomba viza.

Zina mchakato unaozishirikisha serikali zaidi.

Ukienda kuomba viza ubalozini kwa watu, wanakuchukulia kama kiongozi wa kiserikali, inabidi uwape taarifa maalum kwa muda muafaka, zishirikishe serikali, waandae kukupokea kama kiongozi wa serikali.

Pia, zinabeba wingu fulani la kijasusi. Ni kawaida majasusi wa kiserikali kupewa pasi za kibalozi. Hivyo mtu anayepewa pasi ya kibalozi bila ya kuwa na kazi ya kueleweka ya kiserikali anajiwekea wingu hili la kushukiwa kuwa jasusi.

Diamond kwa sasa anajulikana kiasi cha kwamba hiyo pasi haitamuongezea kitu, sana sana itamuongezea urasimu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanganyika wanaheshimu mtu/kitu kutoka nje tu hasa kama ni Nigeria ila vya kwao wanaona takataka tu. Hii lazima wakatae ila hapo hapo waulize kuhusu Nigeria utasikia majibu yao. Nashangaa kama Nigeria inaishobokea TZ kiasi hiki.
 

Kwahiyo wewe ndo kipimo cha kukubalika kwa Dayamondi?
 
Hapo nimekuelewa mkuu Asante.
 
Ngada aka BWIMBI limepungua mtaani kwasasa,mkimkbidhi hiyo Passport ya Diplomat unataka MATEJA waongezeke? Unajua Diplomatic Immunity?
 
Wanaharakati wenye hisia kali mmepata pakusemea
 
Bi Sandra akiisoma hii amueleweshe mwanae pia.
 
Ila ndio anatangaza taifa kuliko boya yeyote unayemuheshimu wenyewe wanamuitaga Tanzanian artist
 
Afrika ndio ishamkubali na dunia ya muziki inatambua uwepo wake we endelea kukaza tu tukatae au tukubali that kid is representing us kuliko mtu yeyote tumpe support tu
 
Mzee naona unazeeka kwa kasi. Unajua vigezo vya hiyo Diplomatic Passport? Sio njugu zile kwamba kila mtu anaweza pewa.

Unafikiri kwa nini Samata, Hashim Thabit, n.k hawajapewa hiyo pasi?

Unforgetable
Hivi hao ulowataja unawafananisha na diamond kwa lipi... Au sababu wapo kwa wazungu
 
Naunga mkono hoja... anaibeba nchi maelfu wameipenda Tanzania kupitia yeye, maelfu wameijua Tanzania na kukipenda kiswahili kupitia yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…