Tunatania tu,ila ajifunze kukaa kimya maana kuna watu mapenz yamewanogea wapo kimya tuDaaah aiseee wee mtu wangapi umeandika ""mtaachana"" yaan mmemwamulia kweli π€£π€£π€£
Hamna cha dawa wala nini mwacheni ale vyake ,π€£π€£π€£πππ au nyie ndo mnatengeneza hyo dawa
Una sapport...π€£π€£ππ
tunda litapotea kimasihara msimu huu wa chrismass, nipo. hapaUna sapport...π€£π€£ππ
Wataachana tu.Unalolishindwa ww kwa wengine linawezekana , acheni wivu
Me nikiona taa ya njano tu naondoka zangu subili hata nyekundu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tena wee unaonekana unaliaga zaidi ya ambulance [emoji603][emoji603][emoji603][emoji603][emoji603] ... Au bado hayo ujapitia [emoji1787][emoji1787][emoji855][emoji855]
π€£π€£π€£π€£Sisi tumekaa palee!
Endelea kuwaombea mkuu wataachana.Wataachana tu.
Kuachana kupo pale pale.Endelea kuwaombea mkuu wataachana.
π€£ π€£ π€£ π€£. Muda utasema ukweli.Mtakua mna kama week 2 hivi. Soon ataanza kukuona mbuzi na wewe unamuona kama pig.
Yaaani wewe umeongea fact... Sasa hapo sipingani na weww kabisaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π₯²πππππ wee ni mtu mbad.. an kimya kimya aiseeeeMe nikiona taa ya njano tu naondoka zangu subili hata nyekundu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ilikuwa utajuaNiko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.
Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.
sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?
Kut 20:8-11
Weee π€£π€£π€£π€£π€£
Umeanza uganga lini tenaMtaachana tu.
Kuna watu hamjawi kuwa seriously π€£π€£π€£π€£πππtunda litapotea kimasihara msimu huu wa chrismass, nipo. hapa
π€£π€£π€£ alikuwa sahihi, ukichepuka na pisi kali kuliko mkeo hata mke akikufumania akiiona ile pisi anaweza akasema kweli hapa mume wangu ulikuwa na haki ya kunicheatπππππBora umejisemea ukwelii..Kuna mwenzenu mmoja aliwahi niambiaa nikichepuka nachepukaa na pisi kali zaidi ya mke wanguuuπ π π
Huko mie sipogo kabisaaaaa mie sichepukagi.Subiri mwenyekiti wao aje mzabzab