Pendekezo: Majina ya viongozi yaondolewe miradi ya umma

Pendekezo: Majina ya viongozi yaondolewe miradi ya umma

Think well before sharing that nonsense ideas chief.. umeona tuu Magufuli bus stand? hujaona masoko, barabara and streets ambazo tunapitia umo kila siku? hii tunaita chuki binafsi
Tutaondoa tu mkuu
 
Soma vizuri hiyo orodha kisha kawaulize familia za watu wa Vietnam, wafungwa wa Guantanamo Bay, yatima wa Iraq na Afganstan, familia ya Patrice Lumumba, Che Guevara, familia ya Jamal Kashogi, watu .... n.k.
Orodha ni ndefu.
Tuhuma za kuficha pesa China na watu hawajachukuliwa hatua kisheria wakati mtu wa kuwalinda hayupo inabidi tumshangae anaye tuhumu wakati anayo nguvu ya kimamlaka na kikatiba kuhakikisha wahusika wanawajibishwa wengine wasirudie.
Hoja yako ni ipi ?
 
Support! Ingawa dunia karibu yote inafanya hivyo, you are correct, majina ya watu yaondolewe. Tena jina la muuaji!
Lakini Kuna kitu huko USA kinaitwa JF Kennedy Airport. Nao wajitafakari
Hopeless!! Wewe huna tofauti na kum ya mama yako!
 
Soma vizuri uzi uelewe
kuwa mkweli tu hapo unatafuta jina la kijazi , yule enginia cjui anaitwa mkekanule na maguful! Usa wana uwanja wa ndege unaitwa jf kenedy ambaye alikuwa rais wa nch hyo! Magu alikuwa mmbaya lkn chuki zetu kwake tuzielekeze kwa mabaya aliotenda! Hiki ni kitu very minor mkuu! Achana nacho
 
Acha nongwa maskini hamnaga akili hata tone. Hayo majina ni heshima tu hakuna aliekaza mishipa jina lake liandikwe pale watu wamependekeza ikawa ww huna hata jina kwenye ukoo wenu peleka nuksi mbali
 
Acha nongwa maskini hamnaga akili hata tone. Hayo majina ni heshima tu hakuna aliekaza mishipa jina lake liandikwe pale watu wamependekeza ikawa ww huna hata jina kwenye ukoo wenu peleka nuksi mbali
litaondolewa tu , subiri kidogo
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
Akili ya Ufipa hiyo na hoja isiyo na mantiki. Duani kote viongozi na watu maarufu hupewa majina ya maeneo au miradi, Hata huyo Mbezi Luis unayetaka Stand liitwe jina lake alikuwa tu ni mtu maarufu. Acha chuki sisizo na maana.
 
Akili ya Ufipa hiyo na hoja isiyo na mantiki. Duani kote viongozi na watu maarufu hupewa majina ya maeneo au miradi, Hata huyo Mbezi Luis unayetaka Stand liitwe jina lake alikuwa tu ni mtu maarufu. Acha chuki sisizo na maana.
huyo Mbezi Luis aliteka na kuua wangapi ?
 
Akili ya Ufipa hiyo na hoja isiyo na mantiki. Duani kote viongozi na watu maarufu hupewa majina ya maeneo au miradi, Hata huyo Mbezi Luis unayetaka Stand liitwe jina lake alikuwa tu ni mtu maarufu. Acha chuki sisizo na maana.
Karibu majina ya mitaa au viwanja vya ndege huwa yanatolewa na watu waliopo kuwaenzi watu fulani kwa michango yao. Mfano uwanja wa Benjamin Mkapa ulipata jina baada yya Rais wa awamu ya pili kufariki mwaka jana. Ila ndiye aliyeazimia kuujenga.

Aidha hata uwanja wa JK Nyerere International Airport ulipata jina hilo miaka kadhaa baada ya Nyerere kufariki mwaka 1999. Yeye ni Baba wa Taifa ingawa wakati wa uhai wake alikataa sana kutukuzwa kwa namna hiyo

Kabla hawajakufa kwa nafasi zao walihakikisha wanayapa madaraja na mastendi majina yao. Mfugale flyover, Magufuli bus stand na Kijazi interchange??

Kuna kitu kuhusu utatu wa uovu (evil triangle) wa hawa tutakuja kuujua siku ikifika
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
Mbezi Luis sio jina la mtu
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
Wewe unapoishi ni jina la mtu au vitu .
 
Umezungukaaaaa lakini nimegundua ni jina la Magufuli limekukera kama linavyonikera
 
Dah! Hili sahihi kabisa! Kuna lile jengo pale dodoma hata nikiliona linatia kichefuchefu na sijui waliliwekea lile jina kwa protocal zipi maana sijaona impact yoyote ya mwenye lile jina zaidi alikua anaendeshwa tu kwa remote na hila yao ya kujimilikisha madaraka milele
 
Back
Top Bottom