Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Halafu we jamaa ni mvivu wa kufikiri. Kila kitu unataka kusaidiwa akili.
Nikufuoneshe bwawa zuri la kunywa maji unataka nikuoneshe jinsi ya kunywa hayo maji pia?
Hizo Givenchy za £15 za kishamba, nimetoa brand nimetoa na range ya hela, aina yeyote ni nzuri, natumia nyingi tofauti.
Uki google utaona, nianze kuanisha mpaka na Givenchy ipi na ipi.
We kweli kichwa maji.

huna jipya.
 
Kwasababu mimi nazijua ndio maana nikakwambia JD Pharmacy wanauza original, nanda JD ya mlimani city au masaki village walk opposite sea cliff village.

JD nyingine ipo posta mpya karibu na mnara wa askari.
 
Inaitwa Givenchy.
Bei inaanzia laki 4 Original, sio za kariakoo za laki na nusu.
Hiyo haiondoki kwenye nguo hata ukifua.
Nakumbuka shuleni nilikua nikiingia class watu wote attention kwangu hadi nkawa naona noma kupakaa.
Nkipita kwenye korido naacha harufu. wadada walikua wanataka kupiga tory na mm kisa perfume tu.
Nlikua napendwa mpaka na ma class teacher, kina madam fulan fulan kibao tu. ma denti wenzangu ndo usiseme.
Perfume ni nzuri. Kama una hela kainunue.
Mm na shemeji yako wote ndo brand zetu, kuna for men and for women.
Kazi kwako boss

Hizo original zinapatikana maduka yapi mjini?nataka nijilipue
 
Perfume bora kabisa kuwavutia warembo ni NMB NBC CRDB EXIM N.K ukizpata hz warembo watamiminika
Swadakta mkuu. Zingine zoote ni mbwembwe tu zile.. Mwanamme pesa bwana, harufu nzuri hata nyuki wanazo
 
Dunhil desire by Alfred DunhilCool water by David doffPerfumes za Carolina Herera pia ni nzuri na za Yvsent laurent,cristian Dior,Ferrari etc
 
Back
Top Bottom