Pesa haziokotwi! Mpira wetu bado haulipi kihivyo. Mo kakata moto, GSM anajuta

Pesa haziokotwi! Mpira wetu bado haulipi kihivyo. Mo kakata moto, GSM anajuta

Heshima kwa Mo na Azam kupaisha soka la tz. GSM mwepesi ... mwaka mmoja tu ulimi nje, kajaza retirees & free agents Utopolo, mbaya zaidi anashindwa hata kugharimia pre season
 
Siku timu zikimilikiwa na wafanyabiashara kwa hata asilimia 60 basi wawekezaji wengi watazikimbilia Simba na Yanga. Sasa hivi kuziendesha hizo timu ni pasua kichwa kwasababu ya hao wanaoitwa wanachama. Mtu kama Mzee Mpili hakutakiwa awe anasema lolote juu ya Yanga.. yaani abaki kama shabiki tu. Yanga na Simba ni biashara kubwa mno kwa sababu ya uhakika wa wateja ambao ni mamilioni ya watu.
 
Siku timu zikimilikiwa na wafanyabiashara kwa hata asilimia 60 basi wawekezaji wengi watazikimbilia Simba na Yanga. Sasa hivi kuziendesha hizo timu ni pasua kichwa kwasababu ya hao wanaoitwa wanachama. Mtu kama Mzee Mpili hakutakiwa awe anasema lolote juu ya Yanga.. yaani abaki kama shabiki tu. Yanga na Simba ni biashara kubwa mno kwa sababu ya uhakika wa wateja ambao ni mamilioni ya watu.
Yule mzee njaa tu ilikuwa inamsimbua,nadikia kapewa tuhela kaambiwa atulie
 
Heshima kwa Mo na Azam kupaisha soka la tz. GSM mwepesi ... mwaka mmoja tu ulimi nje, kajaza retirees & free agents Utopolo, mbaya zaidi anashindwa hata kugharimia pre season
Kabisa mkuu na hivi kaingia jikoni mwenyewe kupitia kwa Hersi watazidi kuwa bahiri hakuna wa kumwambia kitu
 
Kulianziswa ile project ya Nani zaidi, wananchi na makelele yote milioni 50. Wenyenchi mikelele yote mil 100 .Na project ikafa.
Milioni 100 haitoshi hata kumsajili George Mpole wala Sopu, pesa haziokotwi.

Mo hajaanza kuisaidia Simba juzi ni zaidi ya miaka 20, ila biashara ngumu.
Mashamba yake ya mkonge yanayumba uzalishaji, hawezi kuweka akiba yake yote kulisha mibaba mizima na ndevu zao kama Mugalu alafu kwa msimu linafunga goli moja huku linacheka na kutafuna jojo.

GSM sio kwamba ana mapenzi na yanga ila hao wote na Mo wanafanya biashara kupitia hizi club, Yanga haijampa matokeo mazuri kibiashara ndio maana alifight simba wavae nembo yake dili likabuma.

Sasa inabidi afe kiume kuokoteza hela kwenye magodoro na mafuso yake na malori mambo yaende sawa pale jangwani, alafu jitu moja lopolopo linataka timu iende USA, Marekani sio matombo kuwa unapanda Abood na buku kumi yako umefika.

Mpira bongo hauwezi kujiendesha bado uchumi wetu ni mdogo sana, hawa GSM, Mo na Bakhresa na Azam media wanajitahidi sana tuwaponde wachezaji ila hawa watu watatu salute kwao.
Washabiki ni waswahili hawana hata Mia,ingetakiwa angalau kila mshabiki nchi nzima awe angalau ana kadi anayoilipia angalau buku 10 kwa mwaka.wangekua na mapato kibao

Washabiki wanywa kahaw,kazi hawafanyi kazi kugombanisha viongozi wao tu

Watafika wamechoka sana 🤣
 
Washabiki ni waswahili hawana hata Mia,ingetakiwa angalau kila mshabiki nchi nzima awe angalau ana kadi anayoilipia angalau buku 10 kwa mwaka.wangekua na mapato kibao

Washabiki wanywa kahaw,kazi hawafanyi kazi kugombanisha viongozi wao tu

Watafika wamechoka sana 🤣
Ile project ya nani zaidi imetuonyesha tulivyo wajinga na ushabiki mandazi hatuwezi hata kuisaidia timu zetu
 
Washabiki ni waswahili hawana hata Mia,ingetakiwa angalau kila mshabiki nchi nzima awe angalau ana kadi anayoilipia angalau buku 10 kwa mwaka.wangekua na mapato kibao

Washabiki wanywa kahaw,kazi hawafanyi kazi kugombanisha viongozi wao tu

Watafika wamechoka sana [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena watafika kwa taabu mno.
 
Naomba kufahamu jina la benki, pia tunaruhusiwa kuhoji matumizi yake na auditing ifanyike
Unatakabujue jina la benki ya taasisi.? Punguani kweli wewe. Chelsea iliuzwa juzi uliona bank iliyowekwa hela ikitangazwa.? Pesa sio maandazi wewe.
 
Back
Top Bottom