Pentekoste iliyochangamka

Pentekoste iliyochangamka

mathayo 24; 23Wakati huo kama mtu ye
yote akiwaambia, ‘Tazama, huyu hapa ni Kristo!
Au ‘Kristo yuko kule!’ Msisadiki. 24Kwa maana
watatokea makristo wa uongo na manabii wa
uongo na kufanya ishara kubwa na miujiza
mingi ili kuwapotosha, hata ikiwezekana wale
wateule hasa. 25Angalieni, nimetangulia
kuwaambia mapema.
Sasa huo mstari unahusiana nini na Kanisa Catholic? Unajua nyie walokole mnaelekea kuwehuka sasa 😀 au nyie ndiyo manabii wa uongo mnajaribu kulipotosha kanisa la Mungu?
 
Pentekoste imechanganyikiwa,wala haijui ikitakacho.
ile injili iliokuwa ikihubiriwa imegeuzwa ufisadi.
Hali ya pentekoste ni mbaya kwa sasa kuzidi Roman.
imekuwa na kanisa la watafuta miujiza na pesa.
chumvi na maji.

moja ya mambo kanisa limejichanganya nayo;
1; mahubiri ya pesa tu na mali, kamwe Bwana yesu hakuwahi kuwa na mahubir ya mtindo huu. biblia inasema haiwezekan kwa tajiri kuurithi ufalme wa mungu. utafuteni kwanzaufalme wa mungu na hayo mengine mtazidishwa
kanisani wamejazana wenye dhambi wanaotaka baraka za Mungu.

2; WAHUBIRI/WAHUDUMU WANAWAKE.
1Wakorintho 14;32Roho za manabii zinawatii
manabii. 33Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko bali ni wa amani.
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana
ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.

1 timotheo 2;11
11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa
utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya
kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya
mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa
kimya.

3;KUNENA KWA LUGHA
1 wakorintho 14;16
Kama mtu ye yote akinena kwa lugha,
basi waseme watu wawili au watatu si zaidi,
mmoja baada ya mwingine na lazima awepo
mtu wa kutafsiri. 28Lakini kama hakuna mtu ye
yote wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze
kimya kanisani na wanene na nafsi zao
wenyewe na Mungu.

4; USASA IBADANI
Mungu hajwahi kwenda na wakati kwa sababu maendeleo ya usasa yoote ni ya ibilisi. yeye ni yeye yule jana leo na hata milele habadiliki. akisema usivae hiki ni hivyo milele . sasa huu usasa wa mpaka kumuita mungu DADY ni aibu kanisani.

5; MIUJIZA NJE YA NENO LA MUNGU
hapa sasa ndo kuna tatizo kubwa watu wamekuwa wakifata miujiza na si neno. kumbuka B wana yesu alitumia miujiza ili kuwavuta watu awahubirie neno la uzima. ila huu uhubiri wa kumwagia chumvi nymba na kuweka picha ya mhubiri chini ya biasharayako ni ushetani na ushirikina.

KWA KUMALIZA UKIANGALIA VIZURI WENGI WALIOKUWA WASHIRIKINA WALITAFUTA AINA MPYA YA USHIRIKINA ULIOJIFICHA KATIKA VAZI LA KIDINI.
WENGI WAMEENDA KWA WAGANGA NA KWA MANABII KWA KUWA NI VVITU VINAVYOFANANA.
INASIKITISHA KUONA PENTEKOSTE ILIPOFIKIA.
WAKRISTO NI WAPUMBAVU ...HUU NDIYO UKWELI UNAO UKANUSHA HATA WEWE ...HAYO MAKANISA YENU NI YA KIHUNI TOKA MILELE NI UPUUZI KUSEMA KUWA SASA NDIYO YAMEHALIBIKA ..ZINGATIENI HAYA MAPOTOVU👇
1)Kanisa siyo nyumba ya Ibada ya mungu .
2) Kusalishana ni mtego wa shetani na mafundisho ya shetani ...ndiyo maana uislamu kuna kusaliswa
3)Hayupo mungu mwenye nafsi 3 ...hivyo YESU siyo nafsi ya 2 wala ROHO MTAKATIFU siyo nafsi ya 3 ya MUNGU....Mungu ni mmoja na nafsi yake ni moja milele daima.
4)Hakuna dhambi ya asili ....hapa ni lazima ujue dhambi ni nini kwanza ...Adamu na Hawa awakupata dhambi yoyote kwa kula tunda kwenye bustani.
5)Hivyo Yesu hakusulubiwa kwa sababu ya dhambi ya asili...
6)MADHEHEBU ni nyumba za ibada za SHETANI IBILISI ....kitu chochote kikisha kuwa na madhehebu tayari kinakuwa ni nyumba za ibada za shetani
7) 666 siyo mtu fulani ajae ulimwenguni au aliye kwisha kuja dhama fulani .....
8)666 NI MWILI WAKO MWANADAMU.
7) Mtume siyo kutumwa na mungu bali Utume ni daraja ya juu ya uchamungu kuliko zote kwa mwanadamu .....Mungu anaweza kuwatuma hata nzige kula shamba lako je hao nzige ni mitume?
8)ZAKA NI SADAKA YA MUNGU KWA AJILI YA HEKALU LA MUNGU NA KABILA LA WALAWI KWA AJILI YA WAO NA FAMILIA ZAO NA MAMBO YA KUTUNZA HEKALU.
9)KANISA SIYO HEKALU WALA SINAGOGI WALA SIYO NYUMBA YA IBADA
10) ZAKA SIYO SADAKA YA SINAGOGI WALA KANISA BALI ILIKUWA KWA AJILI YA HEKALU MOJA TU
 
Mtu ambaye bado hata haujui maana ya Ulimwengu unapata wapi nguvu na akili ya kuhoji kuhusu Kanisa katoliki?


Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi, mwumba mbingu na dunia.
Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu;
aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu,
akazaliwa na Bikira Maria, akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato, akasulubiwa, akafa, akazikwa, akashukia kuzimu; siku ya tatu akafufuka katika wafu; akapaa mbinguni; amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi; toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu.

Nasadiki kwa Roho Mtakatifu, Kanisa takatifu katoliki, ushirika wa Watakatifu, maondoleo ya dhambi, ufufuko wa miili na uzima wa milele. Amina.

uumekariri vizuri sanaa.
ila ukristo si kukariri. ukristo ni maisha.
 
Sasa huo mstari unahusiana nini na Kanisa Catholic? Unajua nyie walokole mnaelekea kuwehuka sasa 😀 au nyie ndiyo manabii wa uongo mnajaribu kulipotosha kanisa la Mungu?
leo hatuzungumzii katoloki, japokuwa katoliki ndie mama wa machafuko ya ukristo, kutoka kwake kila kanisa kahaba la kidini lilitoka humoo
 
WAKRISTO NI WAPUMBAVU ...HUU NDIYO UKWELI UNAO UKANUSHA HATA WEWE ...HAYO MAKANISA YENU NI YA KIHUNI TOKA MILELE NI UPUUZI KUSEMA KUWA SASA NDIYO YAMEHALIBIKA ..ZINGATIENI HAYA MAPOTOVU👇
1)Kanisa siyo nyumba ya Ibada ya mungu .
2) Kusalishana ni mtego wa shetani na mafundisho ya shetani ...ndiyo maana uislamu kuna kusaliswa
3)Hayupo mungu mwenye nafsi 3 ...hivyo YESU siyo nafsi ya 2 wala ROHO MTAKATIFU siyo nafsi ya 3 ya MUNGU....Mungu ni mmoja na nafsi yake ni moja milele daima.
4)Hakuna dhambi ya asili ....hapa ni lazima ujue dhambi ni nini kwanza ...Adamu na Hawa awakupata dhambi yoyote kwa kula tunda kwenye bustani.
5)Hivyo Yesu hakusulubiwa kwa sababu ya dhambi ya asili...
6)MADHEHEBU ni nyumba za ibada za SHETANI IBILISI ....kitu chochote kikisha kuwa na madhehebu tayari kinakuwa ni nyumba za ibada za shetani
7) 666 siyo mtu fulani ajae ulimwenguni au aliye kwisha kuja dhama fulani .....
8)666 NI MWILI WAKO MWANADAMU.
7) Mtume siyo kutumwa na mungu bali Utume ni daraja ya juu ya uchamungu kuliko zote kwa mwanadamu .....Mungu anaweza kuwatuma hata nzige kula shamba lako je hao nzige ni mitume?
8)ZAKA NI SADAKA YA MUNGU KWA AJILI YA HEKALU LA MUNGU NA KABILA LA WALAWI KWA AJILI YA WAO NA FAMILIA ZAO NA MAMBO YA KUTUNZA HEKALU.
9)KANISA SIYO HEKALU WALA SINAGOGI WALA SIYO NYUMBA YA IBADA
10) ZAKA SIYO SADAKA YA SINAGOGI WALA KANISA BALI ILIKUWA KWA AJILI YA HEKALU MOJA TU
sasa kanisa ni nini? sehemu ya watakatifu kukusanyikia
2;amna sehem kweli watu walisalishaana isipokuwa kuongozwa na roho wa mungu. kila mmoja ataomba kulingan na anavyoongozwa.
3; Mungu kwa hakika hana nafsi tatu upo sahihi kabisa ni MUngu mmoja akifanya kazi kwa nafasi tatu tofauti

4; dhambi ni kutokuliamini ama kulitenda neno la mungu, ukienda kkinyume na neno ama agizo la mungu upo dhambini. na biblia inasema adam aliingia makosani kwa kula tunda. na jamii yote ya wanadamu inazaliwa dhambini kwa dhambi ya uzizi waliofanya hawa na nyoka. si na adam.

5; ama hakika Mungu hayumo madhehebun. maana ya dhehebu ni kundi linalojiendesha kwa taratibu zake hatakama zitapingana na neno la mungu.
6; 666 biblia inasema ni jina la yule mpinga kristo akaae juu ya kila ufalme, ufalm ndan ya ufalme, amezungukwa na vilima saba, tajiri amepambwa kwa dhahabu na lulu. huyo hesabu ya jina lake ndio 666. ilo ni jina la papa lipo kwenye kofia yake.

7; kiwango kikubwa si mtume ila ni nabii.
na mungu hakuchagua kutumia kitu kingine chochote isipokuwa mwanadamu.

8; kanisa ni mwili wasiri wa BWANA yesu kristo ambao unaundwa na mtu mmoja mmmoja , kila mmoja akiwa kiungo fulan
 
Sasa wewe umeshindwa kuona tofauti apo
Unasema kabisa mwamposa kauza tope na yesu kapaka mtu tope
Kwa hiyo we ulitaka vifanane? Yaani Kama yesu alimpaka tope za macho Basi na mwamposa apake za macho? Haiwi hivyo Mr. Hata manabii walitofautiana kulingana na wakati.
Ninachojua hakuna siku mwamposa kamchanja mtu chale, hajawahi kutoa sadaka ya kuchinja. Angefanya haya ningeamini madai yako.
 
Asante kwa mada.
Pentekoste hainabudi kujiitathmini.
Haiwezekani miujiza inapewa kipaumbele kuliko kukemea dhambi.
Utakatifu ndio kitu cha kupewa kipaumbele nasi vinginevyo.
 
kiukweli makahaba weeengi wamepata sehemuya kujificha.
biblia inasema nao watawachukua mateka wanawake waliochukuliwa na mizigo miingi ya dhambi na ni kweli
Nenda kanisani peleka roho yako ipate tiba ya kiroho. Lakini wewe unaenda kanisani kupeleka umbea lkn hujistukii.
Unachunguzachunguza mambo matokeo yake mmejazana wambea makanisani mpaka mnakera.
Wewe wapentekoste wanakuudhi Nini?

Lete clip yeyote ya mpentecoste aliefundisha uzinzi tukuamini hapa.
 
huwezi ukambeba Yesu kisha ukaanguka kwenye huduma mbovu.
maandiko yanasema atakapokuja huyo roho wa kweli atawaelekeza yoote niliyowaambia.
huwezi ukashiriki kila ibada na ukawa bado mkristo
Acha kubebewa akili wewe. Hizi zote tunazoongea Ni mbwembwe tu kwenye utakatifu. Kikubwa Ni kuusafisha moyo tu.
Na mtu ukiona analeta mada za hivi jua hayuko sawa kiroho huo ndio ukweli.
 
Pentekoste imechanganyikiwa,wala haijui ikitakacho.
ile injili iliokuwa ikihubiriwa imegeuzwa ufisadi.
Hali ya pentekoste ni mbaya kwa sasa kuzidi Roman.
imekuwa na kanisa la watafuta miujiza na pesa.
chumvi na maji.

moja ya mambo kanisa limejichanganya nayo;
1; mahubiri ya pesa tu na mali, kamwe Bwana yesu hakuwahi kuwa na mahubir ya mtindo huu. biblia inasema haiwezekan kwa tajiri kuurithi ufalme wa mungu. utafuteni kwanzaufalme wa mungu na hayo mengine mtazidishwa
kanisani wamejazana wenye dhambi wanaotaka baraka za Mungu.

2; WAHUBIRI/WAHUDUMU WANAWAKE.
1Wakorintho 14;32Roho za manabii zinawatii
manabii. 33Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko bali ni wa amani.
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana
ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.

1 timotheo 2;11
11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa
utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya
kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya
mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa
kimya.

3;KUNENA KWA LUGHA
1 wakorintho 14;16
Kama mtu ye yote akinena kwa lugha,
basi waseme watu wawili au watatu si zaidi,
mmoja baada ya mwingine na lazima awepo
mtu wa kutafsiri. 28Lakini kama hakuna mtu ye
yote wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze
kimya kanisani na wanene na nafsi zao
wenyewe na Mungu.

4; USASA IBADANI
Mungu hajwahi kwenda na wakati kwa sababu maendeleo ya usasa yoote ni ya ibilisi. yeye ni yeye yule jana leo na hata milele habadiliki. akisema usivae hiki ni hivyo milele . sasa huu usasa wa mpaka kumuita mungu DADY ni aibu kanisani.

5; MIUJIZA NJE YA NENO LA MUNGU
hapa sasa ndo kuna tatizo kubwa watu wamekuwa wakifata miujiza na si neno. kumbuka B wana yesu alitumia miujiza ili kuwavuta watu awahubirie neno la uzima. ila huu uhubiri wa kumwagia chumvi nymba na kuweka picha ya mhubiri chini ya biasharayako ni ushetani na ushirikina.

KWA KUMALIZA UKIANGALIA VIZURI WENGI WALIOKUWA WASHIRIKINA WALITAFUTA AINA MPYA YA USHIRIKINA ULIOJIFICHA KATIKA VAZI LA KIDINI.
WENGI WAMEENDA KWA WAGANGA NA KWA MANABII KWA KUWA NI VVITU VINAVYOFANANA.
INASIKITISHA KUONA PENTEKOSTE ILIPOFIKIA.

Creator of all things- THE ALMIGHTY GOD
Creatures- HUMAN BEINGS WITH OUR FANTANSIES AND INVENTIONS.

Ulokole ni kazi ya creature sio creator. Creator alichoanzisha baadhi ya crreatures walikataa wakasema kina kasoro. Kwenye hilo tunategemea maajabu gani?

Siku hizi ili kutenda maajabu, wengine wanaenda mbali na kuingiza mambo ya giza ambayo injili haiyatambui wala hayawasaidii wale wanaoitafuta pepo.
 
sasa kanisa ni nini? sehemu ya watakatifu kukusanyikia
2;amna sehem kweli watu walisalishaana isipokuwa kuongozwa na roho wa mungu. kila mmoja ataomba kulingan na anavyoongozwa.
3; Mungu kwa hakika hana nafsi tatu upo sahihi kabisa ni MUngu mmoja akifanya kazi kwa nafasi tatu tofauti

4; dhambi ni kutokuliamini ama kulitenda neno la mungu, ukienda kkinyume na neno ama agizo la mungu upo dhambini. na biblia inasema adam aliingia makosani kwa kula tunda. na jamii yote ya wanadamu inazaliwa dhambini kwa dhambi ya uzizi waliofanya hawa na nyoka. si na adam.

5; ama hakika Mungu hayumo madhehebun. maana ya dhehebu ni kundi linalojiendesha kwa taratibu zake hatakama zitapingana na neno la mungu.
6; 666 biblia inasema ni jina la yule mpinga kristo akaae juu ya kila ufalme, ufalm ndan ya ufalme, amezungukwa na vilima saba, tajiri amepambwa kwa dhahabu na lulu. huyo hesabu ya jina lake ndio 666. ilo ni jina la papa lipo kwenye kofia yake.

7; kiwango kikubwa si mtume ila ni nabii.
na mungu hakuchagua kutumia kitu kingine chochote isipokuwa mwanadamu.

8; kanisa ni mwili wasiri wa BWANA yesu kristo ambao unaundwa na mtu mmoja mmmoja , kila mmoja akiwa kiungo fulan
Dhambi ni kutenda kinyume na mapenzi ya mungu huku ukijua mema na mabaya......adamu na hawa walikuwa awajui mema na mabaya hivyo walipokula tunda awakupata dhambi bali wali jua mema na mabaya baada ya kujua hayo ndiyo wakawa kwenye mtihani kuwa ....kwa kuwa wamejua mema na mabaya basi wakitenda mabaya watahesabiwa dhambi na wakitenda mema watahesabiwa thawabu ...kasomeni vizuri biblia mungu anawaambia kuwa kwa kuwa mmejua mema na mabaya katendeni mema nsitende mabaya basi dhambi na thawabu vinakuja baada ya kujua mema na mabaya siyo kinyume chake...ndiyo maana kichaa awezi kuhesabiwa dhambi kwa kutembea uchi japo mungu kakataza maana kichaa kapoteza uwezo wake wa kupambanua mema na mabaya
 
sasa kanisa ni nini? sehemu ya watakatifu kukusanyikia
2;amna sehem kweli watu walisalishaana isipokuwa kuongozwa na roho wa mungu. kila mmoja ataomba kulingan na anavyoongozwa.
3; Mungu kwa hakika hana nafsi tatu upo sahihi kabisa ni MUngu mmoja akifanya kazi kwa nafasi tatu tofauti

4; dhambi ni kutokuliamini ama kulitenda neno la mungu, ukienda kkinyume na neno ama agizo la mungu upo dhambini. na biblia inasema adam aliingia makosani kwa kula tunda. na jamii yote ya wanadamu inazaliwa dhambini kwa dhambi ya uzizi waliofanya hawa na nyoka. si na adam.

5; ama hakika Mungu hayumo madhehebun. maana ya dhehebu ni kundi linalojiendesha kwa taratibu zake hatakama zitapingana na neno la mungu.
6; 666 biblia inasema ni jina la yule mpinga kristo akaae juu ya kila ufalme, ufalm ndan ya ufalme, amezungukwa na vilima saba, tajiri amepambwa kwa dhahabu na lulu. huyo hesabu ya jina lake ndio 666. ilo ni jina la papa lipo kwenye kofia yake.

7; kiwango kikubwa si mtume ila ni nabii.
na mungu hakuchagua kutumia kitu kingine chochote isipokuwa mwanadamu.

8; kanisa ni mwili wasiri wa BWANA yesu kristo ambao unaundwa na mtu mmoja mmmoja , kila mmoja akiwa kiungo fulan
KUHUSU 666 SIYO PAPA ....Kuna jamaa hapa hapa jf aliwai kuleta uzi kuhusu 666 alianza kuleta habari kama zako nilipo kuja na fafanuzi uzi aliukimbia na kuukacha .....666 NI MWILI WAKO MWANADAMU KAMA UJUI NIULIZE KIVIPI ......kama 666 ingekuwa ni PAPA basi wote waliokufa kabla ya papa duniani wataingia peponi ? Maana imeandikwa wenye chapa ya huyo mnyama ndiyo wataingia motoni.....maana yake ni nini ? Kwanza inatakiwa tujiulize chapa ya mnyama ni nini? Je nikitu gani kitakacho mfanya mtu kutupwa motoni zaidi ya DHAMBI !.....BASI CHAPA YA MNYAMA NI DHAMBI MAANA NDIYO KITU PEKEE KIMPELEKACHO MTU MOTONI .....hivyo 666 siyo papa wala binadamu yoyote aliye pita wala ajaye maana kama ni binadamu ajaye basi wote waliokufa kabla ya huyo mwanadamu wataingia peponi?💥Chapa kwenya paji la uso ni mawazo maovu mioyoni mwetu.
💥Chapa kwenye mikono ni matendo maovu
Chapa kwenye paji la uso na mikoni ni kinyume cha haya maandiko ....ndiyo wale wasio zaliwa kwa damu wala kwa mwili ..Kuzaliwa kwa damu =chapa kwenye paji.......kuzaliwa kwa mwili =chapa kwenye mikoni


Mwili wako ndiyo huyo mnyama ndiyo maana ikaandikwa msizifuate tamaa za mwili maana nia ya mwili ni mauti.

Nime screenshot ule uzi wa 666 jamaa alikimbia uzi..uzi ulikuwa wa mwaka 2023
 

Attachments

  • Screenshot_20250224-120502.jpg
    Screenshot_20250224-120502.jpg
    144.7 KB · Views: 1
sasa kanisa ni nini? sehemu ya watakatifu kukusanyikia
2;amna sehem kweli watu walisalishaana isipokuwa kuongozwa na roho wa mungu. kila mmoja ataomba kulingan na anavyoongozwa.
3; Mungu kwa hakika hana nafsi tatu upo sahihi kabisa ni MUngu mmoja akifanya kazi kwa nafasi tatu tofauti

4; dhambi ni kutokuliamini ama kulitenda neno la mungu, ukienda kkinyume na neno ama agizo la mungu upo dhambini. na biblia inasema adam aliingia makosani kwa kula tunda. na jamii yote ya wanadamu inazaliwa dhambini kwa dhambi ya uzizi waliofanya hawa na nyoka. si na adam.

5; ama hakika Mungu hayumo madhehebun. maana ya dhehebu ni kundi linalojiendesha kwa taratibu zake hatakama zitapingana na neno la mungu.
6; 666 biblia inasema ni jina la yule mpinga kristo akaae juu ya kila ufalme, ufalm ndan ya ufalme, amezungukwa na vilima saba, tajiri amepambwa kwa dhahabu na lulu. huyo hesabu ya jina lake ndio 666. ilo ni jina la papa lipo kwenye kofia yake.

7; kiwango kikubwa si mtume ila ni nabii.
na mungu hakuchagua kutumia kitu kingine chochote isipokuwa mwanadamu.

8; kanisa ni mwili wasiri wa BWANA yesu kristo ambao unaundwa na mtu mmoja mmmoja , kila mmoja akiwa kiungo fulan
Namba 7 pia umekosea kasome Injili ya Yesu inasema wakwanza wao ni MITUME KISHA MANABII...MITUME NDIYO DARAJA YA JUU KABISA KWENYE UCHAMUNGU NA THAWABU .. wewe injili yako ni yakuokoteza makanisani ovyo ovyo hii injili ninayo kupa mimi ni pure.
 
Kuhusu kuhubiri pesa na mali sioni tatizo.. maana wanamuomba Mungu kupitia jina la Yesu awape mafanikio ya kiuchumi.
Kuhusu usasa kanisani pia sioni tatizo maana tunatumia spika,maiki na teknolojia kedekede ili kusongesha injili mbeleeee
Kuhusu wanawake kuwa wahubiri pia sio kesi. Hayo ni maoni ya paulo kama alivosema kwa maoni yake tusioe wala kuolewa tukae mabachele tuuuu ila kwa namana ya uumbaji wa MUNGU basi tuone..

Changamoto ni mavazi baadhi ya walokole tunajisahau kweny mavazi na pia kujipa haki ya kwenda mbinguni na kuwadharau wengine kiimani
 
Pentekoste imechanganyikiwa,wala haijui ikitakacho.
ile injili iliokuwa ikihubiriwa imegeuzwa ufisadi.
Hali ya pentekoste ni mbaya kwa sasa kuzidi Roman.
imekuwa na kanisa la watafuta miujiza na pesa.
chumvi na maji.

moja ya mambo kanisa limejichanganya nayo;
1; mahubiri ya pesa tu na mali, kamwe Bwana yesu hakuwahi kuwa na mahubir ya mtindo huu. biblia inasema haiwezekan kwa tajiri kuurithi ufalme wa mungu. utafuteni kwanzaufalme wa mungu na hayo mengine mtazidishwa
kanisani wamejazana wenye dhambi wanaotaka baraka za Mungu.

2; WAHUBIRI/WAHUDUMU WANAWAKE.
1Wakorintho 14;32Roho za manabii zinawatii
manabii. 33Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko bali ni wa amani.
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana
ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.

1 timotheo 2;11
11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa
utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya
kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya
mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa
kimya.

3;KUNENA KWA LUGHA
1 wakorintho 14;16
Kama mtu ye yote akinena kwa lugha,
basi waseme watu wawili au watatu si zaidi,
mmoja baada ya mwingine na lazima awepo
mtu wa kutafsiri. 28Lakini kama hakuna mtu ye
yote wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze
kimya kanisani na wanene na nafsi zao
wenyewe na Mungu.

4; USASA IBADANI
Mungu hajwahi kwenda na wakati kwa sababu maendeleo ya usasa yoote ni ya ibilisi. yeye ni yeye yule jana leo na hata milele habadiliki. akisema usivae hiki ni hivyo milele . sasa huu usasa wa mpaka kumuita mungu DADY ni aibu kanisani.

5; MIUJIZA NJE YA NENO LA MUNGU
hapa sasa ndo kuna tatizo kubwa watu wamekuwa wakifata miujiza na si neno. kumbuka B wana yesu alitumia miujiza ili kuwavuta watu awahubirie neno la uzima. ila huu uhubiri wa kumwagia chumvi nymba na kuweka picha ya mhubiri chini ya biasharayako ni ushetani na ushirikina.

KWA KUMALIZA UKIANGALIA VIZURI WENGI WALIOKUWA WASHIRIKINA WALITAFUTA AINA MPYA YA USHIRIKINA ULIOJIFICHA KATIKA VAZI LA KIDINI.
WENGI WAMEENDA KWA WAGANGA NA KWA MANABII KWA KUWA NI VVITU VINAVYOFANANA.
INASIKITISHA KUONA PENTEKOSTE ILIPOFIKIA.
pentekoste ni nini mkuu
 
Back
Top Bottom