Pep Guardiola, Mwalimu bora wa miaka yote

Pep Guardiola, Mwalimu bora wa miaka yote

sababu kubwa ya pep kuondoka bayern ni kutaka kuleta mpira wa pasi pale kitu ambacho wajerumani hawakitaki hao bayern toka pep ameondoka wamechukua UEFA? ...Mbona kocha hawamtimui?
Carlo ancellot alipofukuzwa, alikua anaifundisha ndanda kumbe [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji119]
 
Alipokuja epl wakasema hawezi beba.maneno kibaooo mara epl ligi ngumu ina top 4,sio kama la liga ina top 2.sasa kaanza kazi,wamebak vinywa wazi.pepo limehamia uefa.hawez beba uefa na akibeba mie nanya.akibeba uefa,mludi hapa mtuoneshe sehemu nyingine ya kuhamisha pepo la maneno ya hovyo kabisa.maana mmeanza kusema katumia pesa kibao,wakati mou juzi analaumu pesa ilikuwa ndogo.soka la sasa ni mijihela a.k.a "toa pesa upate kombe".halafu kuna kitu hakipo sawa sio kwamba ukitumia tyu pesa bila uchaguzi sahihi wa mahitaji ya mfumo wako,ama kocha mzuri utapata mafanikio...la hasha.lazima uzingatie hayo na ndo yanayotoa picha ya wewe n kocha wa aina gani.kuwa kocha mzuri hakukufanyi wewe "kumfingia"ukasema tutaona kama atabeba uefa..kwani asipobeba uefa na akabeba epl wewe unadhurika na nn au asipobeba epl akabeba uefa tatizo liko wapi.tuache ushabiki kizuri kisifiwe na kizuri kidogo kikosolewe ili kiwe kizuri zaid.
 
Mkuu ulioleta huu uzi nadhani umeanza kushabikia mpira 2009... Mkuu hivi unajua ile barca ndo ilimuweka juu Pep kuwa na nidhamu kwa mtu kama Sir.Alex ferguson miaka ile alikuwa tishio sana kuliko huyu Pep kikosi kinambeba Pep...ila jamaa ni average trainer
Acha wivu wa kike we jamaa. Pep Gandiola kwa sasa na kabla ni kocha bora toka alipokuwa barca mpaka Bayern na sasa City.

Pep ndio kocha mwenye rekodi ya kushinda game 18 mfululizo kwenye ligi 5 bora ulaya kwa maana ya la liga, Serie A, Epl, Bundesliga na ligue 1. Ameweka rekodi akiwa na munich. Anategemea kuifikia kama si kuivunja jumamosi dhidi crystal palace.

Ni kocha anayejiamini. Si sawa na Fergie na Wenger. Hawa wamekaa kwenye club 1 kwa zaidi ya m
Iaka 20. Yeye anakaa miaka 3-4 anaondoka kutafuta chalenge nyingine.

Kafundisha ligi 3 kubwa ulaya. Akitoka hapo ataenda italia baadae france
 
Ilaa jamani mbona ligi ndio kwanza mbichi hii..! Kumpa pep 100% ya kuchukua Epl , Ni kushusha hadhi Epl kwakweli... [emoji23][emoji23]
Sitotegemea kumuona pep aking'aa kwa round ya 2 mbele ya Arsenal ,Liverpool en Chelsea lazima wamtoboe tu.
Karata yangu ya Epl ipo kwa WENGER 100% , Mornho 90% na Klop kwa 85 % [emoji23][emoji23]

Hata kama anaongoza Kwa gape ya 15 points. Pep kwa WENGER Ni mchumba tu. [HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
 
Ilaa jamani mbona ligi ndio kwanza mbichi hii..! Kumpa pep 100% ya kuchukua Epl , Ni kushusha hadhi Epl kwakweli... [emoji23][emoji23]
Sitotegemea kumuona pep aking'aa kwa round ya 2 mbele ya Arsenal ,Liverpool en Chelsea lazima wamtoboe tu.
Karata yangu ya Epl ipo kwa WENGER 100% , Mornho 90% na Klop kwa 85 % [emoji23][emoji23]

Hata kama anaongoza Kwa gape ya 15 points. Pep kwa WENGER Ni mchumba tu. [HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Kweli hasira hasara.umeudhika na nn bro!!?mpaka pep akawa njiani kuolewa na wenger!!!
Alipokuja epl wakasema hawezi beba.maneno kibaooo mara epl ligi ngumu ina top 4,sio kama la liga ina top 2.sasa kaanza kazi,wamebak vinywa wazi.pepo limehamia uefa.hawez beba uefa na akibeba mie nanya.akibeba uefa,mludi hapa mtuoneshe sehemu nyingine ya kuhamisha pepo la maneno ya hovyo kabisa.maana mmeanza kusema katumia pesa kibao,wakati mou juzi analaumu pesa ilikuwa ndogo.soka la sasa ni mijihela a.k.a "toa pesa upate kombe".halafu kuna kitu hakipo sawa sio kwamba ukitumia tyu pesa bila uchaguzi sahihi wa mahitaji ya mfumo wako,ama kocha mzuri utapata mafanikio...la hasha.lazima uzingatie hayo na ndo yanayotoa picha ya wewe n kocha wa aina gani.kuwa kocha mzuri hakukufanyi wewe "kumfingia"ukasema tutaona kama atabeba uefa..kwani asipobeba uefa na akabeba epl wewe unadhurika na nn au asipobeba epl akabeba uefa tatizo liko wapi.tuache ushabiki kizuri kisifiwe na kizuri kidogo kikosolewe ili kiwe kizuri zaid.
 
1.Pep na Mess hakuna mwenzake aliemfanya mwenzake kuwa bora bali wote ni bora.

2.Pep aliwakuta Xavi,na Iniesta wakiwa kwenye peak lakini kwasababu nae yupo bora ndio maana aliweza kuyafanya aliyofanya.

3.Pep kushindwa kuchukua ubingwa wa UEFA Buyern sio kufeli kwa Pep,bali buyern hakupendezwa na mfumo wa ufunfishaji wa Pep ndio maana aliamua aondoke.Kama ambavyo Mo alishindwa kuchukua UEFA akiwa R.Madrid huku akiwa nawachezaji bora duniani.

4.Kuhusu kuchukua EPL hilo liko wazi atachukua sio tu atachukua,atachukua na huku kazinyanyasa timu kuzifunga na kuchezea Mpira anavyotaka.Kuhusu kuchukua EPL msimu ujao kama akiendelea kuwa Man city basi atachukua.

5.Kuhusu kusahau UEFA ungetwambia nikocha yupi wa EPL atachukua UEFA.Mimi siwezi kusema pep hatochukua au atachukua Uefa hata Man utd anaweza kuchukua ingawa ni timu mbovu ukilinganisha na Man city.

Xavi, iniest,Sergio wa Barcelona ndio hawa KDB,Silva(Gurdogan) na Fernadinho.Ndio maana unaona hata sasa ingawa man city ana beki mbovu lkn bado anazisurubu timu zenu za EPL.Maana Pep haamini zaidi ktk uzuiaji bali ushambuliaji kama ilivokuwa barca.

Man city kwa sasa Mendi,Company,stone na Silva wana injury lkn bado wanawasurubu na wataendelea kuwasurubu.
Umepiga mle mle,
 
Kwa sasa man city ni kama msalaba wa jumuia.kila nyumba lazima upite.[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji122][emoji119][emoji119][emoji119] Pep ni bonge la kocha. Af anatumia sana akili huyu jamaa..anakufanya ww ndio upaki basi[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Uwekezaji umelipaje? Mwaka jana alitoka kapa! Msimu wa mwaka huu haujaisha! Sasa unasemaje uwekezaji umelipa? Au kuongoza ligi ndiyo kulipa kwenyewe?
Kuongoza ligi ndiyo kulipa kwenyewe Mkuu. Kuhusu msimu uliopita ndiyo kwanza alikuwa ameanza kazi, na kumbuka ana falsafa yake ktk kufundisha Mpira. Sasa ulitaka afike na kuchukua ndoo? Sasa hakuchukua kila msimu huj jibu unalo bila shaka...
 
Si kweli kwamba pep alimkuta Andre Iniesta yupo kwenye pick. Ukweli ni kwamba pep ndio alimpa nafasi Iniesta tena baada ya kumuuza Deco. Kumbuka Xavi na Deco ndio walikuwa viungo bora pale baca. Pep amepandisha vijana kibao toka kule timu b. Pedro, Busquet, Montoya, mark Batra, na winga mmoja hivi jina nimelisahau. Pep ndio alimuuza Keita ili kumpa nafasi Busquet baada ya kujiridhisha kuwa Busquet ni bora kuliko keita. Watu wakatoa povu ooh jamaa ni mbaguzi.

Kaja epl kakuta man city ina magalasa kibao. Kaijenga timu. Kaondoa magalasa na wazee. Kachukua vijana. Sane, Jesus, Sterling,Stone,nk. Eti mchezaji kama Fabian Delph naye kwa sasa ni bonge la mchezaji. Pep kambadilisha kabisa. Alikuwa wa kawaida.

Kingine. Kwa wale ambao mnategemea maajabu mtasubiri sana. Hivi mnajua kuwa mmiliki wa man city ndie anayemiliki club ya Girona iliyopo kule Catalona? Sasa kwa taarifa yenu tu city ina vijana wasiopungua 6 wenye vipaji vya kweli ambao wamesajiliwa na kupelekwa pale Girona kukuza vipaji.

Hawa watakuwa kama ilivyokuwa kwa Lucas Vazquiz na Asensio wa madrid. Walisajiliwa na kupelekwa kwa mkopo kwenye vilabu vingine. Sasa wamerudi na kazi zao mnaziona. Nasema Pep akikaa City kwa miaka 5 itakuwa ni ligi ya timu 1 tu.
Waambie hao
 
If you look at EPL table, you will notice that the gap between United and city is too big and the gap between United and Chelsea is very close so is the rest of the teams.
Which means Man city is in another league [emoji2]
 
Sio mimi tu hata matajiri wa Man city ndio maana wanamuomba Pep aongeze mkataba.Kuhusu kutoa DVDs hiyo nikazi ya washabiki wa Man utd na EPL kwa ujumla.Washabiki hasa wa Man utd hamumpend pep kwa sababu mara nyingi kawaprove wrong.Mlisema kuwa hawezi ligi ya EPl leo mnalia kuwa katumia pesa nyingi.Nyinyi nani aliwakatalia kutumia pesa nyingi?.Wengine eti subiri msimu ujao tuone tena kama atachukua.Najua kuchukua bado hajachukua lkn 81% kombe ni la Pep hata wewe unajua.
Kifupi wasiopmpenda Kaja!!! Ubishi mwingi usiokuwa na tija tu. Ndiyo maana kuna baadhi huwa wanasema Messi10 eti siyo bora kisa kacheza ligi moja tu, swali je! Timu yake ya taifa iko Spain? Hata Hivyo ushawahi kuona wapi Mfalme ana hama Kingdom?...

Utawasikia eti Oooh Pep Gardiola hawezi EPL?? Swali Je! Man City iko League gani duniani? Subirini, akichukuwa na ndoo ya UCL sijui mtasema NINI tena? Labda mtasema eti Oooh kabahatisha tu!!!!

Pep Gardiola ni Kocha bora sana hata mkibisha lakini ipo siku mtakubali tu...
 
Pep alifanya barcelona iwe tamu kuliko hata dem ulomuahid ndoa


Pep alifanya messi aonekane mungu wa mpira


Alitengeneza kiungo hatari zaid duniani yaani Andres...sergio...Hernandez



Hakuwai kua nafas ya tatu akiwa la liga...yey alikua moja au mbili




Akaenda zake mapumziko marekani



Unamsikia kaenda bayern




Aisee Bayern anatangaza ubingwa,na mechi 5 mkononi


Bayern anatandaza soka mpaka unaeza shiba huku una njaa ya siku 3



Haters wanaanza ongea



Pep anaogopa epl



Sio muongeaji sana




anasogea Epl



kwa mara ya kwanza kwenye soka lake anashika nafas ya 3 akiwa na man city




Msimu wa pili anachukua wachezaje anaoamin anawatengeneza ili wafate falsafa yake



Leo hii man city anaweka record kila iitwapo leo



leo hii Kervin De Bruyne kila kukicha anaacha lawama


Sane amekua kama ana mapepo akiwa na mpira




Sterling kawa invicible



David silva kawa incredible



Ana kikos kipana na kizur mno




PEP GUARDIOLA umefanya niipende barcelona mpaka leo hii




come back to BARCA bro nataman kuhama nije city ila najua ukiondoka city ntakua na maumivu kama uloniachia barca na kutaman kuhama tena.....ntakua kama mwanamke malaya





WEWE NI KOCHA BORA TOKA DUNIA IANZISHWE NA SIDHAN KA ATATOKEA MWINGINE
Nimoto
 
Kwanza Guardiola hakumfanya Messi awe Bora bali ni the other way around, Messi alimfanya Guardiola aonekane Bora.

Pep aliwakuta xavi na iniesta wakiwa kwenye peak zao, kwa kikosi kile hata Bashite angeweza shinda mataji na Barca

Pep was a failure at Bayern, Bayern kushinda bundesliga ni kama kupaka mkate siagi, kazi rahisi sana under Kocha yeyote yule, lile ni kombe Lao miaka nenda rudi hata kabla ya Pep. Bayern walihitaji UEFA kitu ambacho Pep alishindwa

Mancity atasumbua sana msimu huu na kubeba EPL ila UEFA asahau. Hatoshida UEFA tena na timu nyingine yeyote ile. Mtoto halali na hela kule

Pale pale city msimu ujao watakua wamepata dawa yake ndo EPL ilivyo, next season anatoka kapa. Utamkataa
Jamaa unajitoa ufahamu au?
Unasema Bayern kombe la bundesliga ni lao miaka nenda rudi unasahau walilikosa miaka miwili ya utawala wa Dortmund wazee wa BVB enzi za Klopp.
Unasahau juzi juzi tu baada ya kuondoka Josep Guardiola babu Carlo Anchelotti kafanya vibaya sana hadi kafukuzwa?
Kwani huyo Anchilotte sio zaidi ya Bashite?
Unatumia kilevi gani mchambuzi fake wa soka?

Kuhusu kutochukua tena UEFA subiria utayakana haya maneno yako. Hata ukifuta post yako kumbukumbu itabaki hapa kwangu na nitakukumbusha tuombe uhai.
 
Ilaa jamani mbona ligi ndio kwanza mbichi hii..! Kumpa pep 100% ya kuchukua Epl , Ni kushusha hadhi Epl kwakweli... [emoji23][emoji23]
Sitotegemea kumuona pep aking'aa kwa round ya 2 mbele ya Arsenal ,Liverpool en Chelsea lazima wamtoboe tu.
Karata yangu ya Epl ipo kwa WENGER 100% , Mornho 90% na Klop kwa 85 % [emoji23][emoji23]

Hata kama anaongoza Kwa gape ya 15 points. Pep kwa WENGER Ni mchumba tu. [HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Hata Omog alipewa sifa lukuki,leo hii Manyara hataki kumsikia.
 
Kwa sasa man city ni kama msalaba wa jumuia.kila nyumba lazima upite.[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji122][emoji119][emoji119][emoji119] Pep ni bonge la kocha. Af anatumia sana akili huyu jamaa..anakufanya ww ndio upaki basi[emoji119][emoji119][emoji119]
Angalia bajeti na thamani ya kikosi chake.
 
Jamaa unajitoa ufahamu au?
Unasema Bayern kombe la bundesliga ni lao miaka nenda rudi unasahau walilikosa miaka miwili ya utawala wa Dortmund wazee wa BVB enzi za Klopp.
Unasahau juzi juzi tu baada ya kuondoka Josep Guardiola babu Carlo Anchelotti kafanya vibaya sana hadi kafukuzwa?
Kwani huyo Anchilotte sio zaidi ya Bashite?
Unatumia kilevi gani mchambuzi fake wa soka?

Kuhusu kutochukua tena UEFA subiria utayakana haya maneno yako. Hata ukifuta post yako kumbukumbu itabaki hapa kwangu na nitakukumbusha tuombe uhai.

Wengi mnabishana ila hamjui historia wala nini mnabishia. Maswali yako yote nimejibu kwenye comments baada ya hiyo ambayo umeniqote.

Ancelotti alifukuzwa baada ya kugongwa vibaya first leg na PSG UEFA sio ligi. Kama hata hili dogo tu hujui acha kujiita mshabiki wa soka. Hili ndo kombe wanalotaka ambalo si Carlo wala Pep aliweza kuwapa. Mbona hawakuvunja kandarasi alipofungwa kwenye ligi, kwanini UEFA tena game moja tu ambalo halikua na athari yeyote maana bado wangepita makundi? Jibu ni, UEFA is what matters most kwao sio ligi ambayo wameshinda mara 27. Pep alifeli Bayern

Nikumbushe siku Pep akishinda UEFA na timu nyingine yeyote ile nitakutumia muamala mpesa, ubaya hiyo siku haitakuja kutokea tena. Kule mtoto halali na hela
 
Wengi mnabishana ila hamjui historia wala nini mnabishia. Maswali yako yote nimejibu kwenye comments baada ya hiyo ambayo umeniqote.

Ancelotti alifukuzwa baada ya kugongwa vibaya first leg na PSG UEFA sio ligi. Kama hata hili dogo tu hujui acha kujiita mshabiki wa soka. Hili ndo kombe wanalotaka ambalo si Carlo wala Pep aliweza kuwapa. Mbona hawakuvunja kandarasi alipofungwa kwenye ligi, kwanini UEFA tena game moja tu ambalo halikua na athari yeyote maana bado wangepita makundi? Jibu ni, UEFA is what matters most kwao sio ligi ambayo wameshinda mara 27. Pep alifeli Bayern

Nikumbushe siku Pep akishinda UEFA na timu nyingine yeyote ile nitakutumia muamala mpesa, ubaya hiyo siku haitakuja kutokea tena. Kule mtoto halali na hela
Mkuu unakumbukumbu ndogo sana au unajitoa ufahamu.
Kwanini baada ya Guardiola hawajafanya vizuri sana kama wakati alipokuwepo?
Unajua kwanini Luis Enrique alilalamikiwa sana kuuwa mfumo wa ushindi wa Barca ambao ndio falsafa ya Club yao?

Luis Enrique alileta mfumo wa miguvu na direct play kwenye midfield ya Barca, mwanzo walipata mafanikio kidogo lakini alipoondoka Xavi mambo yakabadilika yakachangia kuondoka kwa Luis Enrique pale Barca. Nimekupa maelezo haya ujue kwamba kufikia viwango vile na ukali ule wa Barca ni kutokana na Ubora wa kocha Guardiola na falsafa ya team ambayo ndio jamaa alitaka kuipeleka Bayern na sasa anaipandikiza Man City.

Nitaku-follow ili niweze kukumbuka siku Guardiola akinyakua tena UEFA. Nitakukumbusha na hiyo pesa yako utaninunulia chupa ya mvinyo inaitwa Barolo toka Southern Italy ambayo imehifadhiwa miaka angalau mitatu(3). Tafadhari nunua kabisa sasa hakikisha ni Dry Red Wine.
 
Mkuu unakumbukumbu ndogo sana au unajitoa ufahamu.
Kwanini baada ya Guardiola hawajafanya vizuri sana kama wakati alipokuwepo?
Unajua kwanini Luis Enrique alilalamikiwa sana kuuwa mfumo wa ushindi wa Barca ambao ndio falsafa ya Club yao?

Luis Enrique alileta mfumo wa miguvu na direct play kwenye midfield ya Barca, mwanzo walipata mafanikio kidogo lakini alipoondoka Xavi mambo yakabadilika yakachangia kuondoka kwa Luis Enrique pale Barca. Nimekupa maelezo haya ujue kwamba kufikia viwango vile na ukali ule wa Barca ni kutokana na Ubora wa kocha Guardiola na falsafa ya team ambayo ndio jamaa alitaka kuipeleka Bayern na sasa anaipandikiza Man City.

Nitaku-follow ili niweze kukumbuka siku Guardiola akinyakua tena UEFA. Nitakukumbusha na hiyo pesa yako utaninunulia chupa ya mvinyo inaitwa Barolo toka Southern Italy ambayo imehifadhiwa miaka angalau mitatu(3). Tafadhari nunua kabisa sasa hakikisha ni Dry Red Wine.

Nitakununulia huo mvinyo bila tashwishwi yeyote ile, tena mimi ndo nitakukumbusha, tatizo hiyo siku haitakuja kutokea tena.

Hapo hapo kwa Enrique ndo mnapojifunga sababu Luis kashinda kila kitu ambacho Pep alishinda Barca, hata baada ya kuondoka kwa Xavi bado Luis alishinda UCL na ligi, je nae ni kocha bora mithili ya Pep? Ila Luis huyo huyo alifeli vibaya alipokuwa Italy kabla ya kwenda Nou Camp. Ndo maana tunasema Messi, Iniesta na Xavi walifanya makocha waonekane bora ilhali hawana lolote lile.
 
Nitakununulia huo mvinyo bila tashwishwi yeyote ile, tena mimi ndo nitakukumbusha, tatizo hiyo siku haitakuja kutokea tena.

Hapo hapo kwa Enrique ndo mnapojifunga sababu Luis kashinda kila kitu ambacho Pep alishinda Barca, hata baada ya kuondoka kwa Xavi bado Luis alishinda UCL na ligi, je nae ni kocha bora mithili ya Pep? Ila Luis huyo huyo alifeli vibaya alipokuwa Italy kabla ya kwenda Nou Camp. Ndo maana tunasema Messi, Iniesta na Xavi walifanya makocha waonekane bora ilhali hawana lolote lile.
Mkuu makocha wenye lolote niwapi?.
 
Back
Top Bottom