MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,447
Hii ilikuwa kwa ladies ndo waseme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu we jamaa ni mvivu wa kufikiri. Kila kitu unataka kusaidiwa akili.
Nikufuoneshe bwawa zuri la kunywa maji unataka nikuoneshe jinsi ya kunywa hayo maji pia?
Hizo Givenchy za £15 za kishamba, nimetoa brand nimetoa na range ya hela, aina yeyote ni nzuri, natumia nyingi tofauti.
Uki google utaona, nianze kuanisha mpaka na Givenchy ipi na ipi.
We kweli kichwa maji.
jamani msaaada za wanawake zinazomtoa nyoka pangoni ni zipi
Kwasababu mimi nazijua ndio maana nikakwambia JD Pharmacy wanauza original, nanda JD ya mlimani city au masaki village walk opposite sea cliff village.
Hivi hamna anayetumia hizi nivea za buku 7 humu?
Perfume bora kabisa kuwavutia warembo ni NMB NBC CRDB EXIM N.K ukizpata hz warembo watamiminika
Inaitwa Givenchy.
Bei inaanzia laki 4 Original, sio za kariakoo za laki na nusu.
Hiyo haiondoki kwenye nguo hata ukifua.
Nakumbuka shuleni nilikua nikiingia class watu wote attention kwangu hadi nkawa naona noma kupakaa.
Nkipita kwenye korido naacha harufu. wadada walikua wanataka kupiga tory na mm kisa perfume tu.
Nlikua napendwa mpaka na ma class teacher, kina madam fulan fulan kibao tu. ma denti wenzangu ndo usiseme.
Perfume ni nzuri. Kama una hela kainunue.
Mm na shemeji yako wote ndo brand zetu, kuna for men and for women.
Kazi kwako boss
Hizo original zinapatikana maduka yapi mjini?nataka nijilipue
Nisamehe ndugu sikuwa na nia mbaya.......
hahahaaha haki ya nani sikucheka kwa nguvu hivi tangu asubuh
hahahah
visiwa vya sicilly
hadi umenitoa machozi
Swadakta mkuu. Zingine zoote ni mbwembwe tu zile.. Mwanamme pesa bwana, harufu nzuri hata nyuki wanazoPerfume bora kabisa kuwavutia warembo ni NMB NBC CRDB EXIM N.K ukizpata hz warembo watamiminika
Khaa!! Nani kakwambia wanavutiwa na perfume? Wao wanavutiwa na mfuko pamoja na muhogo bana