Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimbabwe walitaka kufanya hivyo, kiwanda kikamilika, walivyoomba matilio ya kutengenezea Dolali zao wakanyimwa.Sijui ila nna uhakika, Inachapishwa na mabeberu, huko kwa mabeberu.
Sijui kwanini hatufungui kiwanda cha noti zetu hapa nchini, tukaajiri watu wetu! Fedha tunazo!
Everyday is Saturday............................... 😎
Kwani wewe ndio Sarpong?
Mkuu, hili la kununua malaya umebonyeza sana.Niliskia zinatengenezwa uswizi ,na hazitengenezwi na kampuni moja
Tz tunapeleka maelezeko jinsi zinavyofaa kuonekana
Serikali haiwez agiza zi printiwe pesa nyingi ili ilipe madeni kwa sababu ku print ni ghalama
Na pia madeni hulipwa in terms of dollar mzungu hawezi pokea pesa ya madafu itabidi zibaki BOT afu tutoe dollar so work done itakua zero
Kama umesoma commerce tunasema moj ya sifa za pesa it must be relatively scarce yani isipatikane kwa wingi (angalia zimbabwe)
Hatuwez kua na kampuni ya ku print hela coz nadhani ni expensive kuiendesha
Thamani ya pesa inashuka kwa sabBu malaika amekataa kulipa madeni ya watu n haongezi mishahara while vitu vinapanda bei hivyo maisha kuwa magumu.na pia amesababisha ma hotel kufungw coz of sera zake hivyo mzunguk wa hela umekuf lazm ujue hata malaya anaponnuliwà anasàidia nchi
Kuhusu kampuni inayotengnez pesa nakujibu kwa mazingira ya marekani niliyoyaona kwenye tv katika kipindi kinaitwa how they are made
Ni hivi katik kampuni za kutengeneza pesa kuna ulinzi mkali sana mfn metal detectors na kadhalika pia unasachiwa mlangoni so huezi iba but mshahara wao ni kwa pesa ile ile ila sio yaTZ Pain killer
Sijui ila nna uhakika, Inachapishwa na mabeberu, huko kwa mabeberu.
Sijui kwanini hatufungui kiwanda cha noti zetu hapa nchini, tukaajiri watu wetu! Fedha tunazo!
Everyday is Saturday............................... 😎
Wakuu naomba mwenye uelewa anieleweshe kuhusu pesa ya Tanzania ya note na coin. Vinatengenezewa wapi. Si mtalaam wa haya mambo.
Exactly ndiyo ninachojua mimi, inawezekana zinatengenezwa na kampuni mbili au hata 3.. Saa zingine siyo lazima noti zote au fedha zote zitengenezwe na kampuni moja.Kutengenezwa ni popote pale kwenye kamputi itakayo shinda tenda
Mkuu unauliza maswali yenye akili lakini watu hawajuelewi wanazunguka mbuyu tuKama germany ina kampuni ya kutengeneza izoo pesa zetu,,,, nani kawapa iyoo tenda ya kiprint pesa za Tanzania??? Mbona Tanzania ya sasa haina uhusiano wowote na germany??? Sijaona uwekezaji wowote humu nchini,,,, pesa za germany nan anatengeneza??? Au n wao wenyewe?????
Sisi kama Tanzania tukiprint pesa zetu na kuita watu kutoka nje kutufanyia kazi na kuwalipa izo pesa kuna tatizo lolote au kuna taasis utatufunga,,,,,, aiseeeee
Niliskia zinatengenezwa uswizi ,na hazitengenezwi na kampuni moja
Tz tunapeleka maelezeko jinsi zinavyofaa kuonekana
Serikali haiwez agiza zi printiwe pesa nyingi ili ilipe madeni kwa sababu ku print ni ghalama
Na pia madeni hulipwa in terms of dollar mzungu hawezi pokea pesa ya madafu itabidi zibaki BOT afu tutoe dollar so work done itakua zero
Kama umesoma commerce tunasema moj ya sifa za pesa it must be relatively scarce yani isipatikane kwa wingi (angalia zimbabwe)
Hatuwez kua na kampuni ya ku print hela coz nadhani ni expensive kuiendesha
Thamani ya pesa inashuka kwa sabBu malaika amekataa kulipa madeni ya watu n haongezi mishahara while vitu vinapanda bei hivyo maisha kuwa magumu.na pia amesababisha ma hotel kufungw coz of sera zake hivyo mzunguk wa hela umekuf lazm ujue hata malaya anaponnuliwà anasàidia nchi
Kuhusu kampuni inayotengnez pesa nakujibu kwa mazingira ya marekani niliyoyaona kwenye tv katika kipindi kinaitwa how they are made
Ni hivi katik kampuni za kutengeneza pesa kuna ulinzi mkali sana mfn metal detectors na kadhalika pia unasachiwa mlangoni so huezi iba but mshahara wao ni kwa pesa ile ile ila sio yaTZ Pain killer
Noti ukiprint nyingi kuliko kiwango sahihi zinashuka thamani, maana zinasambaa sana kwa hiyo bei za vitu zinapanda maana watu wengi wanakuwa na pesa.Sawa mkuu nimekuelewa kwa upande flani,,, sasa kama serikal inahusika katika mchakato mzima wa kuprint pesa,,, pesa inapoisha kwenye mzunguko kwanin isiprint nyingine inakimbilia kukopa pesa mataifa mengine??? Hapo inakuaje au nasisi tunanunuaaga pesa???