Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Ukiwa unakunywa maji vizuri inavyotakiwa,trust me,soda unaacha!Hii kitu ni addictive kuliko tunavyodhani, we fikiria kila siku watu wanaambiwa madhara ya kutisha ya soda lakini nado wanakunywa, sio kwamba wanapenda kufa, hapana, ila soda ukiacha kunywa ina Arosto kali sana kama Cocaine, ni balaa.
Inawezekana kabisa mkuu. Nina mwaka wa 10 huu sasa sijatia soda kinywaniMara ya kwanza nilipojaribu nile chakula bila kunywa soda niliona maisha magumu sana, chakula hakishuki, sina hamu ya maji wala juisi ya matumda wala chochote kile, yaani natamani soda tu, hapa ndipo nilipogundua kumbe hii ni shida, ni kama madawa ya kulevya, nina mashaka kuna kitu wanaweka mule, hii si kawaida.
Mwezi uliopita nikasema hata ikibidi nife kwa kukosa soda, so be it, ila sinywi hata iweje, ni wiki ya 5 leo sijanywa soda, napitia wakati mgumu sana, ila namshukuru Mungu, naendelea vizuri.
===============================
===============================
Update: 09/11/2021
Unaweza usinywe soda ukanywa aloe vera juice na ukafa na kansa vile vile! Ni kuomba mwisho mwema tuMara ya kwanza nilipojaribu nile chakula bila kunywa soda niliona maisha magumu sana, chakula hakishuki, sina hamu ya maji wala juisi ya matumda wala chochote kile, yaani natamani soda tu, hapa ndipo nilipogundua kumbe hii ni shida, ni kama madawa ya kulevya, nina mashaka kuna kitu wanaweka mule, hii si kawaida.
Mwezi uliopita nikasema hata ikibidi nife kwa kukosa soda, so be it, ila sinywi hata iweje, ni wiki ya 5 leo sijanywa soda, napitia wakati mgumu sana, ila namshukuru Mungu, naendelea vizuri.
===============================
===============================
Update: 09/11/2021
Na energy ndo balaa lingine kabisa[emoji17] mim kwa siku nakunywa adi soda 4, najitajid kupunuza naishia kununua Azam Energy,,, lol ni kama ulevi unaonitesa kuuacha siwez
Kwani nani kasema utakuwa hufi kisa hunywi soda?Unaweza usinywe soda ukanywa aloe vera juice na ukafa na kansa vile vile! Ni kuomba mwisho mwema tu
Si anaogopa magonjwaKwani nani kasema utakuwa hufi kisa hunywi soda?
Tena energy ndio kabisaaaa, mi naona bora hata unywe soda ila si energyNa energy ndo balaa lingine kabisa
Kuishi a healthy life style ni kuogopa magonjwa au kujali mwili wako? Watu hawaogopi kufa, bali wanaogopa kuteseka kuelekea kifo, so chaguo ni lakoSi anaogopa magonjwa
Mkuu healthy lifestyle sio swalaKuishi a healthy life style ni kuogopa magonjwa au kujali mwili wako?
🤣 ila watu tunatofautiana aisee yani soda nayo mpk uparangane..! Mi sijui namiezi mingapi tu! Wengine tusipokunywa hayo maji hapakaliki Yani kila siku walau ninywe lita kadhaa alasivyo koo huwa linakorofisha hatari!! Ukimaliza hilo uache na sukari ujizoeshe.
Aisee ubwabwa na ndizi mtamu sana. Unamaliza siniaPole sana ni addiction mbaya sana...
Kama ile addiction ya watu fulani hawawezi kula ubwabwa bila ndizi...
Hongera sana...Aisee ubwabwa na ndizi mtamu sana. Unamaliza sinia
Na energy ndo balaa lingine kabisa