Katika misimu minne ilibidi asisajili kabisa? Alafu zlatan, Sanchez na fabregas hawakuleta impact, project ya kuwatumia ilifeli. Ndio uone tatizo sio kusajili wazuri bali kuwaingiza kwenye mfumoVolume ya usajili haikiwa kubwa? Kusajili wachezaji kama Zlatan, Villa, Alves, Fabregas, Sanchez hao watu unawachukulia powa ama? Barca ndio walikuwa washindani wa Real Madrid kwa sajili kubwa kipindi hicho.
2006 alafu pep akaenda misimu mitatu mbele? 2008 ni misimu mitatu mbele?
Messi 2006 alikua anacheza anamuweka bench ronaldinho au giuly?
Mbona Xavi humzungumzii kukaa bench?
Wewe nimekuuliza walikua wanaanza wachezaji 15 uwanjani? Van bommel, deco, edmilson, ronaldinho, Yaya toure, deco, giuly, xavi, iniesta, Messi, etoo, henryMessi alikuwa anacheza kulia kwa Giuly, Xavi pia alikuwa ni starter kwenye hiyo timu, alipata injury amabyo ilimueka juu zaidi ya miezi minne na ndio mana fainal alikaa bench mana hakuwa 100% feet.
Tatizo lenu vijana ni mihemko inakuteseni bila ya kuwa na uwelewa wowote. Xavi ameanza kucheza ndani ya Barca toka 1998. Na kipindi hicho 2006 alikuwa tayari ni vice Captain wa timu, Pumbav kabisa.
Wewe nimekuuliza walikua wanaanza wachezaji 15 uwanjani? Van bommel, deco, edmilson, ronaldinho, Yaya toure, deco, giuly, xavi, iniesta, Messi, etoo, henry
Au mabeki kulikua hakuna?
Ake yuko vizuri toka yupo Chelsea, kukosa muda wa kucheza ndio akaomba auzwa akauzwa Bournemouth
Sijakataa kwamba sio kocha bora
kwanini unakwepa hoja? Rudi kwenye hoja mchezaji aliesajiliwa kwa 70 m anakuwaje kuwa hajulikanwi? au ulikuwa humjui wewe tu?
Pesa ni jambo la msingi sana mpirani.Naipa 70%Nashukuru umejiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe, ila reference yangu kipindi cha Abrahamovich kilishanipatia points 3 kuwa Chelsea FC ilitumia pesa nyingi kiusajili na ilifanikiwa kubeba makombe mengi tu sababu ilikuwa inaajiri Makocha wazuri ila 2023 bodi ya Chelsea FC ndiyo iliyojiharibia yenyewe kuleta Makocha hovyo ambao hawakuwahi kuwa na mafanikio ya kombe lolote zaidi ya kuwa midtable teams tu.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wewe ndo huna hoja au hujui unabisha kuhusu hoja ipi , hoja hapa ni je ruben dias mwaka aliosajiliwa kwenda man city alikuwa ni moja ya mabeki bora kwa wakati huo? Top 10 ya best centre back 2020 or top 20 jina la ruben dias lilikuwepo?
anasajiliwaje 70 m alafu usiwe katika mabeki bora?
anasajiliwaje 70 m alafu usiwe katika mabeki bora?
Hiki ni kikosi ulikua unapanga wewe au kocha?mkuu kwanini huachi mihemko? Yaya toure amekwanda Barca mwaka gani na huo tunaozungumza ni mwka gani?
2005 - 2006
Edmilson, Xavi, Deco, Ronaldonho, Messi, Etoo.
(Iniesta, Van Bommel, Giuly, Larson, Motta walikuwa ni Sub)
2006 - 2007
Xavi, Iniesta, Deco, Ronaldinho, Messi, Etoo
(Edmilson, Guilly, Gudjohson, Motta walikuwa ni Sub)
2007 - 2008
Xavi, Iniesta, Deco, Messi, Etoo, Ronaldonho
(Henry, Toure, Gudjohson, Edmilson walikuwa ni Sub)
Narejea tena acha mihemko kijana.
Pesa si kipimo cha ubora katika mpira wa sasa!!! Maguire na De ligt nani alikuwa bora zaidiii katika mwaka huo na kumbuka wote wamesajiliwa the same season.
Hoja hapa ni kwamba endapo pep angemchukua mwaka huo koulibaly, kimpembe , Marquinhos, upamecano, ramos, de ligt au bonucci hapo ulikuwa na haki ya kusema amesajili beki ambaye tayariii yupo peak!! Lakini kwa ruben dias hapana hakuwa peak!
Mchezaji kuonekana ni kitu cha kawaida huwezi sajiliwa kama huonekani hata sasa hivi unamjua lavia au caicedo haina maana for now ndo best mid in the world lakini wanatarajiwa kuwa hivyo endapo watapata kocha wazuriii sasa leo pep amchukue caicedo then baadae akiwa moto useme alinunuliwa akiwa peak hapana
Hiki ni kikosi ulikua unapanga wewe au kocha?
Alafu ronalidho, deco etoo, Henry, Yaya toure, giuly, edmilson, van bommel walikua wanacheza vipi?
Au walikuwa wanacheza 15 uwanjani?
Kaangalie Barcelona vs arsenal 2006. Alafu angalia first eleven kama utamuona xavi au iniesta wakiwemo, xavi hata sub kuingia hakuingia. Achilia mbali Messi ambae hata bench tu hakuwepo
Kiungo ya Barca ilikuwa na Van bommel, edmilson na deco
Ronaldinho anatokea pembeni, winga nyingine Giuly. Hiyo ndio ilikua Barca.
Unapatikana kijiwe gani cha Gahawa ?!!!!
Unaongelea upendeleo uliza mtu yoyote kwenye premier league atakwambia ni vipi ilikuwa vigumu kupata decisions kutoka kwa referees ukiwa old trafford kutokana na intimidation ya Sir Alex; Sir Alex alikuwa disciplinarian Kipindi kile wachezaji walikuwa na heshima kwa Kocha na wanakusikiliza, pamoja na Caprain Roy Keane (kwahio watu walifuata wanachoambiwa) Karne hii ukiwa mkali kwa hawa wachezaji prima donnas wala hawakusikilizi (kwahio Sir Alex angepata tabu zaidi with these crop of players) na ingekuwa kipindi hiki wala Sir Alex hasingemaliza msimu (angefukuzwa) alivyoanza kazi Man United kidogo ishuke daraja (manager wa sasa hawapewi muda)
Kwa kumalizia Sir Alex was a Displinarian; ila walivyokutana game na Pep sikumbuki hata kama Man U walikuwa na Shot on target
Pep hajadevelop young players wengi? Hilo suala la rushwa huwa ni hisia tu
Mpira unachezwa hadharani wote tunaona
Jose Mourinho ndio baba lao, huyu mwamba Hakuna taji ambalo hajashinda
Kamba hii , Liverpool ya Jurgen ile ndo haikuwa kwenye ubora ? au ile Bayern ya kuchukua ligi nusu mzunguko wa pili au PSG ile ilikuwa inatawala Ligue 1 , uzuri ktk UEFA zote zatu Zidane alikutana na miamba ya ligue kuu 5 yaan Juventus , Bayern , PSG , Atletico , Liverpool /Man City wote hawa walikula gongo za maana