Msolid boy
Member
- Dec 19, 2019
- 32
- 71
Mkuu, ata mziki wa zamani ulikuwa na vina pamoja na ujumbe uliotukuka Kwa wakati wake na hadi sasa. Ndiyo maana nikajaribu kukuwekea baadhi ya vizazi kulingana na muda wao.Si muweke hizo ngoma tizifanyie comparison..
Mnaeleza nadharia tu but hamjui Vina wala hamumskizi.
Bakin na hao mapupular artist.. Vina ana kiti cha peke yake
Nimekwambia weka ngoma unaogopa..Mkuu, ata mziki wa zamani ulikuwa na vina pamoja na ujumbe uliotukuka Kwa wakati wake na hadi sasa. Ndiyo maana nikajaribu kukuwekea baadhi ya vizazi kulingana na muda wao.
Japo kuwa Kuna vizazi vya muda wote (mazingira yanapo badirika nao wanabadirka).
Langa hawezi kufanishwa na Dizasta bhana!
Langa ni Langa na Dizasta ni Dizasta.
Kwani wewe unamuweka Vina kama ni msanii aliyetoboa kipindi hiki?Vina asingetoboa kipindi hicho
Mkuu, hakuna chakuogopa hapo! Mbona Nyimbo baadhi nilikuwekea. Alizo imba na kushirikishwa.Nimekwambia weka ngoma unaogopa..
Ndio hizo matawi ya juu? Au rafiki? Au ile verse ya kwenye ni hayo tu? π π π
Sasa Langa anazidi nini vina? Labda fame na populality..
Kuna jamaa hapo ananambia ameskiza verteller, labda mara moja tu kasikiza ngoma afu anasema eti nimeskiza verteller youtube.. πππ
Hamna content za kum, kumngumzia vina.
Ile intro tu ya verteller inabidi upate msaada wa google kuelewa majina ya wale watu wanaotajwa.
Rapper anajua
Physics
History
Bios
Language
Afu mnamuweka na hao Rapper wenu form four falier.. π π π
Mimi sio mtabiri bro.Mkuu, hakuna chakuogopa hapo! Mbona Nyimbo baadhi nilikuwekea. Alizo imba na kushirikishwa.
Nilikuuliza kama Langa angekuwepo hai na anaendelea kuimba je angekuwa anatoa Nyimbo za kiwango gani cha content?na Bora Kiasi gani katika mziki wa Hip Hop?
Kwa kusikiliza tu Nyimbo 3 nilizo zitaja, kama unajicho la kuona mbali basi huwezi mlinganisha na huyo Dizasta.
AmKusema tu hujaona codes i.e. Huwezi kuilewa hiyo ngoma.
Mfano T 9 12.. Independents date
Maria s... Ni nani huyu reporta?
Martin.... Na huyu nae?
Tarehe ya meli kuzama... (Inatoa ujumbe gani)
Bro vina anaandika beyond the scope!
Hiyo ni intro tu... Unajua vile viboko 38.. What does it mean?
So umejaribu Kufanya analysis ndogo ya taswira ya nje.
Ila in deep kuna content ambazo wanaelewa wachache sana...
Sikwambii usikize mwanajua utatoka mweupe.
Acha kulinganisha Langa na takatakaTangu Langa atutoke ni miaka 10 sasa sikuwahi kuona wa kuziba pengo lake.
Dizasta Vina a.k.a Maradona huyu jamaa kutokana na mpangilio wa verse zake, namna anavyoflow naweza kusema pengo la mwamba Langa limezibwa sasa.
RIP Langa
Hapa nipo nasikiliza nyumba ndogo .oya dizasta ni mnoma banaKusema tu hujaona codes i.e. Huwezi kuilewa hiyo ngoma.
Mfano T 9 12.. Independents date
Maria s... Ni nani huyu reporta?
Martin.... Na huyu nae?
Tarehe ya meli kuzama... (Inatoa ujumbe gani)
Bro vina anaandika beyond the scope!
Hiyo ni intro tu... Unajua vile viboko 38.. What does it mean?
So umejaribu Kufanya analysis ndogo ya taswira ya nje.
Ila in deep kuna content ambazo wanaelewa wachache sana...
Sikwambii usikize mwanajua utatoka mweupe.
Kama umemsikiliza vizuri,vip zile content zake ?unaona ni kichwa cha kawaida kwa kizazi chake hiki,achana na malegend tunaongelea hawa kizazi chakeNdo sababu nimekuambia mnajua nyie wapenzi wake zaidi, general public haimjui. Nilimuona dk 10 za maangamizi nikavutiwa, nikamsearch youtube verteller nikasikiliza, it is alright, good stuff, but nothing exceptional or extraodinary. Sasa kelele zenu wapenzi wake kwa tulio skiliza hip hop for close to 4 decades its like he is the next big thing wakati he is just on same group just like the rest of the pack
Fan boy at your best, go kiss your boy scout you dick riderMtu amemtaja hata Stamina kuwa msanii mkali wa Hiphop halafu bado unaendelea kumueleza kuhusu Dizasta ukifikiri ataelewa. Serve your energy bro
Am
Tangu post imeanza umekazana 'dick sucking' 'dick riding', that's what floats your boat? Nah, don't answer that, charcoal ass niggaFan boy at your best, go kiss your boy scout you dick rider
kwa content namkubali shida yake anaongea kwa sana napenda msanii anayeflowHapa nipo nasikiliza nyumba ndogo .oya dizasta ni mnoma bana
Unataka Flow?kwa content namkubali shida yake anaongea kwa sana napenda msanii anayeflow
Bro hawa wanamuongelea vina ila hawamjui.Hapa nipo nasikiliza nyumba ndogo .oya dizasta ni mnoma bana
nitazitafuta mkuuππππππUnataka Flow?
1. No body is safe 1 - 4
2. Yule yule
3. Money
4. Maabara
5. Tribulation
6. Best friend
Bro zipo nyingi endelea kula madini ya Vina..
Take your time broh. πnitazitafuta mkuuπππππ