Penye nia pana njia: Ni wiki ya 5 sasa sijatia soda mdomoni, kumbe inawezakana kabisa

Penye nia pana njia: Ni wiki ya 5 sasa sijatia soda mdomoni, kumbe inawezakana kabisa

Mimi nina miaka karibia miwili sijanywa soda. Nina mieizi zaidi ya minne sasa sijatumia sukari. Ila pombe imekunywa recently baada ya kukaa miezi mitano bila kunywa.

It's funny ila nashindwa kujielewa.
 
Hii kitu ni addictive kuliko tunavyodhani, we fikiria kila siku watu wanaambiwa madhara ya kutisha ya soda lakini nado wanakunywa, sio kwamba wanapenda kufa, hapana, ila soda ukiacha kunywa ina Arosto kali sana kama Cocaine, ni balaa.
Ukiwa unakunywa maji vizuri inavyotakiwa,trust me,soda unaacha!
Mi niliweza kwa njia hiyo!

Soda Mara moja moja sana tena sio kwamba nakua na kiu nayo,ikitokea na kiu nayo manaake sijanywa maji vizuri
 
Mara ya kwanza nilipojaribu nile chakula bila kunywa soda niliona maisha magumu sana, chakula hakishuki, sina hamu ya maji wala juisi ya matumda wala chochote kile, yaani natamani soda tu, hapa ndipo nilipogundua kumbe hii ni shida, ni kama madawa ya kulevya, nina mashaka kuna kitu wanaweka mule, hii si kawaida.

Mwezi uliopita nikasema hata ikibidi nife kwa kukosa soda, so be it, ila sinywi hata iweje, ni wiki ya 5 leo sijanywa soda, napitia wakati mgumu sana, ila namshukuru Mungu, naendelea vizuri.

===============================


===============================
Update: 09/11/2021


Inawezekana kabisa mkuu. Nina mwaka wa 10 huu sasa sijatia soda kinywani
 
Mara ya kwanza nilipojaribu nile chakula bila kunywa soda niliona maisha magumu sana, chakula hakishuki, sina hamu ya maji wala juisi ya matumda wala chochote kile, yaani natamani soda tu, hapa ndipo nilipogundua kumbe hii ni shida, ni kama madawa ya kulevya, nina mashaka kuna kitu wanaweka mule, hii si kawaida.

Mwezi uliopita nikasema hata ikibidi nife kwa kukosa soda, so be it, ila sinywi hata iweje, ni wiki ya 5 leo sijanywa soda, napitia wakati mgumu sana, ila namshukuru Mungu, naendelea vizuri.

===============================


===============================
Update: 09/11/2021


Unaweza usinywe soda ukanywa aloe vera juice na ukafa na kansa vile vile! Ni kuomba mwisho mwema tu
 
Ila hili gumu, ngoja nianze kesho
🤣 ila watu tunatofautiana aisee yani soda nayo mpk uparangane..! Mi sijui namiezi mingapi tu! Wengine tusipokunywa hayo maji hapakaliki Yani kila siku walau ninywe lita kadhaa alasivyo koo huwa linakorofisha hatari!! Ukimaliza hilo uache na sukari ujizoeshe.
 
 
Back
Top Bottom