Ni perfume gani ya kiume ambayo harufu yake huwa inawavutia sana wakina dada?
Makubwa.....Kwa hali hiyo Ngoja nami niijaribu hiyo huenda nami Nikaopoa wawili watatuUse miyak, sikumbuki inaandikwaje ila hii perfume iliniachanisha kwa mjamaa aliyetaka kunioa nikamfata, nikiwa field yeye ni afisa hapo ofcn. Yaani nakiri nilivua sketi na kila kitu cha ndani. Perfume tuu, siku hizi sijui kama bado IPO.
Kulsoom unachanganya na Gift of Zanzibar piga ua siku hiyo lazima ulale na jini
Ya oxford street upande karibu na Tottenham court road.
Khaa!! Nani kakwambia wanavutiwa na perfume? Wao wanavutiwa na mfuko pamoja na muhogo bana
Umenikumbusha kulikuwa na mechi ya kirafiki waalimu na wananchuo wakati huo chuo cha Tanesco-kidatu, teacher mmoja jina kapuni katika harakati za kusaka ushindi akawa anakimbiza ball kutingisha nyavu ile kupachika tu goli kushangilia akavua jezi ya juu akishangilia goli, duh kumbe kyupi aina ya VIP imevuka hadi kifua inakimbilia shingoni na vile inang'aa duh!
Ooops nlijua ya dabenhams ya Westfield, sherfard bush
kwa hiyo hayo majina baada ya hapa taguta kujua yanaandikwaje jamani maana umechapia sanaaaaaa