Pentekoste iliyochangamka

Pentekoste iliyochangamka

KIWANGO KIKUBWA CHA UWEZO WA IBILISI NI KUIGIZA MAMBO YA KIUNGU
 
MALAYA wamejazana makanisani. wahubiri hawana neno tena vinywani mwao. kile wanakitaka ni sadaka tuuu.
aibu kwenu mnaojiita wahubiri na watumishi mliojituma
 
kuna ndugu yangu amekuwa kama mganga anazunguka nyumba yake na machumvi ananyunyizia. uo sio ukristo kamwe haujawahi kuwa . ni ushirikina uliovalishwa jina la ukristo. pentekoste imeozaaa.
 
Neno Ni lenyewe, wewe ndio sio mwenyewe, umepotoka kabisa. Kumbuka ulimwengu wa Giza una vitu unavyotumia, vifaa mbalimbali Kama chungu, ngozi za wanyama, vibuyu nk.
Vilevile ulimwengu wa Nuru una vifaa mbalimbali ambavyo vimetumika na watakatifu na vinaendelea kutumika. Mf. Mafuta, maji, chumvi nk. Hivi huwakilisha ulimwengu wa nuru. So mtu akitumia hivyo ibadani sio kwamba anakosea hasha Bali wewe ndio unakosea kwa kuwapa watu uzito wakuwaamini watumishi wa Mungu. Na watu Kama wewe yesu kasema Ni heri kufungwa jiwe nakutoswa baharini.

Watumishi wa Mungu wanajitahidi kufundisha vizuri lkn watu Kama wewe ambaye hujui hata neno Wala huamini ktk miujiza Ni tatizo. Kwani Ni muujiza gani ambao wewe umewahi ukubali kwamba umetoka kwa Mungu?

Hao akina mwamposa wanakusanya pesa nyingi lkn sio kwamba wanafikia level za roman catholic ambao wanafanya biashara wanna maseminali, Wana mahospitali, wanauza vitabu, rozali, nk. Mwamposa kuuza maji tu unaona kakumalizia hela zote wakati pesa hizo zinatumika kuendeleza kazi ya Mungu. Acheni fikra potofu.
Pentekoste imechanganyikiwa,wala haijui ikitakacho.
ile injili iliokuwa ikihubiriwa imegeuzwa ufisadi.
Hali ya pentekoste ni mbaya kwa sasa kuzidi Roman.
imekuwa na kanisa la watafuta miujiza na pesa.
chumvi na maji.

moja ya mambo kanisa limejichanganya nayo;
1; mahubiri ya pesa tu na mali, kamwe Bwana yesu hakuwahi kuwa na mahubir ya mtindo huu. biblia inasema haiwezekan kwa tajiri kuurithi ufalme wa mungu. utafuteni kwanzaufalme wa mungu na hayo mengine mtazidishwa
kanisani wamejazana wenye dhambi wanaotaka baraka za Mungu.

2; WAHUBIRI/WAHUDUMU WANAWAKE.
1Wakorintho 14;32Roho za manabii zinawatii
manabii. 33Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko bali ni wa amani.
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana
ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.

1 timotheo 2;11
11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa
utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya
kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya
mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa
kimya.

3;KUNENA KWA LUGHA
1 wakorintho 14;16
Kama mtu ye yote akinena kwa lugha,
basi waseme watu wawili au watatu si zaidi,
mmoja baada ya mwingine na lazima awepo
mtu wa kutafsiri. 28Lakini kama hakuna mtu ye
yote wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze
kimya kanisani na wanene na nafsi zao
wenyewe na Mungu.

4; USASA IBADANI
Mungu hajwahi kwenda na wakati kwa sababu maendeleo ya usasa yoote ni ya ibilisi. yeye ni yeye yule jana leo na hata milele habadiliki. akisema usivae hiki ni hivyo milele . sasa huu usasa wa mpaka kumuita mungu DADY ni aibu kanisani.

5; MIUJIZA NJE YA NENO LA MUNGU
hapa sasa ndo kuna tatizo kubwa watu wamekuwa wakifata miujiza na si neno. kumbuka B wana yesu alitumia miujiza ili kuwavuta watu awahubirie neno la uzima. ila huu uhubiri wa kumwagia chumvi nymba na kuweka picha ya mhubiri chini ya biasharayako ni ushetani na ushirikina.

KWA KUMALIZA UKIANGALIA VIZURI WENGI WALIOKUWA WASHIRIKINA WALITAFUTA AINA MPYA YA USHIRIKINA ULIOJIFICHA KATIKA VAZI LA KIDINI.
WENGI WAMEENDA KWA WAGANGA NA KWA MANABII KWA KUWA NI VVITU VINAVYOFANANA.
INASIKITISHA KUONA PENTEKOSTE ILIPOFIKIA.
s
 
Roman haijawahi kuwa na hali mbaya kufikia hatua ya kufananishwa na pentekoste
pentekostre ingeanza zaman za romani basi ingekuwa na uozo kuliko roman ilipofikia. pentekoste inamuda mchache tuu ila imeenda njia ya kuzimu mapema mnooo.
singeli ba bolingon hazina sehem mbele za mungu.
hata uimbaji si wauvuvio tena ni kama wakina DIAMOND.
ubaya hakuna wakusimama na kuhubiri injili tena ya kweli.
 
Neno Ni lenyewe, wewe ndio sio mwenyewe, umepotoka kabisa. Kumbuka ulimwengu wa Giza una vitu unavyotumia, vifaa mbalimbali Kama chungu, ngozi za wanyama, vibuyu nk.
Vilevile ulimwengu wa Nuru una vifaa mbalimbali ambavyo vimetumika na watakatifu na vinaendelea kutumika. Mf. Mafuta, maji, chumvi nk. Hivi huwakilisha ulimwengu wa nuru. So mtu akitumia hivyo ibadani sio kwamba anakosea hasha Bali wewe ndio unakosea kwa kuwapa watu uzito wakuwaamini watumishi wa Mungu. Na watu Kama wewe yesu kasema Ni heri kufungwa jiwe nakutoswa baharini.

Watumishi wa Mungu wanajitahidi kufundisha vizuri lkn watu Kama wewe ambaye hujui hata neno Wala huamini ktk miujiza Ni tatizo. Kwani Ni muujiza gani ambao wewe umewahi ukubali kwamba umetoka kwa Mungu?

Hao akina mwamposa wanakusanya pesa nyingi lkn sio kwamba wanafikia level za roman catholic ambao wanafanya biashara wanna maseminali, Wana mahospitali, wanauza vitabu, rozali, nk. Mwamposa kuuza maji tu unaona kakumalizia hela zote wakati pesa hizo zinatumika kuendeleza kazi ya Mungu. Acheni fikra potofu.

s

unaweza kunionyesha kwenye maandiko baada ya kuja kwake Bwana yesu sehem wametumia hivyo?
maana hio ndio injili, maji hutumika ila si maji ya kununua.
mafuta hutumika lkin si ya kununua.
hio injili unayoisema sijaiona kwenye maandiko
 
Aibooo wanamwita Sir God Dady!!!😄😄😄Aisee Yani Kote mvurugano Tukienda Pentecost uko ni miujiza Roman Papa haeleweki😁😁 Lutheran nako wachungaji wanapenda Sadaka🤣🤣 na mali Sabato nako Chali wachungaji Hawasomeki🤣🤣 huku kwa ndgu zetu Wa Kobazi Majinii woiii utayapandisha kama Tuzo point za Halotel🤣🤣 Sijui nihamie Buddhism Yani nifuate Mafundisho ya Yesu na Mungu tu maana huku kwingine kunanichanganya kama CCM na CDM
 
Neno Ni lenyewe, wewe ndio sio mwenyewe, umepotoka kabisa. Kumbuka ulimwengu wa Giza una vitu unavyotumia, vifaa mbalimbali Kama chungu, ngozi za wanyama, vibuyu nk.
Vilevile ulimwengu wa Nuru una vifaa mbalimbali ambavyo vimetumika na watakatifu na vinaendelea kutumika. Mf. Mafuta, maji, chumvi nk. Hivi huwakilisha ulimwengu wa nuru. So mtu akitumia hivyo ibadani sio kwamba anakosea hasha Bali wewe ndio unakosea kwa kuwapa watu uzito wakuwaamini watumishi wa Mungu. Na watu Kama wewe yesu kasema Ni heri kufungwa jiwe nakutoswa baharini.

Watumishi wa Mungu wanajitahidi kufundisha vizuri lkn watu Kama wewe ambaye hujui hata neno Wala huamini ktk miujiza Ni tatizo. Kwani Ni muujiza gani ambao wewe umewahi ukubali kwamba umetoka kwa Mungu?

Hao akina mwamposa wanakusanya pesa nyingi lkn sio kwamba wanafikia level za roman catholic ambao wanafanya biashara wanna maseminali, Wana mahospitali, wanauza vitabu, rozali, nk. Mwamposa kuuza maji tu unaona kakumalizia hela zote wakati pesa hizo zinatumika kuendeleza kazi ya Mungu. Acheni fikra potofu.

s

kama umeshindwa kuona jambo la wazi kama hilo MUNGU akujalie.
woote hao ni roho ile ile iliokuwa kwa roman imehamia kwa pentekoste.
mungu amekuwa akiwaagiza nenda moto fulan ama katumie kitu fulani. pia kumbuka walikuwepo weengi wenye ukoma ila si woote waliambiwa wakajitose kwenye maji.
 
Aibooo wanamwita Sir God Dady!!!😄😄😄Aisee Yani Kote mvurugano Tukienda Pentecost uko ni miujiza Roman Papa haeleweki😁😁 Lutheran nako wachungaji wanapenda Sadaka🤣🤣 na mali Sabato nako Chali wachungaji Hawasomeki🤣🤣 huku kwa ndgu zetu Wa Kobazi Majinii woiii utayapandisha kama Tuzo point za Halotel🤣🤣 Sijui nihamie Buddhism Yani nifuate Mafundisho ya Yesu na Mungu tu maana huku kwingine kunanichanganya kama CCM na CDM
umenifurahisha sanaa sanaaaaaa.
inasikitisha kusikia wanamuita Mungu jina la mzaha kama ilo.
kiufupi biblia inasema yesu atakataliwa na makanisa watamtupa nje ya kanisa atakuwa anabisha hodi yeye atakaemsikia afungue atakula nae.

ila neema ilitujia sisi watu tusio wa israel baada ya waisrael kumkataa masihi. biblia inasema na sisi tutamkataa ili injili iwarudie israel tena watubu
 
; WAHUBIRI/WAHUDUMU WANAWAKE.
1Wakorintho 14;32Roho za manabii zinawatii
manabii. 33Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko bali ni wa amani.
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana
ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani
Nyie si ndio mnaopiga kelele kuwa uislamu unamkandamiza mwanamke,,endeleeni kuwapa madhabahu akina Zumaridi lkn ukweli mbinguni mtapasikia tu..


Nipo pale..
 

Attachments

  • Screenshot_20240920_170123_Gallery.jpg
    Screenshot_20240920_170123_Gallery.jpg
    329.5 KB · Views: 2
unaweza kunionyesha kwenye maandiko baada ya kuja kwake Bwana yesu sehem wametumia hivyo?
maana hio ndio injili, maji hutumika ila si maji ya kununua.
mafuta hutumika lkin si ya kununua.
hio injili unayoisema sijaiona kwenye maandiko
Tuliza akili wewe usiwe mpingaji wa kila kitu, ufalme utakupitia kushoto alafu hao unaowaona waongo wakapasua. Mchungaji yeyote anakundi Sasa usifikiri Jambo la kuwa na kundi Ni mchezo mchezo, wale Mungu huwaangalia kwa ukaribu mno.

Kipindi Cha yesu alipakwa mafuta, yesu mwenyewe alitumia tope kumfumbua mtu macho. Majuzi mwamposa kauza tope hizohizo tu kule mbeya lkn makelele kibao.

Iko hivi; huduma ya neno Ni gharama kubwa mno ukitaka kuamini hili jaribu kujenga kakibanda kadogo alafu Pima gharama ndipo utakuja kujua sadaka kwa mwamposa haziibiwi.

Unafata upepo wa maneno ya wachawi ambao wamejaribu nguvu ya Mungu na kushindwa unafikiri watakuwa na maneno mazuri kwa watumishi? Lazima wataiponda huduma, Sasa na wewe usivyo na tafakari unaungana kwenye ngoma yao mnacheza kwa pamoja pasipo kushtuka kwamba umeshapotezwa kitambo tu huku ukijipa moyo kwamba fikra zako zipo sahihi.
 
Tuliza akili wewe usiwe mpingaji wa kila kitu, ufalme utakupitia kushoto alafu hao unaowaona waongo wakapasua. Mchungaji yeyote anakundi Sasa usifikiri Jambo la kuwa na kundi Ni mchezo mchezo, wale Mungu huwaangalia kwa ukaribu mno.

Kipindi Cha yesu alipakwa mafuta, yesu mwenyewe alitumia tope kumfumbua mtu macho. Majuzi mwamposa kauza tope hizohizo tu kule mbeya lkn makelele kibao.

Iko hivi; huduma ya neno Ni gharama kubwa mno ukitaka kuamini hili jaribu kujenga kakibanda kadogo alafu Pima gharama ndipo utakuja kujua sadaka kwa mwamposa haziibiwi.

Unafata upepo wa maneno ya wachawi ambao wamejaribu nguvu ya Mungu na kushindwa unafikiri watakuwa na maneno mazuri kwa watumishi? Lazima wataiponda huduma, Sasa na wewe usivyo na tafakari unaungana kwenye ngoma yao mnacheza kwa pamoja pasipo kushtuka kwamba umeshapotezwa kitambo tu huku ukijipa moyo kwamba fikra zako zipo sahihi.
Tapeli yule acha kumficha yule Mmalawi alielowea Zambia na kufanya biashara ya mafuta Tunduma na Mbeya usifikiri hatumjui
 
Back
Top Bottom