nimetupia viwili mkuu maana watu wanalalamika sana utamu umewanogea wanasahau hapa story ndio inaanza na kazi ndio inaanza kufanyika mwanzo alikuwa mtunzi anatengeneza kisa na wahusika. naona sasa wamebakia wahusika wapiga kazi .mda sio rafiki kwao lkn nyeti zote wanazifaham wao ndio wanawafaham washiriki wote wanao inyatia package mpaka mnunuziNimeona notification yako nikajua umeshusha mzigo[emoji35]
lege shusha mkuu...pleaseeeenimetupia viwili mkuu maana watu wanalalamika sana utamu umewanogea wanasahau hapa story ndio inaanza na kazi ndio inaanza kufanyika mwanzo alikuwa mtunzi anatengeneza kisa na wahusika. naona sasa wamebakia wahusika wapiga kazi .mda sio rafiki kwao lkn nyeti zote wanazifaham wao ndio wanawafaham washiriki wote wanao inyatia package mpaka mnunuzi
Pamoja na yote hayo Daudi1 na wengine nawakumbusha kuwa Elibariki ndio stellingHata Mimi hapa nimeshangaa kwa akili ya kawaida haiwezekan maana hakuna wa kumuunganisha Elibariki kwa Dr. Joshua tena na hapa ili storii uendelee kuwa tamu inatakiwa Elibariki akufe tuuu maana hamna namna
Pamoja na yote hayo Daudi1 na wengine nawakumbusha kuwa Elibariki ndio stelling
Sasa kama stelling anauawa poa?
WE eti Elibariki Stelling?sio kweli Stelling hapa ni Methw ndie atakaye contol issue zote hadi dakika ya mwisho,then Eli atamkana Methw kwa time hii atashirikina na Dr Joshua kuuza kirusi but yeye atakizuia kwa makusudi kwa njia atakazojua yeye kisha atampa Methw ambaye atakuwa ametekeleza agizo la John na Deus,Mwisho Deus ataghair kumpa Urais Elibariki,So huenda Urais akaukwaa MethwPamoja na yote hayo Daudi1 na wengine nawakumbusha kuwa Elibariki ndio stelling
Sasa kama stelling anauawa poa?
Kwa kweli hata mimi nilijutia kusoma ule uupuuzi wa ElibarikiThis story is too touching now. Ningejua kipande cha Jana nisingesoma usiku ile. Nimenyimwa usingizi nzuri, niliguswa mno na kipande mile.
Mtunzi amenipata.
Josh atajiunga na akina Mathew, itakuwa mtu 3 ya ukweli.nimetupia viwili mkuu maana watu wanalalamika sana utamu umewanogea wanasahau hapa story ndio inaanza na kazi ndio inaanza kufanyika mwanzo alikuwa mtunzi anatengeneza kisa na wahusika. naona sasa wamebakia wahusika wapiga kazi .mda sio rafiki kwao lkn nyeti zote wanazifaham wao ndio wanawafaham washiriki wote wanao inyatia package mpaka mnunuzi
Tupia hata 5 alf tukutane usiku kabisanimetupia viwili mkuu maana watu wanalalamika sana utamu umewanogea wanasahau hapa story ndio inaanza na kazi ndio inaanza kufanyika mwanzo alikuwa mtunzi anatengeneza kisa na wahusika. naona sasa wamebakia wahusika wapiga kazi .mda sio rafiki kwao lkn nyeti zote wanazifaham wao ndio wanawafaham washiriki wote wanao inyatia package mpaka mnunuzi
Peniela kibox alikiifadhi kwenye nyumba aliyopewa na RaisiInasikitisha sana kuona hizi nyumba 2 muhimu zinaunguzwa, pamoja na uzuri wa nyumba ya Peniela na vitu vingi vya thamani vilivyokuwemo, kuna kile kibox alichopewa na John Mwaulaya, hajakifungua kujua kuna nini sijui hatima ya hiki kibox.
Nyumbani kwa Mathew ilikuwa ni nyumba ya thamani nyumba ambayo Mathew aliamini kuwa ni sehemu salama kuliko sehemu yoyote.
Lakini kulikuwa na vitendea kazi muhimu hii ikiwa ni pamoja na magari yake, lakini kulikuwemo na kitu cha muhimu zaidi ambacho kiliwagharimu muda pamoja na uhai wa baadhi ya watu, kitu hiki ni zile nyaraka za siri zenye formula ya kutengeneza virus hatari, hii nayo sijui hatima yake.
Ngoja nione mtunzi atakavyo fix hii sintofahamu ya haya mambo pamoja na mengine.
Kitu kingine na ambacho nilikiona mapema ni Mathew kuwaamini sana washirika wake na kuwaonyesha mambo mengi ya siri pale nyumbani kwake, hili jambo limemgharimu.
Poor Elibariki.
Wengine wafugajiwatu watashindwa kufanya kazi mkuu
Thanks kwa kunikumbusha.Peniela kibox alikiifadhi kwenye nyumba aliyopewa na Raisi