Sweya Makungu
JF-Expert Member
- Jun 11, 2023
- 508
- 601
- Thread starter
-
- #81
Ulimwengu wa roho unafanya kazi kinyume na asili aliyoumbiwa mwanadamu na sayansi . Uwepo wake hauthibitishwi kisayansi sawa na ambavyo uwepo wa Mungu hauthibitishwi kwa sayansi. Uwepo wake unathibitishwa kwa njia kiroho kwa wanaotumia nguvu zake. Au kwa matokeo yanayotokana na nguvu zake tunayoweza kuyaonaJe uwepo wake, tunaweza kuthibitisha kisayansi?
SIo.
Na sadaka ni sehemu ambayo hatuwez epuka. Kwamganga tunatoa mtu sasa kwa Mungu tunatoa nn mkuu.
Inawezekana kwakuwa najua sana nguvu ya sadaka. Sala/kuomba na kufunga ndo maana nikagusa hapo
Kwa wale wasioamini uwepo wa mungu, mfano wapagani, huwa awaathiriwi na uwepo wa shetani?Ulimwengu wa roho unafanya kazi kinyume na asili aliyoumbiwa mwanadamu na sayansi . Uwepo wake hauthibitishwi kisayansi sawa na ambavyo uwepo wa Mungu hauthibitishwi kwa sayansi. Uwepo wake unathibitishwa kwa njia kiroho kwa wanaotumia nguvu zake. Au kwa matokeo yanayotokana na nguvu zake tunayoweza kuyaona..
Shida makanisa ya sasa yanapenda Hela tu kama sadaka. Na Wakati Mungu anapenda sadaka za viumbe zaidi.Mkuu andiko lako ni ziri mno mno na nimependa maana umeandika mengi yaliyo na uhalisia
Mungu na akasema tumuumbe mtu kwa mfano wetu. Hii n kumaanisha sisi tunauwezo wa Kiingu,yan tunaumba kwa kinywa. Na shetani analifahamu hilo ila anatuchanganya na kutufanya tujiumbie mabaya . Mfano tunaitana mbwa.paka na majina mengne mabaya ambayo yanaenda kutukaa.
Shetani anatushika na kutuzui tusimtolee Mungu sadaka iliyo safi na nzuri ndo maana leo hii mtumishi wa Mungu akisiamma na kutoa somo kuhusu kutoa sadaka vita vinainuka.
Tunaomba pasipo kuambatanisha maombi yetu na sadaka,hatushukuru baada ya kujibiwa sasa hizi ndizo mbinu shetani anatumi ili kutudidimiza, na shetani atatafuta mawakala wake na kuwajengea hali ya kuelezea sadaka namna inawafaidisha watu wa Mungu na watu wataamin. Hii inajenga gap kati ya wanadamu na Mungu. Sadaka shetan mwenyewe anaiogopa kutokana na nguvu yake kwahyo sadaka anaipinga kuliko kawaida
Kitu nilochojifunza kihusu sadaka. Kwa shetani watu wanafanikiwa sana maana sadaka zao ni kubwa sana mfano mtu anamtoa kafara mzazi wake ili awe tajiri. Mtu anaua gar nzima ili awe tajiri. Kwa shetani hakuna sadaka ndogo na ndo maana mtu akienda kwa mganga sadaka yake ndogo utasikia kuku. Sasa kwa Mungu ni wangap wanatoa hata hiyo kuku? Shetan anashika sana fahamu zetu hata biblia hatuisomi na kuona nguvu ya sadaka ilivyoandikwa katika maandiko matakatifu.
Shetani amekuja kwaajili ya kuchinja na kutuangamiza na hana jema kwetu.
Barikiwa sana kwa andiko hili.
Yesu kristu akupe afya njema nyenye kila aina ya mafanikio na baraka
Nextime usichoke kuleta andiko zuri kama hili
Hatupaswi kumpa umuhimu lkn pia hatupaswi kuubeza uwezo wake km vile sisi pia Ni wa Ulimwengu wa rohoWewe jamaa hakika umenena. Huwa nawaona wakristo hasa wenye makanisa ya msisimko, wanampa uzito mdogo sana shetani, kuliko uhalisia.
Fikiria Ile vita kule MBINGUNI, Mungu alishindwa kumuua shetani kupitia majeshi yake. Japokuwa shetani MBINGUNI hakuwa mwanajeshi, alikuwa muimbaji tu. Fikiria Mwanajeshi anaenda vitani na mwimbaji lakini nguvu zinatoshana.
Angalia pia Shetani ambavyo amekupa akitibua mipango ya Mungu, Kila mpango wa Mungu ametibua. Siyo Mchezo.
Mwamba Shetani siyo Lele mama.
Lucifer Malaika mkuuShetani alikuwa Mkuu wa kitengo Cha sifa. Leo tungesema Kwayamasta. Hakuwa Waziri Mkuu, ila maeneo mengine umeenda vema.
Kwa wale wasioamini uwepo wa mungu, mfano wapagani, huwa awaathiriwi na uwepo wa shetani?
Shida makanisa ya sasa yanapenda Hela tu kama sadaka. Na Wakati Mungu anapenda sadaka za viumbe zaidi.
Wahadzabe, wameathiriwa vipi na uwepo wa shetani?Shetani anaathiri Wote . Wanaoamini na wasioamini . Lengo wasiwepo kbs watakaoendelea kuamini
Hahahahahaha . Ukumbuke kuwa Yesu anatumia uweza na nguvu za Mungu ( Jehova) . Ndiyo maana pale msalabani alisema " Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha?Naona shetani ana uwezo kuliko Yesu, ona alipombeba mzima mzima mpaka mlimani na kumuonyesha utajiri wote wa dunia.
Wahadzabe, wameathiriwa vipi na uwepo wa shetani?
Hii ina maana tunacho kiamini ndicho tunacho kiishi; kama uamini chochote utaishi hivyo hivyo kwa kutoamini chochoteFikra na ufahamu wako juu ya hii dunia haufanani na waadzabe.. Shetani anafunga ufahamu watu wakose maarifa hata ya kumjua tu Mungu..
Naam ni kweliHii ina maana tunacho kiamini ndicho tunacho kiishi; kama uamini chochote utaishi hivyo hivyo kwa kutoamini chochote
Mkuu sadaka iwe ya kiumbe au cash still ni sadaka. Pia sadaka hupangiwi pa kupeleka.Shida makanisa ya sasa yanapenda Hela tu kama sadaka. Na Wakati Mungu anapenda sadaka za viumbe zaidi.
Amina ndugu , sadaka ina umuhimu mkubwaMkuu sadaka iwe ya kiumbe au cash still ni sadaka. Pia sadaka hupangiwi pa kupeleka.
UKiona nafai yakp inapinga sana sadaka ujitafakari.
Kama kwa mganga pekee kunasadaka tena kubwa huko kwa Mungu si ndo tungepaswa tutoe kubwa zaidi?
Kumbeba haimaanishi kuwa ananguvu kuliko yeye. Mfano nowdays kunautajiri unatoka kwa shetan na ni wa haraka na mkubwa. Shetan anauwezo wa kutoa vitu vikubwa na kufanya maajabu ambayo kama huna kristo moyoni hutojua kama n hila za shetani. Ila yote si kumaanisha ni kweli ila ni mazingaumbwe tu hayo. Shetan anajua Mungu n mkuu na mlinzi wetu sikuzote na yeye anaogopa lindo lakeNaona shetani ana uwezo kuliko Yesu, ona alipombeba mzima mzima mpaka mlimani na kumuonyesha utajiri wote wa dunia.
Somo.la imani hilii.Hii ina maana tunacho kiamini ndicho tunacho kiishi; kama uamini chochote utaishi hivyo hivyo kwa kutoamini chochote
Ni kweli hakikaKumbeba haimaanishi kuwa ananguvu kuliko yeye. Mfano nowdays kunautajiri unatoka kwa shetan na ni wa haraka na mkubwa. Shetan anauwezo wa kutoa vitu vikubwa na kufanya maajabu ambayo kama huna kristo moyoni hutojua kama n hila za shetani. Ila yote si kumaanisha ni kweli ila ni mazingaumbwe tu hayo. Shetan anajua Mungu n mkuu na mlinzi wetu sikuzote na yeye anaogopa lindo lake
MFano Mungu alikuwa anamlinda ayubu na shetan alijuwa
Hapa check shetan alivyokuwa anamwambia Mungu "Wewe hukumzingira kwa ukigo pande zote, pamoja na nyumba yake, na vitu vyote alivyo navyo? Kazi za mikono yake umezibarikia, nayo mali yake imeongezeka katika nchi. "