Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Yes, hakuna sababu ya kupoteza muda maana sasa kesi itaendeshwa kwa upendeleo na maelekezo ya kihutuView attachment 1640662
Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
Atetee nini mkuu wakati DPP atafanya yake.. ni suala la muda tu.. kama mtuhumiwa alitolewa usiku wa manane gerezani na kwenda kuapa kuwa mtunga sheria wa nchi, je hao ambao wapo uraiani tayari... hakuna gumu lolote kwa DPP linaloweza kumshinda!!Ni professional misconduct of the highest order kama alikuwa wakili binafsi anayelipwa na kina Mdee, kwa sababu yanayotokea kwenye chama hayamhusu Kibatala...
Huyu kweli no msomi, maana kashajua tayari hakutakuwa na kesi tena endapo kina Mdee watazamia..... MazimaView attachment 1640662
Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
Nasema uongo ndugu zangu, lazima tukubaliane ili kusudi tupate maendeleo.Halima Na Wenzake Ni Wa Kijani
Mpaka Sasa Hivi Hakuna Gumu Lolote Mbele Yao
Nasema Uongo Ndugu Zangu!!
[emoji16][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji23][emoji848][emoji848]
Halima Na Wenzake Ni Wa Kijani
Mpaka Sasa Hivi Hakuna Gumu Lolote Mbele Yao
Nasema Uongo Ndugu Zangu!!
[emoji16][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji23][emoji848][emoji848]
Msomi au UgolotuSafi sana Mungu mbariki wakili msomi Peter Kibatala.
Wananchi wanaitikia Kweliii ni uongo.Halima Na Wenzake Ni Wa Kijani
Mpaka Sasa Hivi Hakuna Gumu Lolote Mbele Yao
Nasema Uongo Ndugu Zangu!!
ππππππππ€π€
Sasa kama mahakama inajua sana na kwamba haiwezi kukosea mbona Kila siku mnalia humu kuwa mahakama hazifanyi kama inavyotakiwa?Kwamba wewe unajua zaidi kuliko Mahakama iliyokubali ombi hilo basi sawa.
Hakuna kesi Tena hapoView attachment 1640662
Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
Kwakua na wewe umeshajua kama yeye, tukuite msomi?Huyu kweli no msomi, maana kashajua tayari hakutakuwa na kesi tena endapo kina Mdee watazamia..... Mazima
Wabongo hawajawahi kua na jema,kama vile mashabiki wa simba na yanga vile ukiwa simba watakusifu hata kwa sifa ambazo huna ukishatoka utaambiwa mara galasa,mara utopolo na vile.View attachment 1640662
Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
kweli wewe wanena.Halima Na Wenzake Ni Wa Kijani
Mpaka Sasa Hivi Hakuna Gumu Lolote Mbele Yao
Nasema Uongo Ndugu Zangu!!
ππππππππ€π€
Na akiachiwa tu yatatokea ya Sefu na Lipumba CHADEMA Wanawake na CHADEMA WanaumeKwahiyo Bawacha ni wanaume?
Hakika Halima anavuna alichopanda pale Ufipa...... kejeli!
Watetewe na PolepoleView attachment 1640662
Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
CCM si ina mawakili wa kutosha basi wawateteeKwamba wewe unajua zaidi kuliko Mahakama iliyokubali ombi hilo basi sawa.
Hii ni taarifa ya Kibatala kujiondoa kuwatetea, sijaona tusi loloteWabongo hawajawahi kua na jema,kama vile mashabiki wa simba na yanga vile ukiwa simba watakusifu hata kwa sifa ambazo huna ukishatoka utaambiwa mara galasa,mara utopolo na vile.Tujifunze kuongea kidogo jamani sidhani kama akina Mdee wanadhambi kiasi cha kudharauliwa hata na watu ambao hawajawahi kupiga kura.Tuheshimu watu pamoja na mapungufu yao.
Ila senior associate wake kwenye chamber yake ni CCM pureWakili huyu anajitambua, Maana kuwatetea wasiojitambua ni Kujidhalilisha. Good ngoja wapambane na khali yao kwenye maisha mapya huko SiSieM...