Pesa pekee haileti mafanikio ya timu, mbinu za kocha pia zinahitajika

Pesa pekee haileti mafanikio ya timu, mbinu za kocha pia zinahitajika

Ali Nassor Px

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,384
Reaction score
3,926
Salah aliweza kuivunja ile rekodi ya goli 31 ya Premier League na kuweka ya kwake ya goli 32 huku akiwa kama winga tena kutoka Afrika, nilitamani hii rekodi ikae kidogo kwa heshima ya Afrika, lakini nadhani muda umefika ukingoni.

Kuna mtu mmoja hatari sana Erling Haalland, huyu jamaa anakuja kuivunja rekodi mapema na kuweka ya kwake ngumu sana ambayo inaweza kukaa muda kidogo kutokana na speed kubwa ya ufungaji aliyonayo kwa sasa.

Kibaya kwake inaweza ikawa jeraha tu na kwa kifupi sitamani apate hilo jeraha ili watu wazidi kuona utofauti wa uwekezaji katika mpira na kujishikiza tu katika mpira.

Kiukweli Halland ni jini na ukibahatika kumkwepa shukuru haswa. Pep nimeanza kuacha kale katabia ka ubishi juu yake na sasa naanza kumpa heshima anayostahili, siyo kwamba sikuwa naona ubora wake ila ubishi tu!

Anayekuja na pointi ya kutumia pesa sana ndiyo apate mafanikio, mwambie pesa haitengenezi mfumo wa uchezaji uwanjani bali ni mbinu za kocha tu. Halafu kingine Pep hajazuia mabosi wenu wasitumie pesa.

🖐🖐
8f882aa2a286acd1d2b6259a67af24b4.jpg
 
Halaand ni MONSTER hakuna anaebisha, labda useme kingine
 
Ana hat trick tatu kwa mechi nane,
Ana magoli 14 akivunja record kwenye mechi nane.
 
Guardiola is ordinary manager all great manager won champions league in their reign despite huge signings still failed to lift even one champions league since he left Barcelona.
 
Guardiola is ordinary manager all great manager won champions league in their reign despite huge signings still failed to lift even one champions league since he left Barcelona.
🙌🙌🙌🙌
 
Guardiola is ordinary manager all great manager won champions league in their reign despite huge signings still failed to lift even one champions league since he left Barcelona.
Barcelona hakubeba uefa kumbe?

Kaa Kwa kutulia

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu
Guardiola is ordinary manager all great manager won champions league in their reign despite huge signings still failed to lift even one champions league since he left Barcelona.
Mkuu guadiola kutobeba UCL haimaanishi kwamba yeye ni ordinary...

Yeye ana play part yake ila sometimes wachezaji wanamuangusha
 
Mkuu

Mkuu guadiola kutobeba UCL haimaanishi kwamba yeye ni ordinary...

Yeye ana play part yake ila sometimes wachezaji wanamuangusha
Kwa nini apange wachezaji wanaomuangusha? Haipo hiyo sababu kwa kocha wa miaka mingi hivyo.
 
Guardiola is ordinary manager all great manager won champions league in their reign despite huge signings still failed to lift even one champions league since he left Barcelona.
U not serious bro....pep ni ordinary manager just becoz he hasnt won champions league since he left barcelona. Hapana bwana lets look at the mans ability to revolutionize football, his ideas, his obssession with experimenting with various ways to buildup attacks.

It is easy to level out the accusation that success has been bought but though money can procure the best players in the world, (which by the way is a necessity to win trophies) it certainly cant forge the spirit, tactical acumen or passion that pep brings to his football teams. Peps teams are an absolute delight to watch, easy on the eye and definately thought provoking.

That being said, he is no ordinary coach. He is a thinker!
 
U not serious bro....pep ni ordinary manager just becoz he hasnt won champions league since he left barcelona. Hapana bwana lets look at the mans ability to revolutionize football, his ideas, his obssession with experimenting with various ways to buildup attacks.

It is easy to level out the accusation that success has been bought but though money can procure the best players in the world, (which by the way is a necessity to win trophies) it certainly cant forge the spirit, tactical acumen or passion that pep brings to his football teams. Peps teams are an absolute delight to watch, easy on the eye and definately thought provoking.

Thats being said, he is nor ordinary coach. He is a thinker!
Kumbe mkuu kuna muda unakuwa serious.

Nilijua muda wote huwa unacomment zile mada zako tu😂
 
U not serious bro....pep ni ordinary manager just becoz he hasnt won champions league since he left barcelona. Hapana bwana lets look at the mans ability to revolutionize football, his ideas, his obssession with experimenting with various ways to buildup attacks.

It is easy to level out the accusation that success has been bought but though money can procure the best players in the world, (which by the way is a necessity to win trophies) it certainly cant forge the spirit, tactical acumen or passion that pep brings to his football teams. Peps teams are an absolute delight to watch, easy on the eye and definately thought provoking.

Thats being said, he is nor ordinary coach. He is a thinker!
I agree with you in all aspect but what I said is that Guardiola always underestimate the opponents looks how he played the champions league clash against real Madrid is totally unacceptable in football with his skills and experience he was supposed to win against real Madrid but he plays champions league clash like premier league games he don't know when to defend how to finish the game concerning two legs that is home and away game he always attacks if he can't change his game plan in champions league clash he will never ever lift champions league trophy again in his career looks how Mourinho and klopp plays in champions league is totally different from their league and always win in champions league that's my opinion.
 
Salah aliweza kuivunja ile rekodi ya goli 31 ya Premier League na kuweka ya kwake ya goli 32 huku akiwa kama winga tena kutoka Afrika, nilitamani hii rekodi ikae kidogo kwa heshima ya Afrika, lakini nadhani muda umefika ukingoni.

Kuna mtu mmoja hatari sana Erling Haalland, huyu jamaa anakuja kuivunja rekodi mapema na kuweka ya kwake ngumu sana ambayo inaweza kukaa muda kidogo kutokana na speed kubwa ya ufungaji aliyonayo kwa sasa.

Kibaya kwake inaweza ikawa jeraha tu na kwa kifupi sitamani apate hilo jeraha ili watu wazidi kuona utofauti wa uwekezaji katika mpira na kujishikiza tu katika mpira.

Kiukweli Halland ni jini na ukibahatika kumkwepa shukuru haswa. Pep nimeanza kuacha kale katabia ka ubishi juu yake na sasa naanza kumpa heshima anayostahili, siyo kwamba sikuwa naona ubora wake ila ubishi tu!

Anayekuja na pointi ya kutumia pesa sana ndiyo apate mafanikio, mwambie pesa haitengenezi mfumo wa uchezaji uwanjani bali ni mbinu za kocha tu. Halafu kingine Pep hajazuia mabosi wenu wasitumie pesa.

[emoji870][emoji870]View attachment 2377293
Mkuu jaribu kuweka kumbukumbu Sawa, Salah Kufunga magoli 32 hakuvunja record ya kufunga magoli mengi zaidi EPL bali alikuwa mchezaji wa pili Kufunga magoli mengi zaidi EPL Kwa msimu mmoja akiwa nyuma ya Andy na Alan wenye magoli 34 each

Sasa huyu bwana Haaland ndio anaenda kuzitia mashakani record za hao mwagwiji wawili, maana kuna kila dalili dogo linaweza Kufunga goli 35-40 msimu huu au msimu wowote ule ujao ila lazima litafanya tu maajabu
 
I agree with you in all aspect but what I said is that Guardiola always underestimate the opponents looks how he played the champions league clash against real Madrid is totally unacceptable in football with his skills and experience he was supposed to win against real Madrid but he plays champions league clash like premier league games he don't know when to defend how to finish the game concerning two legs that is home and away game he always attacks if he can't change his game plan in champions league clash he will never ever lift champions league trophy again in his career looks how Mourinho and klopp plays in champions league is totally different from their league and always win in champions league that's my opinion.
He is a man that has chosen to die with his philosophy of attacking football. Its an identity that every manager has. Mourinho is a counter attacking team, hiyo ndio identity yake. Klopp ni mzee wa gegen pressing.

There are two extremes in the coaching spectrum, the pragmatics and the purist. Purist strongly bliv that there is a certain way the game has to be played regardless of the opposition or the quest for trophies Pep is the latter mourinho the former but either way a coach has to die with wat he blivs in.

Na kila ideology has its short comings. If u remember well there was a season where mourinho, while at chelsea struggled to play against the smaller teams becoz his whole team was based on counter attck but becoz against smaller teams his team had the bulk of the possession, his strategy somehow become redundant.

Football tactics can be both fascinating and frustrating. Tactics can beautify or vilify the game of football all this depends on where in the coaching spectrum one stands.
 
Back
Top Bottom