Freemason ndio wanaomilki mfumo wa mpira wa miguu duniani sasa hao waarabu watawakwepea wapi.Mbona hata hivyo watu wanasema waarabu ndio wanakibunda sana ila ndio hivyo forbes imewa-isolate
Sasa kwa point hiyo si wange msaidia tu dogo kwasababu haiwalunguzii kitu zaidi ya fame tu
Yani wewe ndanj una bilion 10, watu wakisema una laki 2 inaondoa ukweli?
WEWE UTALAMBWA KIUZEMBE UKIKUBALI KILA KITU.Wavae tu muhimu ela .
Je ipo kipo kipengele kwenye mkataba wake kinachamlazimisha aunge mkono ushoga au kampeni ya ushoga?mbona rangi za ki JAH tuu..
ajione km amevaa rastafarian tuu.
africa sio kuzuri jamani.
bora uwe popo ulaya kuliko mtu africa.hahaha
Uwiano gani?Gueye naye ameyakuza mambo,alipaswa ayachukulie mambo katika hali ya uwiano.
Kwanini waarabu na si wahindi au wapemba wenye hela?Nimemaanisha waarabu wenye imani ya kiislamu wale wakwasi
Mi nimetaja waarabu kwakua nawaona kama ndio wenye asili na dini hiyoKwanini waarabu na si wahindi au wapemba wenye hela?
Mh!Dini yake inamkataza kucheza mpira pia
Una hakika ?Wamiliki wa hio timu ndio hao hao waliomletea hio dini anayokomaa nayo
View attachment 2234299
katika hali kama hii ndipo unapoona wazi wazi bila kificho kwamba pesa zina elements kubwa sana za ushetani.
Mchezaji wa psg (timu hii inamilikiwa na shehe tajiri) wiki iliyopita alikataa kuvaa jezi yenye rangi za kuunga mkono ushoga, usagaji na kubadili jinsia, sababu yake kuu ni kwamba ni kinyume na asili yake na pia dini yake hairuhusu.
Sasa ishu inapokuja ni kwamba mchezaji huyu analipwa milioni 200 kila wiki na watu wanaofanikisha hilo jambo wao wanapenda kuunga mkono ushoga, wamechukizwa na mchezaji huyu kutovaa jezi na kwa sasa imembidi mchezaji achague kimoja kati ya kitita cha milioni 200 ama kurudi afrika.
Muafaka bado haujafikiwa hadi sasa japo kuna picha za uzushi kama niliyoambatanisha zinasambaa .
Je ni kipi atakichagua kati ya milioni 200 za kila wiki ama kurudi afrika.
wachezaji wengine wa kiislam wakiwemo Benzema, Kante, Pogba, n.k wao wanavaa kama kawaida.
Kwa sababu gani unasema wana asili na hiyo dini? Vp wazanzibari wao hiyo dini sio asili yao?Mi nimetaja waarabu kwakua nawaona kama ndio wenye asili na dini hiyo
Zanzibar ndipo ulipoanzia uislam?Kwa sababu gani unasema wana asili na hiyo dini? Vp wazanzibari wao hiyo dini sio asili yao?