Pendekezo: Wakili wa Kimataifa, Robert Amsterdam apewe nishani ya kupigania haki, uhuru na utu wa mtu mweusi

Kama mwislaeri ni mzungu na yesu alizaliwa kwenye familia ya wazungu ni wazi kuwa yesu hakuwa mweusi kwa ajili ya movie tu.

Kwa kweli wewe ni li-CCM tu huwezi kuta CDM akili fupi za hivyo.
Unazungumzia CDM hi Sacco's ya kuweka na kukopeshana au ipi..mnazungumzia chama kilichokufa..loh jomba mnatia aibu..mpaka viongozi wenu wamewakimbia bado mpo tu..
 
Kama mwislaeri ni mzungu na yesu alizaliwa kwenye familia ya wazungu ni wazi kuwa yesu hakuwa mweusi kwa ajili ya movie tu.

Kwa kweli wewe ni li-CCM tu huwezi kuta CDM akili fupi za hivyo.
We ungekuwa CDM ungekuwa humu saizi..si
mnatakiwa mkaandamane
 
kuna watu wanafunga kwa maombi ila wanachadema wanafunga kuandika post. jitokezeni barabarani kuandamana hamtaki. Ila kwenye kufungua thread mpya tu mpo vizuri, keep it up
Watu wengi hamjui madikteta walivyo...akiwamaliza wa nje ataanza β€œkuwatafuna” wa ndani..msifikirie mko salama sana ref:Kabudi,Lukuvi hawawezi kuwa maraisi ...Majaliwa hauna gurantee ya kuwa waziri mkuu..Anaongea kama yeye Mungu wakati hajui hata kama kesho ataamka kitandani...
 
Jomba wewe nae unajiita mtu mweusi..una akili kweli wewe...
 
Unacheza ngoma ya siasa usiyoielewa..hahahah jomba...huko hupawezi
 
Unacheza ngoma ya siasa usiyoielewa..hahahah jomba...huko hupawezi Kama una akili Kama ya mgombea Urais aliyekimbia
 
Kijana mimi nafikiri wewe unaishi kwenye ulimwengu ambao kwa fikra zako hukustahili kuishi au uko kwenye illusion.

Kwa mtazamo wangu unaonekana kuwa wewe ni kijana ambaye umesha poteza matumani ya kujiamini wewe mwenyewe kwa unacho kifanya na pia kumwamini mtu mweusi mwenzako kwa chochote kie anacho kifanya.

Wewe umesha mweka mzungu kuwa ni mungu wako hata kama amekuwekea bastora kwenye kifua chako na anasubiri akumalize. Nasikitika uko radhi kwa lolote atakalo amua alifanye, kwani bado unategemea atakuokoa kimaisha kuliko hata baba yako.

Kusema kweli hoja yako imeniliza sana hata nikashindwa kula chakula cha jioni nikitafakari nini kimetokea kwenye serikali zetu mpaka vijana wenye fikra za aina yako wakaibuka.

Wewe kijana naomba nikuulize swali; ina maana wewe taarifa za kung'olewa madarakani kwa Mohamali Gaddafi wa Libya kwako hazijakufikia? Au humjui Mohamali Gaddafi alikuwa nani?

Namsikitikia sana Rais Magufuli. Kama vijana anaowategemea kuijenga nchi, wanadiriki kumwona Amsterdam ndiyo mkombozi wao, hapo basi tena. Nafikiri wakati umefika wa Rais Magufuli kujiuzuru. Vijana wanamtaka mzungu hata kama wao wenyewe hawatakuwa na chakula? Bola liende. Madam mzungu amechukua Dola.
 

so magu ni dikteta? then thats the type of dictator we want in tz! hatutaki demokrasia yenu
 
Wananchi tutaachana na wazungu kina Bob Amsterdam pale tu CCM nayo itakapovunja ndoa yao na polisi.

Trade off.

Salary Slip

nyie endeleeni nao wala hatutaki muachane kwa sababu mna mambo yenu ya faragha, na huyo amsterdam tunaweza mwita ikulu kwa magoti kama president wa IMF alivotii wito kwa magufuli kwa haraka
 

hawa wachukulie tu kama wapo kwenye sku zao na hawatusumbui, na yule mwanamke wao wa faragha alinusurika mawe sasa hawa wacha wamwage hata mkojo tutawashuhulikia sisi wenyewe kwa wenyewe wala usiumize kichwa
 
Robert Amsterdam ni MTU NA NUSU ,atakuja kukumbukwa kama Wenzake kina Einsten.
 
nyie endeleeni nao wala hatutaki muachane kwa sababu mna mambo yenu ya faragha, na huyo amsterdam tunaweza mwita ikulu kwa magoti kama president wa IMF alivotii wito kwa magufuli kwa haraka
Kama ambavyo nyie mna mambo ya faragha na mapolisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…