Pengine Unamsikia tu Shetani Juu juu. Humfahamu Vizuri na Unasema ni Adui Yako

Na Yesu alikuwa anamjibu kwa Nidhamu alafu ndio mwana wa Mungu huyo,,,Jamaa ni mkubwa na ana nguvu mnoo kudhidi fikra zetu wanadamu na uwezo wetu,,Kama alivyo Sir God,,na majamaa "nadhani ni washikaji mnoo sisi ndio tunawachonganisha"
 
Na rose mhando naye alitudanganya kwenye wimbo wake eti ya kuwa "Nanukuu!!Shetani Ana Mapembeee""
Hahahahahaha . Rose pmj na watu wengi wanamzungumzia shetani ktk muonekano wa Ulimwengu wa roho ambao hauwezekani kuonekana ktk Ulimwengu wa mwili.. Shetani na malaika zake au majini hawawezi kuja Kwny Ulimwengu wa mwili wakiwa na ile taswira yao ya Ulimwengu wa roho..


Ukisoma kitabu cha ufunuo shetani na Mungu wametumia namba 7 Kama alama zao za utisho ,nguvu , ukuu na ukamilifu kwa muonekano wao wa kiulimwengu wa roho... Ufunuo inasema Mungu ana roho 7 , Yesu ana pembe 7 na macho 7 vinavyowakilisha roho 7 za Mungu ..

Shetani pia ktk kitabu hicho kinaonesha ana vichwa 7 , pembe 10 na vilemba 7....


Hiyo ni taswira yao ktk Ulimwengu wa roho ambao mwanadamu hawezi kuuona ...
 
shetani anapenda madalaka sana.

Watu wanagombea URAIS huyu Lucifer huyu haya bana.
 

Attachments

  • b1aa63434161f222323011896ae463bf.jpg
    67 KB · Views: 26
Mtu anakaa eti faya faya faya,,,,my freeendi unampiga faya malaika msitaafu ????? Akipigwa kimbola kidogo TU imeeenda
 
Wewe utakuwa apostle sio bure katika yote umeona sadaka tu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
SIo.
Na sadaka ni sehemu ambayo hatuwez epuka. Kwamganga tunatoa mtu sasa kwa Mungu tunatoa nn mkuu.
Inawezekana kwakuwa najua sana nguvu ya sadaka. Sala/kuomba na kufunga ndo maana nikagusa hapo
 
Wewe jamaa hakika umenena. Huwa nawaona wakristo hasa wenye makanisa ya msisimko, wanampa uzito mdogo sana shetani, kuliko uhalisia.

Fikiria Ile vita kule MBINGUNI, Mungu alishindwa kumuua shetani kupitia majeshi yake. Japokuwa shetani MBINGUNI hakuwa mwanajeshi, alikuwa muimbaji tu. Fikiria Mwanajeshi anaenda vitani na mwimbaji lakini nguvu zinatoshana.

Angalia pia Shetani ambavyo amekupa akitibua mipango ya Mungu, Kila mpango wa Mungu ametibua. Siyo Mchezo.

Mwamba Shetani siyo Lele mama.
 
Je uwepo wake, tunaweza kuthibitisha kisayansi?
Ulimwengu wa roho unafanya kazi kinyume na asili aliyoumbiwa mwanadamu na sayansi . Uwepo wake hauthibitishwi kisayansi sawa na ambavyo uwepo wa Mungu hauthibitishwi kwa sayansi. Uwepo wake unathibitishwa kwa njia kiroho kwa wanaotumia nguvu zake. Au kwa matokeo yanayotokana na nguvu zake tunayoweza kuyaona..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…