StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
We ndio unampoteza kijana.Kabis mkuu.
Ingelikuwa ni jezi nyuma inapicha ya wanaume wan@fir@..n..a ningeona ina make sense kukataa.
Ila hizo just ni rangi tu ambazo hazina maana yoyote ile kiimani.
Ni sawa na mimi leo nikatae kuvaa shati yenye nyota na mwezi ama shati yenye picha ya ng'ombe eti kwa sababu tu huyo ng'ombe kuna watu wanamuabudu na dini hairuhusu kuabudu ng'ombe so nikatae kuvaa jeI yenye picha ya ng'ombe eti kisa nikivaa nitakuwa nasapoti,hii ni kutokuwa na mawazo yaliyotulia tu.
Sioni kama sahihi kukataa kuvaa hizo jezi kwa sababu ya hizo rangi,kwanza kukataa kwake ndio kunazidi kuipaisha hiyo lebo ya ushoga kuliko angekubali.
So kama lengo asisapoti ushoga anajikuta anausapoti zaidi kwa kuupinga kwake kwa sababu dunia yote iko macho na yeye.
Yeye angeliivaa tu na mambo yangeisha kimya kimya tu.
Kuna mambo ukiyakataa ndio unazidi kuyaa nguvu,na ukiyakubali ndio unazidi kuyanyima ngumu.
Ni suala la kufikiri vizuri tu.
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app