Na hiyo ndio akili. Unachepuka na pisi kali mke mwenyewe akimuona anasema dah ata na mie ningezaliwa mwanaume ningeigegeda hii mrembo🤣🤣🤣 alikuwa sahihi, ukichepuka na pisi kali kuliko mkeo hata mke akikufumania akiiona ile pisi anaweza akasema kweli hapa mume wangu ulikuwa na haki ya kunicheat
Tuliza mshono jombaaa.Niko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.
Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.
sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?
Kut 20:8-11
Na kama mke ni msagaji anaweza akaitamani hiyo pisi akasagane nayeNa hiyo ndio akili. Unachepuka na pisi kali mke mwenyewe akimuona anasema dah ata na mie ningezaliwa mwanaume ningeigegeda hii mrembo
me pia nipo hizo level jmn aminini kuna watu tunaenjoy... watu wengi naona wamecomment negativityNiko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.
Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.
sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?
Kut 20:8-11
Mapenzi huwa hayako hivyo, mkipendana for real basi kadri mnavyozidi kuwa pamoja na kupitia vichangamoto vidogovidogo ndivyo jinsi mnazidi kunatana.Mtakua mna kama week 2 hivi. Soon ataanza kukuona mbuzi na wewe unamuona kama pig.
Jana🤣🤣🤣🤣Umeanza uganga lini tena
vuta bia🤣🤣🤣 alikuwa sahihi, ukichepuka na pisi kali kuliko mkeo hata mke akikufumania akiiona ile pisi anaweza akasema kweli hapa mume wangu ulikuwa na haki ya kunicheat
Nataka hela 😁😁 nifanyie ka uganga nipate hata ka 1millionJana🤣🤣🤣🤣
Ngoja junior azaliweNiko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.
Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.
sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?
Kut 20:8-11
Labda aftatu🤣🤣Nataka hela 😁😁 nifanyie ka uganga nipate hata ka 1million
😅😅😅😅Labda aftatu🤣🤣
Mtaachana tu[emoji1787][emoji23][emoji1787]Niko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.
Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.
sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?
Kut 20:8-11
Namwacha badala ya YEYE kuniacha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaaani wewe umeongea fact... Sasa hapo sipingani na weww kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]🥲[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] wee ni mtu mbad.. an kimya kimya aiseeee
Mii nafanyaga hvi.. akiacha ntabembeleza akijirudi mi ndo naanza sasa an hatareeee na nusu 🤣🤣🤣🤣Namwacha badala ya YEYE kuniacha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]