buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 4,678
- 11,357
Exactly
Mkuu gemu lile ulinielekeza ila hola nilidownload gb1 hamna kitu.
Niliextract ila data ni 0Byte
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly
lile pes?Mkuu gemu lile ulinielekeza ila hola nilidownload gb1 hamna kitu.
Niliextract ila data ni 0Byte
fifa 15-16 naona hayapewi ushirikiano sana kwenye update kama pes2014-2015
FIFA 15 Wc Russia 2018 Patch Full Update 2018/19 - Micano4u | PES Patch | FIFA Patch | GamesKwahiyo hamna patch ya fifa 15 to 18?
maelekezo yale yaliyotolewa pale uliyafuataNdio mkubwa sikutarajia duh!
Uko mkoa mkuu.Nimepata patch ya fifa 15 to 18 na inafanya kazi fresh
Huu ni udhaifu mkubwa mno.fifa gumu sana kama umezoea pes. halafu master ligi yao nzuri but kukosekana uefa ndio kunainyima utamu. coz unakuta mtu unagombea vikombe vya ligi tu. na sio kuqualify uefa na europa
Pes wameadvance saaana Mkuu. Mara ya mwisho kuchezaga PES ilikuwa ni 2012, nilivyokuja kuicheza ya 2017 nikasema hawa watu balaa.Kwenye 17/18 series Pes ni demanding kuliko FiFa
Hapo umemaliza Mkuu, timu kama Bayern Munich eti haipo. Na hili tatizo la leseni lipo na muda mrefu saana, unakuta Game nzima licenced teams ni kama 8 au 10.pes liko vizuri hata graphic, kinachowaangusha konami ni leseni tu. viwanja vinakuwa vichache. na mambo mengine
Hahaha Mkuu, hatari sana wewe.yeah si unaona GPU yangu 1GB najipanga nitafute pesa Ninunue hata 4GB au 2GB
Mimi nilicheza ya XBOX 360, Graphics zimetulia vibaya sana, nikahisi hii ni kwa XBOX tu au hata kwa PC na PlayStations? Inasemekana kuwa XBOX kwenye Graphics ni level nyingine.hata graphic ziko poa sana.
Usiziamini kabisa Graphics za Intel.linarun vizuri kabisa mkuu intel 5500 gb4 si mchezo