Penzi limekolea hadi najiuliza wanaochepuka wanatafuta nini?

Daaah aiseee wee mtu wangapi umeandika ""mtaachana"" yaan mmemwamulia kweli 🀣🀣🀣

Hamna cha dawa wala nini mwacheni ale vyake ,πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ au nyie ndo mnatengeneza hyo dawa
Tunatania tu,ila ajifunze kukaa kimya maana kuna watu mapenz yamewanogea wapo kimya tu
 
Me nikiona taa ya njano tu naondoka zangu subili hata nyekundu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaaani wewe umeongea fact... Sasa hapo sipingani na weww kabisa🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣πŸ₯²πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ wee ni mtu mbad.. an kimya kimya aiseeee
 
Ilikuwa utajua
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Bora umejisemea ukwelii..Kuna mwenzenu mmoja aliwahi niambiaa nikichepuka nachepukaa na pisi kali zaidi ya mke wanguuuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
🀣🀣🀣 alikuwa sahihi, ukichepuka na pisi kali kuliko mkeo hata mke akikufumania akiiona ile pisi anaweza akasema kweli hapa mume wangu ulikuwa na haki ya kunicheat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…