Peter Kibatala ajitoa kuwatetea Bulaya na Mdee kwenye kesi ya kuvamia Gereza la Segerea inayowakabili

Ajitoe asijitoe wenye gereza ndio wanajua kama watataka kesi au wasitake kesi hahaa anajisumbua wakili
 
Wameshaunga mkono juhudi kesi hakuna, asipoteze muda kuna watanzania wengine wanamuhutaji.
Itafutwa tu kama walivyotolewa gerezani Nusrat Hanje
 
Usitafute amani wakati wa vita
 
Kumuamini mwanamke nikujitwika ndoo ya moto

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Kupata heshima ni jambo jepec sana ila kazi ipo ktk kulinda heshima yako cku 1 nying
 
Nimenote kitu; inshort hapa watoto wa ufipa wamejazana sana hapa jf🤔🤔 yani uzi wakishamba kama huu kisa anaye ongelewa ni hatar wao basi wanaushadadiaaa😂
 
Nimenote kitu; inshort hapa watoto wa ufipa wamejazana sana hapa jf🤔🤔 yani uzi wakishamba kama huu kisa anaye ongelewa ni hatar wao basi wanaushadadiaaa😂
ni hivi , CHADEMA imetapakaa nchi nzima , siyo hapa JF pekee
 
nchi nzima ni maeneo gani hapa tz?? Au lumumba ndio panaitwa nchi nzima nowdayz🤔🤔
Mkuu we ni msahaulifu sana.rejea ile kesi ya kina mbowe walipotiwa hatiani kifungo au faini.
Ile faini wanachadema walichanga sh mia,mia tano,buku.na ikapatikana ndani ya masaa ya muda Wa fine.
Usibeze kwamba chadema haina wafuasi.
Chadema inapendwa sana kuliko ccm,in vile utawala Wa sasa in Wa kikatili sana ukijionyesha Sana hadharani ni hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…