Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Pengo nae ni mwananchi wa Tanzania, ana uhuru wa kutoa maoni
Angesimama kama yeye siyo kukaa mbele ya press na kuanza kupayukwa kwamba yaliyosemwa sio msimamo wa Kanisa Catholic,keshajiona Askofu wa taifa sasa na hana mamlaka ya kutusemea waamini wote Tanzania awasemee wa Dar anaowaongoza
 
Zipo seminary nyingi za kikatoliki zinaitwa st Mary.. mf ile ya hapo mbalizi mbeya inaitwa st mary mbalizi... kuna moja iko hapo pwani inaitwa st. Mary's pia au maarufu kama Visiga seminary
Fatilia vizuri ujue mmiliki wa hiyo st.Mary ya Mbeya na hiyo ya pwani utajua kua hizo shule hazina muunganiko na kanisa Katoliki. Hizo mkurugenzi wake ni Mchungaji Mama Rwakatare.
 
Rais akitaka kuongea na Papa anawasiliana na Balozi wa Vatican hapa Tanzania,sio Pengo
Sio kweli balozi wa Papa hawezi mwaproach direct lazima apitie kwa pengo kiprotocol sababu akienda direct balozi wa Papa atampelekea kardinali aone pengo anasemaje Kama askofu wa magufuli jimbo la dar es salama magufuli lazima apitie kwa pengo kwanza hawezi enda ubalozi wa Vatican straight
 
Askofu Pengo na Askofu Rulenge wana hadhi sawa.

Ukadinari hata Padre anaweza kuteuliwa kuwa kadinari. Kajambe mbele huko.

Adui wa mtu mweusi ni mweusi mwenzake! Hizi picha zinaonyesha weusi walilazimika kuvuliwa nguo katika mgodi wa Mwadui ili tu wakaguliwe kama hawajaiba Madini ya almasi! Aliyekuwa anawakagua ni weusi wenzao! Walipofanya kazi weusi wenzao walikuwa nyuma kulinda wasiibe! Ilikuwa ukiingia mgodini bila ruhusa ni faini kubwa sana au kupoteza maisha! Picha zote hizi zimepigwa mwaka 1951 huko katika mgodi wa Mwadui! Watu weusi wanavyotendeana ni jambo la khatari!

 
Huyo hata asipofukuzwa umri wake na mawazo yanaonyesha amefikia mwisho

Badala atende haki kumalizia safari yeye ndio kwanza anafanya kinyume chake

Hata hivyo huyu ni Mfarisayo tu hivyo usishangae anacho kitetea

Fikra zake Pengo kwa sasa hivi hazina tofauti na za Moses Kulola. Wote wanatia aibu. Wanazeeka vibaya bila shaka.
 
Huyo uliemtaja unamsifia kwasababu anawaunga mkono kwenyesiasa zenu? Siku moja atakapowakosoa mtaanza kumsema vibaya. Waacheni wachungaji wafanye yao ninyi mbaki na siasa zenu za ajabu.
 
Aiseeee aiseee mkuu atakaye pinga haya bhasi
 
Usijitie wazimu km wale wapuuzi wa vijijini wanaopita kudanganya walezi na ma house girl wa vijijini kuwa wao sijui ni master na ujinga mwingine. Wewe unayejidai una AKILI HUJUI KUWA PAPA BENECICT ALIJIUZULU? Unajua sababu aliyosema? Alikuwa honest enough kukiri afya yake kiakili haiwezi tena ongoza wakatoliki zaidi ya bilioni moja duniani. Sio kwamba alikuwa kachoka hivyo, yule mzee ni msomi vibaya, kachapisha vitabu vingi sana na alikuwa ndio engine ya ukatoliki kifikra, na alikuwa sharp mbaya ingawa alianza umwa umwa ila sio km hata pengo. Pengo ni mgonjwa kila angle. Pengo alichofanya ni kuthibitisha alichosema Gwajima.
 
Rais akitaka kuongea na Papa anawasiliana na Balozi wa Vatican hapa Tanzania,sio Pengo
Protocol Ya kanisa tofauti na secular magufuli lazima kwanza awasiliane na askofu wake pengo na pengo ndie apeleke kwa balozi wa Vatican
 
nani aliyekwambia kuwa Pengo ni bosi wa askofu wa Rulenge?. Pengo kaeleza kadri ya ufahamu wake na hii sio mara ya kwanza kwake kuongea.

Kama wewe haumheshimu Askofu Pengo sisi wengine tunamheshimu sana. Sio kwa umri wake tu, bali kwa kazi kubwa ya kiroho ambayo humu ndani hakuna anayeweza kuielezea mpaka ikaeleweka.
 
Aiseeee aiseee mkuu atakaye pinga haya bhasi
Pengo aongee na waumini wake wa Dar es salaam tu ndipo kwenye mamlala yake, akivuka tu kiluvya kuingia Kibaha hana mamlaka.

Kwa sababu ccm imejaa mijitu mijinga ilikuwa inamtumia Pengo wakidhani cheo chake ni kama cha Mufti kwa waislamu kwamba Mufti ni Tanzania nzima.

Hatutochoka kutoa elimu hii ili ukweli uwe wazi na watu wajuwe kweli.
 
Rais akitaka kuongea na Papa anawasiliana na Balozi wa Vatican hapa Tanzania,sio Pengo
Sio kweli hata vikanisa vya uchochorini huwezi wasiliana hata na askofu hadi suala lako ulipeleke kwa padri wa kigango au Mchungaji wako. Balozi wa papa hupokea masuala kwa kardinali hapokei straight. Hata akipewa straight atayarudisha kwa kardinali for comments
 
Hamjamuelewa Pengo. Kasisitiza kuwa kuna utaratibu wa kanisa kuhusu kutoa matamko ya kisiasa. Sasa wapinga kila kitu wanakuja na mipash yao. Kwani pengo kasosea wapi? kwani Pengo kasema hataki katiba mpya?

Kwani ameshindwa kumweleza hukohuko mpaka alitoe public? hii ni kuliingiza kanisa katika malumbano ya kisisa na kuligawa kanisa! kama ameona mwenzie kakosea angelishawishi kakao cha baraza la maaskofu ndipo baraza litoe tamko!
 
Duuh huku kachukuliwa Pengo kule Mufti Jamaa wanajua kucheza na Majority sema tumesanuka atuwasikilizi hao vibalaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…